Wewe ndio unaegawa kura?. Au wewe umetumwa na nani kujiona kula za watu wapiga kura milioni 40 mfano asipewe?Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake
siasa kali, Uamsho, naona unachemkaHabarin wadau polen na majukum pia polen kwa mzigo huu wa kiongozi Tulie nae na bila shaka tusipo Tafuta njia za kuutua utatuvunja mgongo
Watanzania maamuzi ni Muda endapo tutachelewa kufanya maamuzi mapema huenda Baadae tukafanya ikawa to late na nchi yetu kua imesha haribiwa ni uyu Rais Tulie nae
Rais toka Ameingia madarakan amekua mtu Wa kuyafanyia kazi Yale anayo yaona mitandao bila kusahau kua dhamana na msimamo wa nchi hauwezi kuamua tu kwa niaba ya watu Fulani wanao kuchochea kuamua na kundi ilo ni ndogo Sana katika asilimia 100 ya watanzania wao ni 3%
Rais toka ameingia madarakan yupo bize anazunguka zunguka tu nakufanya mambo ya sio ya msingi ili kutafuta sifa
Toka ameingia Madarakan kazi alizo fanya ni
Kuteua mawazir
Kuapisha mawazir
Kuteua wakuu wa mikoa
Kuapisha wakuu wa mikoa
Kwenda Kenya
Kwenda Uganda
Kuongea na wazee
Kupokea Ripot ya corona
Ukipiga hesabu apo utaelewa kwanini Rais hatufai
Rais wetu Ana akili Zipo slow Sana yeye na wanao mshaur. Ripot ya Corona Jana imetoka eti wanashauriana namna ya kutuwekea lock down pia serikal ijenge kiwanda cha chanjo how jaman awa viongozi wetu Hua wanarogwa
Ivi serikal umeshindwa hata kutoa Ripot ya miradi alio Iacha magufuli na kuamua kutumia hela hovyo kwa kuunda kamat ambayo Leo inakuja na majibu ambayo kila mmoja a nayajua
Raisi acha kuwaridhisha wajinga wajinga jenga nchi acha kutupeleka tusipo pajua
100% huwezi hiyo ni mihemko yako tu, kipind kile mnaambiwa muandamane mlikua wapi....me hapa nafurahi sana jinsi mataga mnavyo hangaika.Habarin wadau polen na majukum pia polen kwa mzigo huu wa kiongozi Tulie nae na bila shaka tusipo Tafuta njia za kuutua utatuvunja mgongo
Watanzania maamuzi ni Muda endapo tutachelewa kufanya maamuzi mapema huenda Baadae tukafanya ikawa to late na nchi yetu kua imesha haribiwa ni uyu Rais Tulie nae
Rais toka Ameingia madarakan amekua mtu Wa kuyafanyia kazi Yale anayo yaona mitandao bila kusahau kua dhamana na msimamo wa nchi hauwezi kuamua tu kwa niaba ya watu Fulani wanao kuchochea kuamua na kundi ilo ni ndogo Sana katika asilimia 100 ya watanzania wao ni 3%
Rais toka ameingia madarakan yupo bize anazunguka zunguka tu nakufanya mambo ya sio ya msingi ili kutafuta sifa
Toka ameingia Madarakan kazi alizo fanya ni
Kuteua mawazir
Kuapisha mawazir
Kuteua wakuu wa mikoa
Kuapisha wakuu wa mikoa
Kwenda Kenya
Kwenda Uganda
Kuongea na wazee
Kupokea Ripot ya corona
Ukipiga hesabu apo utaelewa kwanini Rais hatufai
Rais wetu Ana akili Zipo slow Sana yeye na wanao mshaur. Ripot ya Corona Jana imetoka eti wanashauriana namna ya kutuwekea lock down pia serikal ijenge kiwanda cha chanjo how jaman awa viongozi wetu Hua wanarogwa
Ivi serikal umeshindwa hata kutoa Ripot ya miradi alio Iacha magufuli na kuamua kutumia hela hovyo kwa kuunda kamat ambayo Leo inakuja na majibu ambayo kila mmoja a nayajua
Raisi acha kuwaridhisha wajinga wajinga jenga nchi acha kutupeleka tusipo pajua
Sabaya gang wamechachamaa sana... ndani ya muda mfupi Rais Samia amefanya kazi njema sana! Mungu amlinde na kumbariki Mh. Samia kipenzi cha watanzania; asiyehitaji kwenda kila mahali na makamera kujitangaza! Hivi TBC siku wanatangazaga nini?
