1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Mimi nimegundua nchi haitangazwi kwa staili hiyo ya kutumia mapesa na kujipromote bali inatangazwa kwa uongozi bora na wenye misimamo kama alivyofanya Magufuli.
Hili nilikuja kuligundua baada ya kusafiri nchi za mbali nikikutana na Wazungu pamoja na Waasia wakiniuliza "Which country are coming from?nikiwajibu I am from Tanzania utawasikia"Wow Tanzania you had a very good president(Magufuli) and it is the only country in the world that enabled to combat Covid 19 without lockdown and disagreed the order from America to use vaccine,but they assasinated him by the way you lost a very genius president"
So kiufupi nchi yetu imekuwa maarufu sana kupitia matendo ya Magufuli na sio kujitangaza kwa kupiga makelele ni kazi bure.
[/QUOTE
Nchi inaweza iakjulikana sana lakini kumbe inajulikana mitaani kwa wanywa kahawa tu wasio na faida yoyote kwenye uchumi??
Magufuli alikua na mazuri yake lakini pia alikua na mabaya yake
Kuna watu wamamkweza kuliko Mungu wakati dunia imewa kuwa na watuashuhuri wengi lakini walikuwa na mapungufu yao.
Lakini pia Magufuli hakua na mabaya tuu kama pia wengine wanavyotaka kuudanganya ulimwengu.
All in all Kazi aliyoifanya ndipo ilipopangwa iishie. Mungu ndiye anayumba na kupanga kila kitu kwa wakati wake.
Ukitafakari vizuri utagundua kuwa hata walaloni Mungu aliruhusu waje Afrika kwa wakati wake na waliondoka walati uliotimia.
Anaweza akawa na mipango mizuri sana ya kuifanya Tanzania iwe na watu jeuri lakini ujruri usio na ubinadamu ni unyama.
Dunia na vitu vyote ni mali ya Mungu anapanga nani na nini kifanyike kwa malengo yake.
Imempendeza Mungu Magufuli apumzike na mama aongoze. Atatupeleka mbele zaidi kwa watanzania ni wale wale cha msingi ni kuepuka dhulma kwa watu wasio na hatia na kuwa mkali sana kwa wale watakaochezea mali za umma bila upendeleo