Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Wanasema eti hela inaenda kujengea barabara na vituo vya afya nchi nzima! Sasa unajiuliza, na zile kodi nyingine lukuki tunazolipa kila siku kupitia PAYEE, TRA, nk zitaenda wapi?

Kuwalipa mishahara na posho Ma DC, Ma RC, Ma RAS na MA DAS ambao shughuli zao zimekaa kisiasa zaidi bila shaka!!
 
Ukiweka salio wanakata
Ukituma ela wanakata
Ukitoa ela wanakata
Ukibonyeza menu ya mobile service ya kibenki wanakata

Sasa ukinunua luku wanakata
Ukipokea salary wanakata
Ukiomba mkopo benki wanakata
Ukinunua bidhaa wanakata VAT
Yaani kila unachofanya serikali inahakikisha unateseka, yaani nikipiga hesabu kodi ninazolipa per day sio mchezo
Ukiwa sisiemu kodi haikuhusu ....sasa ni kusona kiarabu tu namba hazisomeki
 
Hii mada yako inenikumbusha JPM pale alipotoa siri kwamba yeye alimtaka Dr awe makamu wake.

Mara paap, akashauriwa huyu anafaa zaidi atakusaidia.

Na baada ya hapo huyuhuyu akawa VP.

Kwa mtazamo wa jicho la tatu tuloelewa tuling'amua JPM alikuwa akitoa ujumbe upi na kwa nani.

Ila hakuwa na jinsi.

Baadae tukasikia kuna watu wanasusa, na hata kutishia kuondoka, lakini mzee wa pwani akawa anaingilia kati anaamua na yanaisha, ila wawili hawa hawakuwa sawa na kila mmoja alikuwa ana yake kichwani.

Sasa ikawa jioni ikawa usiku kulipokuchwa yeye huyu ni mkuu kabisa, na yule aliefikiriwa kuwa ndie angalau angekuwa mkuu akawahiwa akapewa umakamu.

Yule ndie sera zake zote za uchumi alitunga na zikatufukisha kwenye uchumi wa kati.

Nyerere aliwahi kusema kuwa "The leaders of south tend to keep their people as ignorant in order that you can exploit them better"

Mchezo ukawa umeisha.

Mengine ni kama ulivoelezea tunapigwa kisawasawa, bila kujibu.

Hatuwezi kuukwepa ubeberu kwa aina ya fikra tulizo nazo ni mpaka tujitambue na tufahamu namna nzuri ya kucheza nao.

Hatuwezi kuushinda ubeberu kwani ubeberu umejengwa kwa mtindo wa kupora kwa hila huku kusini ikiwemo Tanzania.

Hakuna jinsi, tulipe kodi tujenge nchi.
 
Hizi kodi alizozitunga samia na watu wake sijui amezitoa wapi?

Ni nchi gani duniani inatoza kodi kwenye miamala ya fedha ama manunuzi ya kielekroniki?

Anayetuma fedha anakatwa, anayepokea anakatwa. Muamala mmoja una VAT, TOZO, service charge, sijui EWERU, REA, kodi ya jengo, uliona wapii?

Nchi hii ina kila rasilimali ambazo zinaweza kutulisha hata miaka mia moja bila kuzalisha chochote!

Mmewafungulia mabeberu wanachota madini kama njugu, wanasomba gases, wanapora wanyama na trophies.... ati ndio mnafungulia uchumi!!

Fedha za bandari zinapigwa, miradi inapigwa, ufisadi wizi kila mahali. Hiyo haitoshi, mama huyu kaamua ageukie kuwanyonya masikini!

Hata ukiweka mia kwenye simu wanaifyeka!!

Kama nchi imekushinda NG'ATUKA, ONDOKAA, ACHAAAAA, TOKAAA, SEPAAAA!!!!

Sio lazima kila mtu awe Rais, wengine mbaki kuwa wasaidizi wa nyumbani tu wa kawaida (ordinary house servants).

Kuwa Rais wa nchi kunahitaji mawazo mapana, utulivu wa akili na nafsi. Not everyone can be president!

Tunahitaji Rais anayejitambua na kutambua nini wananchi wanataka na nini nchi inataka!

Lakini kwa mama huyu, HAPANA.
Wewe utakuwa mpigaji,mirija ya upigaji,mumefungiwa,sasa mnapiga kelele.Huyu ndio Rais,tuliyemtarajia watanzania,Mungu azidi kumpa nguvu,ili tuishi kwa furaha.
 
Kuna vichaa wanasifia, huko tuendako tutakuwa tunafanya kazi vipato vyote viishie kwenye tozo.
Toza inakwenda tumika kwa ajili yetu sisi,ikiwa tutakuwa na vituo vya afya,mashule,barabara,taa za barabarani nk,tutafaidika sisi.
 
Ukiweka salio wanakata
Ukituma ela wanakata
Ukitoa ela wanakata
Ukibonyeza menu ya mobile service ya kibenki wanakata

Sasa ukinunua luku wanakata
Ukipokea salary wanakata
Ukiomba mkopo benki wanakata
Ukinunua bidhaa wanakata VAT
Yaani kila unachofanya serikali inahakikisha unateseka, yaani nikipiga hesabu kodi ninazolipa per day sio mchezo
Acha kulia lia, hakuna nchi inayoebdesha bila kuchangia maendeleo,kupitia mwananchi.Lipa kodi kwa maendeleo yako.
 
Hizi kodi alizozitunga samia na watu wake sijui amezitoa wapi?

Ni nchi gani duniani inatoza kodi kwenye miamala ya fedha ama manunuzi ya kielekroniki?

Anayetuma fedha anakatwa, anayepokea anakatwa. Muamala mmoja una VAT, TOZO, service charge, sijui EWERU, REA, kodi ya jengo, uliona wapii?

Nchi hii ina kila rasilimali ambazo zinaweza kutulisha hata miaka mia moja bila kuzalisha chochote!

Mmewafungulia mabeberu wanachota madini kama njugu, wanasomba gases, wanapora wanyama na trophies.... ati ndio mnafungulia uchumi!!

Fedha za bandari zinapigwa, miradi inapigwa, ufisadi wizi kila mahali. Hiyo haitoshi, mama huyu kaamua ageukie kuwanyonya masikini!

Hata ukiweka mia kwenye simu wanaifyeka!!

Kama nchi imekushinda NG'ATUKA, ONDOKAA, ACHAAAAA, TOKAAA, SEPAAAA!!!!

Sio lazima kila mtu awe Rais, wengine mbaki kuwa wasaidizi wa nyumbani tu wa kawaida (ordinary house servants).

Sio lazima ung'ang'anie usichokiweza.... unang'ang'ana tu ng'a ng'a ng'aa.... ACHAA....

Nchi hii ina watanzania zaidi ya milioni hamsini, wasomi, wajuzi, weledi na wenye maarifa. Waachie hao, wewe pumzika.

Kuwa Rais wa nchi kunahitaji mawazo mapana, utulivu wa akili na nafsi. Not everyone can be president!

Tunahitaji Rais anayejitambua na kutambua nini wananchi wanataka na nini nchi inataka!

Lakini kwa mama huyu, HAPANA.
Mkuu ukiweka namba ya kadi ya uanachama wa CCM hawakati hizo tozo!
 
Hizi kodi alizozitunga samia na watu wake sijui amezitoa wapi?

Ni nchi gani duniani inatoza kodi kwenye miamala ya fedha ama manunuzi ya kielekroniki?

Anayetuma fedha anakatwa, anayepokea anakatwa. Muamala mmoja una VAT, TOZO, service charge, sijui EWERU, REA, kodi ya jengo, uliona wapii?

Nchi hii ina kila rasilimali ambazo zinaweza kutulisha hata miaka mia moja bila kuzalisha chochote!

Mmewafungulia mabeberu wanachota madini kama njugu, wanasomba gases, wanapora wanyama na trophies.... ati ndio mnafungulia uchumi!!

Fedha za bandari zinapigwa, miradi inapigwa, ufisadi wizi kila mahali. Hiyo haitoshi, mama huyu kaamua ageukie kuwanyonya masikini!

Hata ukiweka mia kwenye simu wanaifyeka!!

Kama nchi imekushinda NG'ATUKA, ONDOKAA, ACHAAAAA, TOKAAA, SEPAAAA!!!!

Sio lazima kila mtu awe Rais, wengine mbaki kuwa wasaidizi wa nyumbani tu wa kawaida (ordinary house servants).

Sio lazima ung'ang'anie usichokiweza.... unang'ang'ana tu ng'a ng'a ng'aa.... ACHAA....

Nchi hii ina watanzania zaidi ya milioni hamsini, wasomi, wajuzi, weledi na wenye maarifa. Waachie hao, wewe pumzika.

Kuwa Rais wa nchi kunahitaji mawazo mapana, utulivu wa akili na nafsi. Not everyone can be president!

Tunahitaji Rais anayejitambua na kutambua nini wananchi wanataka na nini nchi inataka!

Lakini kwa mama huyu, HAPANA.
Acha kulia lia,fanyakazi,wacha kushinda kwenye vijiwe.Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi,ukiona hospital,shule,barabara,nk,ujuwe yupo aliyelipa kodi,ndio vikawepo hivyo unavyovitumia .
 
Back
Top Bottom