Pia mwambie aandae shekeli za kuhonga ili apate nafasi pale, maana akienda na mkono mfupi majibu ni hakuna nafasi.Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Ni sh ngapi kutoa nafasi? Wanakuwaga na fixed price au ushawishi wako?Pia mwambie aandae shekeli za kuhonga ili apate nafasi pale, maana akienda na mkono mfupi majibu ni hakuna nafasi.
Shule za mjini zipo nyingi, kuna upanga primary, muhimbili primary, kuna bunge primary nk. Mtahani ataupata kwenye kupanga nyumba anayoitaka yeye.Amejenga chanika. Anataka shule ya. Karibu na mjini
Muhimbili primary nao ni English Medium?Shule za mjini zipo nyingi, kuna upanga primary, muhimbili primary, kuna bunge primary nk. Mtahani ataupata kwenye kupanga nyumba anayoitaka yeye.
Ni ushawishi wako tu, inategemea idadi ya watoto pia, aandae kuanzia lak5 kama mtoto ni zaidi ya mmojaNi sh ngapi kutoa nafasi? Wanakuwaga na fixed price au ushawishi wako?
Shule Ina wanafunzi wengi?
Sina hakika, ila Diamond primary ni English medium, ila shule za mjini nyingi watoto wanaongea kingereza kutokana na mazingira wanayotokea na watoto wanaocheza nao mitaani, nimesoma bunge primary watoto wote wanachapa kimalkia ingawa shule ni ya kiswahiliMuhimbili primary nao ni English Medium?
unachongea watu kwa TAKUKURU wewePia mwambie aandae shekeli za kuhonga ili apate nafasi pale, maana akienda na mkono mfupi majibu ni hakuna nafasi.
Sasa hv ndio ww kusilika wa ikulu au umehamishiwa lindo ulangainategemea na Uchumi Wake, Kama Anajiweza Apange Hapo Upanga, Posta au Kariakoo.
ila School Buses za Hizo shule Olympio na Diamond Zinafika Popote Pale Dar es Salaam.
NB; Umenikumbusha Mbali Daah, Hapo Olympio Kuna Jengo Moja Opposite na Shule Ni Ghorofa La Wahindi Ndo Nilikuwa Nalinda Hapo.
Nilikuwa Nanunua Wali Wa Jero Shuleni hapo, Mchana Unapita Hivyo .... Maisha Buana... !!!
Hawa ni wale wasiojitahmini uwezo wanapoanza likitokea la kutokea ana haha na watoto karibu kusomesha watt olmpio pale ni kama open university shule haijaagi mwal mkuu mchaga pesa mbele usisahau na ya kiwi mtoto ufahamu wake kile ni kituo cha mitiha iHuyo ni kituko.
Haiwezekani anaishi nyumba ya kupanga then akapeleka watoto private school anawatoa huko anaona ni hasara huku akitaka kwenda kupanga karibu na mjini huko mjini kodi zake ataziweza?siyo itafika gharama ile ile akilipia watoto shule binafsi huko alikokuwa akiishi?
Mangi katumwa pesaHawa ni wale wasiojitahmini uwezo wanapoanza likitokea la kutokea ana haha na watoto karibu kusomesha watt olmpio pale ni kama open university shule haijaagi mwal mkuu mchaga pesa mbele usisahau na ya kiwi mtoto ufahamu wake kile ni kituo cha mitiha i
Sema nataka mkuu au tunataka hakuna ubaya wowote mbonaAnataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Hapana, Sasahivi nipo Nasoma.Sasa umejipata
Unasoma niniHapana, Sasahivi nipo Nasoma.
Hapana, Sasahivi Nipo Nasoma.So sshv umekuwa ceo
Hapana, Sasahivi Nipo Nasoma.Sasa hv ndio ww kusilika wa ikulu au umehamishiwa lindo ulanga
Ualimu, Huu Mtaala Mpya.Unasoma nini
OkU
Ualimu, Huu Mtaala Mpya.