The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
- Thread starter
-
- #61
Nashukuru sana wadau Kwa kufunguka basi KAZI imebaki kwangu kuamua pa kuelekea nishapata mwanga. This is the reason I like JFWilaya zote ni karibu vijiji vyote,isipokuwa kuna Kijiji Kimoja kinaiwa wotta_Mpwapwa wagumu kuuza.Bei ni kuanzia laki na nusu inategemea na muuzaji.Huko wotta ni watu waliohamia Toka Iringa kutokana na vita vya wajerumani na Wanyalukolo!
Wapi huko milele Amina!Huku niliko, mashamba ni Bure,Yana rutuba nyingi na Kuna maeneo Yana dhahabu
Weka kambi chukua vijana toka usukumani au kigoma,weka nao mkataba waingie kazini.Asante boss. Shida ya lindi vijana wa KAZI mashambani ni wavivu sana
Contacts na bei tafadhaliYapo Mashamba Mkuranga....!
Bei ni Bwerere, Aunty yangu ana Mashamba makubwa kashindwa kuyalima, anayauza Bei sawa na Bure.
Tanga sehemu gani? Na sh ngpTanga njoo nikuuzie shamba langu
NAkujaNjoo Iringa - Ismani umepata na ni KM 40 kutoka mjini iringa
Ni mengi mno.Great thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Mpui iko wapingwa
senta maria na kasekese mkuu kupata kwa bei iyo ngumu maana pale ni mbuga sana, labda maeneo ya nyagantambo, mwali, katondo,bugwe, uzuri wa maeneo hayo ardhi bado nzuri mnooo na ni jirani na makao makuu ya wilaya TanganyikaNi mengi mno.
Kuanzia, Sumbawanga, Namanyere hadi Mpanda vijiji vya Senta Maria, Kasekese, Kagunga hadi Katuma.
Kama unataka kanda ya Shinyanga, Maeneo ya Kahama vijiji vya Senta Chale, Segese, Lugunga hadi Kalumwa.
Tanzania bado ina maeneo mengi sana mazuri tu bei ya chini, ni wewe kuchagua tu.
Nasikia pagumu hukoLINDI TUNAKUPA BURE KABISA..
Nilikuwepo huko mwaka 2020, bei ilikuwa chini, sijui sasa hivi labda.senta maria na kasekese mkuu kupata kwa bei iyo ngumu maana pale ni mbuga sana, labda maeneo ya nyagantambo, mwali, katondo,bugwe, uzuri wa maeneo hayo ardhi bado nzuri mnooo na ni jirani na makao makuu ya wilaya Tanganyika
Siyo mbaya atapata namna bora ya kuingia shambani huko mbeleniUkihangaika utapata hata kwa laki 1 ila kuna vitu inabidi uzingatie
Mashamba huwa yako mbali saana hivyo si Ashlabu ukakutana na changamoto za
1. Accessibility
2.Wanyama Wakalli
3. Wizi/Usalama
Kuna jamaa kanunua eka 50 laki 3 kwa ekari jumla 15m. Lakini ni takriban km 35 kutoka Kilwa road, na hivi vi Baby Walker vyetu tunavyotanua navyo Magomeni havimalizi hata km 10 kwa jinsi njia ilivyo mbovu, katika miezi 12 ana uwezo kuingia shambani kwa muda wa miezi 8 tu, miezi 4 iliyobaki hakuingiliki shambani
Wee mjamaa upo? Nimefurahi kuuona mchango wako mkuuKaribu Mpui unapata hata kwa 50,000....ulizia Mwenyekiti Chengwa