Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Ubaguzi wa Kijinsia au wa aina yeyote haukubaliki hapa Tanzania, Nchi yetu inaruhusu kila mtu kutumia uwezo wake na kutoa fursa sawa kwa wote
 
U.S.A,China,Urusi mataifa yao yana miaka hawajawi kuwapa Wanawake Urais kwamba sisi ni bora kuzidi wao-ukweli ni kuwa wanawajua na haitajuja kutokea mataifa hayo kuongozwa na mwanamke.
Mkuu mjinga uamini kila ambacho huambiwa ila mwerevu hufikili kwanza ,Nchi za Afrika zimekuwa za kijinga kwa kufuata kila agenda za mataifa ya America na ulaya uku wenyewe wakizitupilia mbali.

Kiasiri mwanamke hakuumbwa kuja kuwa kiongozi bali msaidizi ila kwa kujifanya wajuaji na wapenda vitu vya haraka haraka leo hii msaidizi ndo kiongozi na kiongozi anakuwa msaidizi ( akili dogo kutawala akili kubwa) mwisho ndo haya tunayo yaona Samia(msaidizi) kumpangia majukumu Dr.Mpango( kiongozi)[emoji23]
 

Nchi zote zenye matatizo na migogoro afrika na duniani kwa ujumla zinaongozwa na wanawake wa afrika? Au ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo??

Tuheshimu tafadhali
 
Toa ushahidi,usije na blanket statement

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
So akiharibu kiongozi mwanaume ni bahati mbaya lakini akiharibu kiongozi mwanamke ni uharibifu kwa kuwa ni mwanamke hafai kuongoza.
Hebu chunguza huko kijijini kwenu ambako viongozi wote wanaume kuna nini cha ajabu walichofanya.
Acha undezi wa karne zilizopita.
Hivi mabalaa yote ya vita, uonevu na mauwaji yaliyowahi kutokea ulimwenguni viongozi walikuwa wanawake?
Umetaja Zambia raisi Joyce Banda, ambae aliongoza kwa miaka 4, sasa kabla na baada yake wanaume waliongoza Zambia wamefanya nini cha ajabu zaidi ya wizi, rushwa uonevu na mauwaji?
Shame on you, hao mabinti zako hapo nyumbani vipi unawaambia hiyo misimamo yako kuwa haijalishi wana akili kiasi gani hawafai kuwa viongozi kwa kuwa tu wana matiti na kibox manyoya.
 
sio wanawake wa Tanzania...hili ni suala la dunia nzima..na tatizo sio wanawake, tatizo ni uumbaji na elimu yake.. Elimu ya uumbaji imempa mwanamke majukumu yake na mwanaume majukumu yake... sasa kosa limeanza pale tunapotaka Mwanamke awe sawa na Mwanamume na kushabikia Wanamume wanaotaka kutoa huduma za kike.... Mwanamume atabaki Mwanamume na Mwanamke aka mama zetu wapendwa watabaki hivyohivyo.....
 
Ni mtazamo tu.

Bahati mbaya mitazamo ina nguvu kuliko ukweli.

Kwani mkuu, viongozi wanaume wameifanyia nini Afrika kwa hii miongo sita ya uhuru ukiacha wale walioongoza mapambano ya kuuleta huo uhuru?
 
Ubaguzi wa Kijinsia au wa aina yeyote haukubaliki hapa Tanzania, Nchi yetu inaruhusu kila mtu kutumia uwezo wake na kutoa fursa sawa kwa wote
Mkiambiwa ukweli mnaanza siasa, ukweli ni kwamba mama nchi imemshinda....
 
Nakubaliana na mtoa mada .
Huyu rais kashafeli sana
Wanawake kiasili wameumbwa kuwa wasaidizi majumbani kwenye uongozi hawawezi , wengi waliobahatisha kuwa viongozi wameonyesha uwezo mdogi Sana Kama huyu suluhu
 
ushungi ndio unapepea, kichwani??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…