Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

So akiharibu kiongozi mwanaume ni bahati mbaya lakini akiharibu kiongozi mwanamke ni uharibifu kwa kuwa ni mwanamke hafai kuongoza.
Hebu chunguza huko kijijini kwenu ambako viongozi wote wanaume kuna nini cha ajabu walichofanya.
Acha undezi wa karne zilizopita.
Hivi mabalaa yote ya vita, uonevu na mauwaji yaliyowahi kutokea ulimwenguni viongozi walikuwa wanawake?
Umetaja Zambia raisi Joyce Banda, ambae aliongoza kwa miaka 4, sasa kabla na baada yake wanaume waliongoza Zambia wamefanya nini cha ajabu zaidi ya wizi, rushwa uonevu na mauwaji?
Shame on you, hao mabinti zako hapo nyumbani vipi unawaambia hiyo misimamo yako kuwa haijalishi wana akili kiasi gani hawafai kuwa viongozi kwa kuwa tu wana matiti na kibox manyoya.

Nchi zote zenye matatizo na migogoro afrika na duniani kwa ujumla zinaongozwa na wanawake wa afrika? Au ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo??

Tuheshimu tafadhali

Sentebe Akija kujibu niite please
 
Ingekuwa vema kama ungeonyesha wapi aliposhindwa. Si ajabu nguvu hizo za kutoa kashfa dhidi ya wanawake umezipata baada ya kushiba mihogo uliyonunua baada ya kupata mshahara wako wa August. Samia ameshindwa nini na wapi?
 
Washauri wa Mama endeleeni tu Kumchoresha huku nae pia akikubali Kuchoreka japo Akilini mwake anadhani ni Ubunifu mkubwa anaoufanya na utampaisha zaidi.

Watalii hawaji Tanzania kwa Ushawishi wa Kikaole ( Kiuigizaji ) bali ni kwa Mikakati na Sera za uhakika.

Watalii wanafurika mno Misri, Ethiopia, Afrika Kusini, Rwanda na hata Tanzania Kipindi cha Kikwete walifurika sana ila sikuwahi na sijawahi kuona Marais wakiacha Majukumu yao makubwa ya Ikulu na kuanza Kuzurula katika Mapango, Mahandaki na Baharini kuigiza.

Kuna Vitu vingine vinatuaibisha Wote.
 
Ingekuwa vema kama ungeonyesha wapi aliposhindwa. Si ajabu nguvu hizo za kutoa kashfa dhidi ya wanawake umezipata baada ya kushiba mihogo uliyonunua baada ya kupata mshahara wako wa August. Samia ameshindwa nini na wapi?
Total failure, kama honi basi kaa hivyo hivyo. Kamuulize Jiwe atakwambia maana ndiye Kioo chenu
 
USA ni baba wa usawa lkn kwao sio KILA sehemu ni gender balance.
Thus waliona sahihi wampe obama na trump kuliko clinton
 
Nani huyo anayeacha mafaili mezani akaenda kucheza?
TUNAOMBA USHAHIDI!
1630576984421.png
 
Ikitokea akarudi kwa bahati mbaya baada ya uchaguzi mkuu wa 2025, atabadilika sana.
 
U.S.A,China,Urusi mataifa yao yana miaka hawajawi kuwapa Wanawake Urais kwamba sisi ni bora kuzidi wao-ukweli ni kuwa wanawajua na haitajuja kutokea mataifa hayo kuongozwa na mwanamke.

Joe Biden, akifa madarakani Kamala Harris anakuwa Rais. Inaweza kutokea. Hllary Clinton was close.
 
Si nasikia kuna TIMU CHATO ambayo inamikakati ya kukwamisha mama na kumkosoa kwa kila afanyacho eti kisa kaanza kueleza ukweli wa yale yaliyo kuwa yanatendeka sirini, naona mmeanza kazi sasa.
we ngoja tu maduka ya game yote yanafungwa tutaelewa tu, halafu tozo mara kodi ya nyumba mmmmh🙁
 
Tulikubaliana kua maisha yatakua na unafuu baada ya JPM kufariki.
Tulikubaliana sasa tutakula mema ya Nchi, Ajira kama Mvua tu, Tutaanza Kujenga n.k n.k
Tuwe na subra Ndugu zangu.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom