Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Naamini mtakubaliana nami kwamba sahivi katuelekeza bwaga moyo tukale bata
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
Hiyo kazi myfriend siyo ya Mabalozi. Mabalozi wnaateuliwa baada ya kazi zao za kihaini kuhujumu matakwa ya wananchi.

Hivyo wanapelekwa kupumzika na kutuliza mawazo yaliyojaa simanzi kutokana na walichowafanyia watanzania wenzao hasa hasa ktk michakato ya uchaguzi ya kujipatia viongozi bora.

Do not expet enything better from them.

Kazi iendeleee.
 
Wamiliki wa hiyo kampuni ya Royal Tour ni akina nani? Imesajiliwa wapi? Wamelipwa kiasi gani na Bunge limeidhinisha matumizi hayo? Au yale yale ya dhalimu mwendazake yanajirudia!?
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
 
Hela za TOZO hizo bila shaka! Na ndiyo maana anang'ang'ania zisifutwe.
 
Wananchi waamke na kudai uwajibikaji wa viongozi.

Serikali ina matumizi makubwa ya anasa

Uchumi umedorora kwa wananchi, Coronavirus imeathiri uchumi. Hivyo serikali ilipaswa kuacha matumizi ya anasa, na kunyonya masikini
 
Huwenda mama anadanganywa kama unavyosema lakini kwanini tuwaige Rwanda sisi hatuna ubunifu rais ni taswira ya taifa wamebuni wazo zuri sana na huwenda faida yake ikaonekana baadae
Inabidi tuwe wabunifu siyo kuigaiga kila kitu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...

Haya ni mambo yanayopimwa kwa matokeo sio maneno kila siku. Hivyo tumpe Raisi muda tuone matokeo na tukosoe hapo. Brand ingekuwa nzuri Rais asinge angaika hivyo wakulaumu ni waliopita
 
Huwenda mama anadanganywa kama unavyosema lakini kwanini tuwaige Rwanda sisi hatuna ubunifu rais ni taswira ya taifa wamebuni wazo zuri sana na huwenda faida yake ikaonekana baadae
Inabidi tuwe wabunifu siyo kuigaiga kila kitu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Una uhakika kuwa hiyo royal tour dunia inaiamgalia?
 
Rais anaondolewa ofisini kimkakati ili ashinde mabarabarani (asisome mafaili na kukosa utulivu wa akili) watu wapige hela
 
Rais Samia anaongea kwa mipasho Mambo muhimu ya nchi.

Eti "ukifanya watasema, usipofanya watasema. Sasa acha tufanye"
 
Tatizo Maza anaanini Sana watu hawa ndo watakaomtoa kiuchumi. Atuache tukue tuna Kula sababu ya kukua
 
Wamiliki wa hiyo kampuni ya Royal Tour ni akina nani? Imesajiliwa wapi? Wamelipwa kiasi gani na Bunge limeidhinisha matumizi hayo? Au yale yale ya dhalimu mwendazake yanajirudia!?
Mkuu

Umeuliza maswali ya maana sana ila watakupuuza; lakini watanzania wakiungana na kupaaza sauti kama walivyofanya kwenye TOZO naamini watashituka na kughushi majibu kuyaleta kwenye hadhira.

*Tanzanians are entirely tired of public funds embezzlement without seeing collective accountability in practice...
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
Umetolea mfano Rwanda ukiwa hujui kuwa Rwanda ndo nchi ya kwanza kufanya hiyo program ya Royal Tour kwa Africa Mashariki.

Kwa Taarifa yako idea ya Visit Rwanda ilikuja baada ya Kagame kuendesha iyo program ya Royal Tour
 
Back
Top Bottom