Na hutaelewa hadi akupige tukio LA pili wanaume dhaifu ndyo hurudi kwa wale waliiowaacha na kusingizia watato watateseka ila wanaume jasiri husonga mbele na kuendelea kula mema ya nchiSielewi kabisa anamtumia mtoto kama njia ya kurudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahhaa sasa si wana mtoto pamoja? Ataleaje mtoto pekee yake.
Sasa kama unamhitaji ushauri wa nini mkaribishe likikukuta la kukuta jiandae kujifia mana najua hata ndugu watakuacha ukomae na huyo msaliti wakoBigg Yes
Akiiiii nimecheka kwanguvu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌Wanasema wataalamu kuwa kama mwanamke akichit na ukajua na akaondoka usirudiane naye kama maisha yangu aya mafupi nimeona wanaume watatu waliachwa kwa kebei bdaye wanawake wakajirudisha kilichofuata mmoja tulimzika mwaka juzi uyu mwingine yupo kama zuzu anataka kuchanganyikiwa
Mkuu we KibokoNa hutaelewa hadi akupige tukio LA pili wanaume dhaifu ndyo hurudi kwa wale waliiowaacha na kusingizia watato watateseka ila wanaume jasiri husonga mbele na kuendelea kula mema ya nchi
DaaaWanasema wataalamu kuwa kama mwanamke akichit na ukajua na akaondoka usirudiane naye kama maisha yangu aya mafupi nimeona wanaume watatu waliachwa kwa kebei bdaye wanawake wakajirudisha kilichofuata mmoja tulimzika mwaka juzi uyu mwingine yupo kama zuzu anataka kuchanganyikiwa
Kwani alivyoondoka hiyo miezi minne aliwezaje? Kama anarudi ili kupata unafuu wa maisha bora yaishe tu maana hapo hakuna upendoHahahahahhaa sasa si wana mtoto pamoja? Ataleaje mtoto pekee yake.
Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasira sana tena sanaMkuu Roho yako inasemaje??
Huyo mke wako ni mtu wa hasira za karibu??
Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasirMkuu Roho yako inasemaje??
Huyo mke wako ni mtu wa hasira za karibu??
Familia yake pia ilichangia naona alivyotegemea tofauti maana kila mtu now ana deal na maisha yakeKwani alivyoondoka hiyo miezi minne aliwezaje? Kama anarudi ili kupata unafuu wa maisha bora yaishe tu maana hapo hakuna upendo
Familia ndio ilimtia kiburi akaondoka?Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasir
Familia yake pia ilichangia naona alivyotegemea tofauti maana kila mtu now ana deal na maisha yake
Umeongea ukweli yeye alikuwa na sauti sana na nilimpa uhuru wa kupitiliza ndicho kimenigharimuJapo huwa siwaamini Wanawake sana
But mchukue tu mlee mtoto.
But kuwa mwangalifu na hakikisha this time una take over madaraka yako kikamilifu utakaloamua hakuna kubishana atake asitake.
This time uwe mbabe maana inaonesha ulimpa uhuru sana Wanawake ukiwapa democracy wanakuwa vichaa ghafla.
Matapishi hayalambwi ni SUMUNi miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Kwanza pole mkuu pili kuwa makini sana na uyo mkeo siwez sema usimsamehe au umsamehe ilo lipo juu yako ila kuwa makini naNi miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
ww n kiazi fullstop.Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Kwani alivyoondoka hiyo miezi minne aliwezaje? Kama anarudi ili kupata unafuu wa maisha bora yaishe tu maana hapo hakuna upendo