KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ni sh ngapi kwa mwezi?Kuna apartments maeneo ya hapo upanga.ni sehemu ya kutembea tu kufika shule. Ila bei inaweza kuwa mara mbili ya ada ya huko private alikowatoa watoto
Asante sana mkuu hao Mivinjeni Primary School wa Gongo la Mboto wana school bus?Muhimbili sina uhakika. Ila nakutajia shule za serikali ambazo ni english medium.
1. Chang'ombe Duce primary school
2. Mivinjeni primary school ipo kurasini
3. Mikongeni primary school ipo gongo la mboto, kama anaishi chanika hii inamfaa
4. Mlimani udsm primary school
5. Mapambano primary school ipo sinza
6. Ubungo NHC primary school ipo ubungo
7. Reginald mengi primary school ipo ubungo pia
8. Ali Hassan Mwinyi primary school
9. Mwenge primary school
10. Mirambo primary school
11. Bunju Mkoani primary school
Hizi ni baadhi tu. Ila english medium za serikali zipo nyingi sana na zina school bus
Ukata ni Noma,tupambane sana aiseeAnataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Ulipotea sana mzee mwenzanguKama anawatoa watoto private kuwaleta Olympio hataweza kodi za Upanga au Kariakoo.
Asante sana mkuu hao Mivinjeni Primary School wa Gongo la Mboto wana school bus?
Kupata nafasi vipi? HeLa ya Kuwapa sio tatizo
Thanks naweza pata contacts za uongozi wa Mikongeni Primary School ni me google nimeona kuna namba zao za simu lakini hazipatikani hewaniNdio shule zote hizo zina school buses.
huduma ya school bus ni vile vile kama olimipo wanavyofanya,
kwenye shule za serikali fee ya school buses hailipwi kwa shule, maana serikali haihusiki na ma bus hayo, hivyo kunakuwa na mtoa huduma pembeni ambaye mnakubaliana nae kama wazazi ambao mnataka bus lifike mtaa fulani
Thanks naweza pata contacts za uongozi wa Mikongeni Primary School ni me google nimeona kuna namba zao za simu lakini hazipatikani hewani
Wapo gongo la Mboto sehemu gani mkuu na nafasi wanatoa hawana kuzungushanahapana sina namba zao. fika shuleni hapo utapata msaada zaidi
Ukisikia akili za usiku ndo hizi yani ushindwe ku afford ada ya ems alafu uweze kulipa rent ya upanga au kariakoo seriously?Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Mwambie aulize shuleni route ya school bus yao inapita wapi na wapi, acheze na target ya maeneo hayo.Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Wapo gongo la Mboto sehemu gani mkuu na nafasi wanatoa hawana kuzungushana
Wapo gongo la Mboto sehemu gani mkuu na nafasi wanatoa hawana kuzungushana
Ungesema mzazi kwa sasa anaishi wapi ni rahisi hata kukuelekeza private school affordable maana hiyo Olympio plus school bus bei zinakuja zilezile.Wapo gongo la Mboto sehemu gani mkuu na nafasi wanatoa hawana kuzungushana
Wapo gongo la Mboto sehemu gani mkuu na nafasi wanatoa hawana kuzungushana
Kuna ndugu yangu ana mtoto wake anasoma hiyo shule mikongeni njoo Pm nikupe namba uwasiliane nae naamini utapata pa kuanziaThanks naweza pata contacts za uongozi wa Mikongeni Primary School ni me google nimeona kuna namba zao za simu lakini hazipatikani hewani
Asante Sana mkuu nitaendamambo ya nafasi siwezi kukupa majibu sahihi, maana sina mtoto anaesoma hapo. ila ni shule ya serikali kamaolimpio vile, utaratibu wa kupata nafasi utaelezwa ukifika hapo shuleni
Thank youMwambie aulize shuleni route ya school bus yao inapita wapi na wapi, acheze na target ya maeneo hayo.