Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

ataenda kuzifanyia chato basi, ili amuenzi mungu wenu
Dodoma gharama nyingi zimeisha tumika pale bila kujali mwendazake alifanya alaka au la no way tunaweza tusiendelee mbele ,vinginevyo itakua nikuchezea akili za walipa kodi
 
Mama katutoa kuzimu anatupeleka kaanani
Mitano tena kwa mama,kituo kinachofata Ally Hapi
 
... nitajie hoteli yoyote Dodoma yenye hadhi ya kufikia mkuu wa nchi ya kigeni na msafara wake! Hebu ongeeni kwa facts badala ya kuwaza kwa akili za marehemu!
Hebu acha utani na fikra potofu ,kwamba kama wageni walifikia Chato,enzi za mwendazake ,iweje sema Dodoma hakuna hotel ambayo mkuu wa Nchi awezi fikia , ilihali Dodoma ni jiji na chato ni wilaya acha madhalau mkuu
 
Hebu acha utani na fikra potofu ,kwamba kama wageni walifikia Chato,enzi za mwendazake ,iweje sema Dodoma hakuna hotel ambayo mkuu wa Nchi awezi fikia , ilihali Dodoma ni jiji na chato ni wilaya acha madhalau mkuu
... acha stori nyingi kijana; taja hoteli. Chato walikuwa hawalali zaidi ya kufika na kuondoka.
 
ACHA kudhalilisha jiji la Dodoma,
... labda baadaye sana ila kwa sasa hamna jiji pale zaidi ya siasa. Prince Mohamed bin Salman, the de facto ruler of the Kingdom of Saudi Arabia anaweza kufikia Dodoma? Huwa akiingia mjini anachukua hoteli zote za nyota tano kwa ajili yake na ujumbe wake. Sasa lodge za Dodoma; dah!
 
NAUNGA MKONO HOJA KWA 100% MKUU.
Hapa mleta hoja umeweka ukweli tupu bila kupepesa macho kabisa!

UNAFIKI ni janga la kitaifa kwa sasa!
 
Nadhani ni jambo ambalo halihitaji kutumia akili nyingi. Dodoma hakuna international airport so mgeni anatua Dar na ni mji wa kibiashara na tuna ikulu pia kwa nini ashuke dar then aanze safari ya Dodoma tena hata kama ni kwa kuunganisha local flight? Hii sio sawa.

Ndio maana wageni wa kimataifa wanaokuja kwenye ishu za UN wanatua KIA then Arusha fasta, solution ni kujenga international airport pale Dodoma itakuwa easy wao kuja straight Dodoma.

Lakini pia jamani Dar pazuri bwana kushinda Dodoma wacha waishie mjini kwakweli, kule kwa Ndugai bado shamba aisee wacha tufiche kaumasikini .
 
Hela ya kumalizia bwawa la umeme unaona sio jambo la msingi maana ametoa zaidi ya bilioni 580, hela ya Daraja la busisi, hela ya kujenga phase 3 ya reli ya SGR? Hela alizopeleka Halmashauri? Hela alizoidhinisha za kununua madawa? Tuwe makini basi.
Hela za serikali huidhinishwa na Bunge, halafu rais ni masimamizi tu. Kazi ya rais na serikali yake ni kupeleka maombi bungeni wakati wa bajeti, bunge likishapitisha basi anabaki kuzisimamia tu zisitumike vibaya; ni kweli angeweza kuzitumia vibaya kwa kuzipeleka kusikohusika lakini sidhani ingekuwa ni busara kwake kwa sababu tayari miradi ilishapewa popularity sana na fedha zilzokuwa zimeidhinishwa kwenye miradi hiyo zilikuwa documented vizuri. Ni hela zinatokana na bajeti ya mwaka jana; tusubiri sasa bajeti ya mwaka huu iidhinishwe ndipo tuone kaomba kiasi gani kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka unaofuata na miradi itasimiwaje.
 
So kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la Busisi tunapiga chini kwanza
Nakerwa Sana na watu wanaodharau umuhimu wa daraja la Busisi. Daraja hili Ni kiungo kati ya Mwanza na mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma. Ndio unaifungua Mwanza na kuiunganisha na Nchi za Congo, Rwanda na Burundi kwa njia ya mkato au rahisi bila kuvuka maji na pantoni. Wakati ule Mimi nakaa kahama, nilipita njia Ile mara Moja tu lakini amini nakuambia tulitumia masaa matatu kusubiria kuvuka kwa pantoni umbali wa kilomita 3 tu . Hebu shika ramani uangalie jinsi gari kutoka Kigoma zinavozunguka kutokea nyakanazi kupita kahama, Shinyanga ndo wafike Mwanza. Gari zingine kwa kuchagizwa na lami wanapita, Tabora, Nzega, Shinyanga. Kwa kweli Ni mpumbavu tu au asiyejua jiografia hii ndio atahoji umuhimu wa hili Daraja, tusiwaamini Sana wanasiasa... WANATUINGIZA CHAKA SANA.
 
Ww unaempinga mama, labda tukuulize maovu aliyotufanyia jiwe hukuyaona? Unasema cheap popularity, kuna mtu alikua anapenda cheap popularity na masifa ya kijinga kama jiwe? Ebu jaman tuwe na kaaibu basi. Saiv ni muda wetu kutesa kwa zamu. Mlitunanga, mkatutukana na kutupiga na kutuumiza mkimtetea dikteta wenu, sasa kafa mmebaki wenyewe kama digidig hamjui mwende wapi.

Tulianza na Bashiru, polepole baadae Sabaya, na sasa Chalaila. Next point ni Happy na mwigulu. Tumempa li wizara gumu ili aboronge tumchomoe kama samaki bwawani mpaka wapambe uchwara wa dikteta wote waishe. Shenzi sana nyie.

Mama apige kazi wala asiwe na shaka, sisi tuko tunamlinda kwa wivu mkubwa sana. Hata tusipokua na hela ila angalau kuna uhuru wa kuongea na kazikazi zinapatikana mtaani kuliko kipindi kile kazi zinapayikana chato u na ndugu zake wakawa ndo wanufaika.
 
Utilize majibu yako wazi.
Anatuondolea wale wa mwenda kwa malaika aka OLE Saa Mbaya Mzee wa viboko shuleni na wengine wanakuja tulizana utaelewa.!
 
Afadhali ww umetusaidia kuorodhesha maana hawa pushgang wanataka kutumaliza na ujinga wao.
 
Hela ya kumalizia bwawa la umeme unaona sio jambo la msingi maana ametoa zaidi ya bilioni 580, hela ya Daraja la busisi, hela ya kujenga phase 3 ya reli ya SGR? Hela alizopeleka Halmashauri? Hela alizoidhinisha za kununua madawa? Tuwe makini basi.
Mtanzania anachojua ni kukosoa tu, kuonyesha kasoro zipo wapi. Huwa hana kabisa shukrani.

Kumlaumu Rais Samia ni wajibu wa kila mtu, ila akifanya jema utasikia anatimiza wajibu wake!!. Poor mindset.
 
Hii awamu kweli ni ya sita sio ya tano kama wengine walivyofikiri kwa kua kura ni za mpendwa wao magufuli.
Watu hazina kuona hakuna magufuli wamepiga hela kwa mwezi mmoja mabilioni kama sherehe. Waziri mkuu majaliwa kaishia kufoka hatuoni hatua yoyote kuengua fisadi hadi sasa.

Tumesikia waziri wa fedha akiwasilisha bajeti huku akitoa pambio kumsifu mama eti ana kadi rangi zote. Jpm alitembeza kadi nyekundu kwa wezi na wabadhirifu maana hawa hawahitaji kadi tofauti. Hii kitu ilileta tija na nidhamu.

Sasa mama yetu hazina hela zinaliwa ovyo pale hutoi kadi nyekundu huku mtu karopoka kama kawaida yake ndio unamtimua kupata nafasi kupanga line yako ya watu.

Magufulists tupo hatuendi popote kuona nini mama anafanya.
 
Mama mwepesi hana jipya yeye na msoga wake,dotto james,dk bashiru,dk mchembe,kakonko,mfugale hawa ni majambazi sugu wa pesa za watanzania.

Wako wanadunda mtaani tu na magari ya serikali..jicho nyanya hamudu hicho kiti ni katiba imembeba tu,anachoweza ni kushona nguo mpya kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…