Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naunga mkono hoja, kuna wanawake ni shenzi type kabisa.Hivi ni mm na ushamba wangu au mwanamke akiolewa anatakiwa achunge anachopost hasa kinachohusu wanaume wengine ambao si ndugu zake!
bahatimbaya hajaolewa nayuko 30+wahuni siowatu wazuri
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Hii december ngumu sana kwa wanaume wenye wake/wapenzi wapenda show off na matanuzi.Naona siku za hivi karibuni nyuzi za Wanaume kulalamika kuhusu ndoa zao zimekuwa nyingi sana, why??? Au ni mbinu maalumu ya kufanya kampeni ya "kataa ndoa" huku ajenda zikiletwa hapa jukwaani kwa kupitia mlango wa nyuma?
Tuliza munkari dogo naamini utapata maamuzi ya busara usije ukapata hasara.
Mawazo dhaifu sana kwa mwanaumeMuache haraka huyo mwanamke kwa usalama wa afya yako ya akili.
Anaye kebehi na wewe mkebehi na uache life liendelee,hiyo ni dawa mujarabu,kuliko ya kuandikiwa na daktari🤔Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Miaka 29 bado ni kijana mwenye nguvu na safari ndefu.
Hoja yake ina mashiko, siyo mawazo dhaifu.Mawazo dhaifu sana kwa mwanaume
Binti wa miaka 20s bado ana mawazo ya chini sana na pengine kampongeza bila kuwa na ujumbe wowote kwa mumewe, na mumewe anamjua huyo jamaa....akiachana na huyo ni wapi atapata aliyekamilika asiye na makwazo?Hoja yake ina mashiko, siyo mawazo dhaifu.
Kumbuka: Vyanzo vikuu vya ugomvi na mauaji kwa wanandoa ni masuala ya namna hii.
Yeah ni sahihi bro ila sio vya kunyanyasa na kudharau watu mkuu.Pesa na magari ni vitu vya kupatikana lkn je tunavipataje tuanzie hapo
we wako ulimwokota wap.........Hao wanawake huwa mnawaokata wapi?
Hakika umepevuka akiliSiyo ushamba wako, ndivyo inavyopaswa iwe, kwa mtu awaye yeyote mwenye akili timamu ni lazima awe makini na chochote kile anachokiweka public,
Mara nyingi tunavyoviweka mitandaoni ndiyo hasa vinatuchoresha sisi ni watu wa aina gani..!
Ila utaambiwa 'simu yangu na bundle langu sipangiwi cha kupost', Huwa nasema kila siku 'to each their own'..!
Ahsante.
Mkuu hapo kwenye "Mens" sema tu "Men". Milenia hii mna changamoto sana yaani sijui tuko kwenye Ruhamo wa Ruwaza (Paradigm Shift)? Na hii ndiyo imekuwa new normal! Vijana mnakimbilia sana kuleta na kuanika matatizo yenu ya ndoa kwenye mitandao! Ina maana siku hamna washenga au Wazazi wa kuwaweka chini na kusuruhisha matatizo yenu? Mnajichoresha! Mwingine juzi kaja kuanika hapa eti amegongewa mke na mke amehama chumba! Karne hii vimama vinawapitisha kwenye tanuru la moto mpaka mseme!Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Mwamposa huwa anasema tatizo lako litazaa faida.Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..