Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Mkuu nina shamba langu nauza lipo kijiji chamgoi ukitoka kimanzi chana mpaka kijijini ni mwendo wa 30mn kwa pikipiki shamba ni langu halina dalali.

Sababu ya kuuza wenyeji waliokuwa wananiangalizia shamba wamehama hivyo sina muda wa kwenda huko mara kwa mara
 
Mungu akunusuru na msshetan wabaya WA VIWANJA watajazana mpaka utashangaa humuu njoo huku kulee
 
Ongezeaaa SHEMEJI mpwaa
Na wajukuuuu wazo jema sema KUNA mashrtani kadhaa watajazanaa wakiyoka HAPO KUNA mapepo ya kwenye kilimoo hayoo unaweza kufa kama umekopa

Badoo wale wahuni WA shambaaniii tumaaa helaa dawa haitoshelezi wewee
 
Sasa km35 kutoka kilwa road ni mbali?
 
Kuna maeneo ukijichanganya kwenda kulima ynafilisika.
1.UMBALI
2 HUDUMA MUHIMU HAKUNA
3.UANGALIZI WA SHAMBA NI GHALI (Ngedere + Tumbili+ Kima mara tembo wafugajikulisha mifugo)
4. WATEJA WA UNACHO KILIMA HAKUNA
 
Bodaboda si zipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…