Watamgharimu sana - yeye hana pacemaker so alipaswa kuwa makini zaidiHuyu mama alitakiwa kuunda serikali yake upya kabisa badala ya kuendelea na makapi ya mwendazake
Hakika!Atajua mwenyewe... vyovyote vile Ila mkali wa kuadhibu ni Mungu tuu huyo anajitekebyenya
CCM wana nia ya ku colonize hii nchi hadi kinyama.Mdogo wangu ambaye ni CDM sana - yaani wa damu tangia akiwa chuoni amekuwa na kinyongo sana kuhusu mimi kuwa kimya katika mijadala ya kisiasa katika kundi letu la Familia la WhatsApp....
Sukuma Gang wameshamzunguka wamemtengenezea kitanzi naye amejivika kitanzi hicho vizuri kabisa. Wanamuaminisha kuwa ukatili,ubabe na roho mbaya ndiyo njia sahihi ya kuumaliza upinzani Tanzania. Sasa hivi wanamng'ong'a huku wakigongesheana glass za mvinyo wakijua kuwa hadi 2025 atakuwa hafai kabisaaaaa.Mdogo wangu ambaye ni CDM sana - yaani wa damu tangia akiwa chuoni amekuwa na kinyongo sana kuhusu mimi kuwa kimya katika mijadala ya kisiasa katika kundi letu la Familia la WhatsApp...
Wachumia matumbo hawa.. hata wakiitwa wataenda kueleza matatizo yao na familia zao. Mfano Mbowe atamwambia alifungiwa vitega uchumi vyake ikiwemo bilkanas,Mama ndani ya siku zile mia angekuwa anamwita
Mbatia,
MBOWE...
Tumeona........DUNIA:
Vumilika, Mapito Mwanza, nawe Kijana wa Jana, mimi ni Mzee wa juziii! Lakini hebu tushee fikra mujarabu pamoja...
Muendelezo:DUNIA:
Vumilika, Mapito Mwanza, nawe Kijana wa Jana, mimi ni Mzee wa juziii! Lakini hebu tushee fikra mujarabu pamoja.
Dunia ina UMBILE. Nalo lina TABIA...
Namna nyingine IPO. Magifulu alisema. "MUNGU TUMUWEKE MBELE."Wanasiasa wameshindwa kutukomboa,tutafute namna nyingine
Pumba tupu hizi!Naona sie yule aliezoeleka siku za mwanzo ,nahisi sasa hivi amepwaya,hayupo na kauli zile za kusema Mimi ndie Raisi,hata ile bashasha amepoteza,something behind na kubwa kuna mambo yanatokea haiashirii kama yanatoka kwake ,Nyie hamna wasiwasi ? Hebu na leo amekuwa na kikao na Mawaziri ,hivi anapima maendeleo ya serikali yake ? Hapaana bado ndio kwanza anachipua .
Ni bora akajiuzulu au huko pia kabanwa ? Maana dunia ina mambo ! Namuona kanywea sana ,anatilisha huruma,inaweza kuwa mnamlaumu lakini huenda amekumbana na mashaka na shida za kuongoza mataga ,unajua CCM ya fanya hivi fanya vile ni amri kutoka juu .
Hivi Rais anaweza kutekwa na akaongoza nchi au akawa bado Raisi ? Ipo shida sana Kule Zanzibar yupo Chogo ndio Raisi Huku Tanganyika yupo Mmakunduchi ndio raisi ,Mbongo anaweza kuwamudu wapemba aka wazanzibari kuwaongoza japo kama ng'ombe lakini Mpemba kuwaongoza wabongo ipo kazi maana wabongo wanajali hela kuliko utu.
Ni bora tukaufanya Unyerere Husein Mwinyi aletwe awe Raisi wa Tanzania. CCM wanaweza kulifanya hili ,wakiamua wanaweza.