Haiwez kua mihemko wote mnajua mawazo yangu ndio mawazo ya watanzania wengi na muda ukifika mtaiona nguvu ya Uma100% huwezi hiyo ni mihemko yako tu, kipind kile mnaambiwa muandamane mlikua wapi....me hapa nafurahi sana jinsi mataga mnavyo hangaika.
Magufuli nani bhana alikuwepo nyerere kafariki na hatujali embu tulia bhana acheni ushamba UVCCMHabarin wadau polen na majukum pia polen kwa mzigo huu wa kiongozi Tulie nae na bila shaka tusipo Tafuta njia za kuutua utatuvunja mgongo
Watanzania maamuzi ni Muda endapo tutachelewa kufanya maamuzi mapema huenda Baadae tukafanya ikawa to late na nchi yetu kua imesha haribiwa ni uyu Rais Tulie nae
Rais toka Ameingia madarakan amekua mtu Wa kuyafanyia kazi Yale anayo yaona mitandao bila kusahau kua dhamana na msimamo wa nchi hauwezi kuamua tu kwa niaba ya watu Fulani wanao kuchochea kuamua na kundi ilo ni ndogo Sana katika asilimia 100 ya watanzania wao ni 3%
Rais toka ameingia madarakan yupo bize anazunguka zunguka tu nakufanya mambo ya sio ya msingi ili kutafuta sifa
Toka ameingia Madarakan kazi alizo fanya ni
Kuteua mawazir
Kuapisha mawazir
Kuteua wakuu wa mikoa
Kuapisha wakuu wa mikoa
Kwenda Kenya
Kwenda Uganda
Kuongea na wazee
Kupokea Ripot ya corona
Ukipiga hesabu apo utaelewa kwanini Rais hatufai
Rais wetu Ana akili Zipo slow Sana yeye na wanao mshaur. Ripot ya Corona Jana imetoka eti wanashauriana namna ya kutuwekea lock down pia serikal ijenge kiwanda cha chanjo how jaman awa viongozi wetu Hua wanarogwa
Ivi serikal umeshindwa hata kutoa Ripot ya miradi alio Iacha magufuli na kuamua kutumia hela hovyo kwa kuunda kamat ambayo Leo inakuja na majibu ambayo kila mmoja a nayajua
Raisi acha kuwaridhisha wajinga wajinga jenga nchi acha kutupeleka tusipo pajua
Kafanya kazi gani nzur Zaid ya kutandaza kiza kwenye nchi yetu... ndani ya muda mfupi Rais Samia amefanya kazi njema sana! Mungu amlinde na kumbariki Mh. Samia kipenzi cha watanzania; asiyehitaji kwenda kila mahali na makamera kujitangaza! Hivi TBC siku wanatangazaga nini?
Kaeni kwa kutulia ama tuwavunje hayo magoti yenuHaiwez kua mihemko wote mnajua mawazo yangu ndio mawazo ya watanzania wengi na muda ukifika mtaiona nguvu ya Uma
Mputa Mputa kivip mbona mengine mengi ya kipuuzi anayafanya ndani ya muda mchacheSi ukaandamane unamuomba nani wewe? Magufuli tumezika juzi, mama karithi kiti juzi hiyo hiyo, hata kama alikuwa makamu wa raisi yeye ndiye mfiwa mkuu na mpaka leo ndiye mfiwa na mfumo wake wa maamuzi ni ya msibani mnataka mumpeleke mputa mputa. Hivi mna akili kweli? Mnataka mama afanye nini ili aonekane kwenu anafanaya kazi?