kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
mnavopenda hitimaAndaa ka tafrija kadogo ka kuomba msamaha[emoji28][emoji28]
husamehewi bure
John Pambalu ndio ameianza safari ya kuwepo rumande. Mdude Nyagali yuko nje mkuu wangu.Usikonde mkuu. Kumwunga mkono mtu hakuna maana ya kuwa chawa.
Nilimwunga mkono na wengi tulimwunga mkono lakini hatukuwa vyawa wake (aione hii taslimu bwana Jumbe Brown Mzanzibara wa pale Mkunazini).
Baada ya siku 100: Tunapoachana kwenye Mataa na Rais Samia
Mama Samia huko uliko pokea salamu hizi. Katika siku 100 zako za mwanzo ulianza vizuri ukitupa matumaini mapya nasi tukakupongeza. Lakini baada ya hizo kupita ghafla umetubadilikia. Ama kwa hakika unayoyafanya sasa si mageni hapa duniani na huu wimbo unakuhusu: "Neema alimwambia Chidumule...www.jamiiforums.com
Mama Samia kabadilika baada ya zile sifa za siku 100. Akapandisha mabega na kuona kumbe yeye alifaa zaidi kuwa ndiye mnene mwenyewe hata enzi za uwepo wa mwendazake. Kwamba kumbe mwendazake alipaswa kuwa kidampa tu 😂😂😂😂😂!
Hiiiiii bagosha
Wote ni walewale...kweli atahangaika SANA!Utahangaika sana kaka.
hahahahahhahaaUkishaunga umeunga tu hakuna kupingulua mpaka mitano ipite.
Hahaaa no. Kupingulua.Ukishaunga umeunga tu hakuna kupingulua mpaka mitano ipite.
Wakuu,
Kama mtaniita mzee wa kukurupuka ni sawa tu maana niliyataka mwenyewe. Nilimuunga mkono Rais Samia bila kufanya uchunguzi wa kina, kiukweli kiongozi yeyote anaetumia uongozi wake kuumiza wengine kwa namna yeyote ile mimi hua sipo upande wake na kamwe simuungi mkono.
Nilifanya hivo kwa mwendazake na kwa huyu ni hivo hivo kwahiyo najitokeza hadharani kusema kua kwa matendo machache tu na yanayoumiza watu aliyofanya toka kaingia madarakani nasema mimi sipo upande wake kabisa hivo waliodhani vinginevo hapana nimeshtuka nimeshtuka nae ni walewale tu.
John Pambalu ndio ameianza safari ya kuwepo rumande....Mdude Nyagali yuko nje mkuu wangu.....
Mimi ni "mbara" sina tone la damu la huko MKUNAZINI kaka 🤣
Mama SSH ana nia njema ya kuwatumikia watanzania kwa moyo mweupeee.....tatizo liko kwenu na siasa zenu za "tug of war"!!
Yashilaga guukuu!
John Pambalu ndio ameianza safari ya kuwepo rumande....Mdude Nyagali yuko nje mkuu wangu.....
Mimi ni "mbara" sina tone la damu la huko MKUNAZINI kaka 🤣
Mama SSH ana nia njema ya kuwatumikia watanzania kwa moyo mweupeee.....tatizo liko kwenu na siasa zenu za "tug of war"!!
Yashilaga guukuu!
Hivyo vyama havifuati sheria?Huo upepo mnaujua?heshima ya mama iko palepale huwezi kuendesha nchi kwa kuangalia upepo yaani chadema wakisema hivi unafanya cuf wakisema hivi unafanya mwisho watasema tuishe ytuongoze nchi yani hapo ndiyo panatakiwa akaze uzi kabisa mpaka waseme poo