love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Kumbe uzalendo ni zidumu fikra za mwenyekiti?ulipashwa kumchapa kibao...maana huyo waziri anatumia kodi zako za bure....anafanya nini kwenye nyadhifa ya uwaziri kama hakubaliana na mamlaka iliyompa huo uwaziri....ulipaswa umchape kibao na kumwambia ajiuzuru haraka iwezekanavyo na ikiwezekana ungemuanika hadharani...
Huo ndio Uzalendo unapaswa kuanzia kwako...sio kuleta hizi blah blah halafu kila siku tunalalamika nchi haiendelei..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama ana uwezo wa kubana mianya gani bwana! Just be frank, bora tukutuku liende tu.
Majungu hayo,mtaje huyo waziri"Hakuna mtu hapo yaani bora liende tu"
Hivi karibuni nikiwa kwenye msiba wa mzazi wa Waziri jina kapuni kwa masikio yangu nilimsikia mmoja wa mawaziri akimponda waziwazi mama yenu akitoa hiyo kauli ya hapo juu.
Kumpuuza kwakwe yule mama ilhali ni Waziri ilinistaajabisha mno na sikuitarajia kauli kama ile kutoka kwa mtu wa nafasi kama yake.
Ukweli ni kwamba kumbe hata wasaidizi wake wanamchora na kumpuuza.
Sijasimuliwa bali ni kwa masikio yangu.
Mama hana jeuri ya kubana mianya,kwake kila kitu ruksa ili tu apate sifa binafsi ndio maana wasaidizi wake wanampinga. Leo hii si ajabu ata ukitaka kiwanja national stadium unaweza kupata😂😂🏃♂️Ni maoni yake na pengjne nyuma ya pazia kuna mianya kabaniwa.. Hawa wanasiasa hasa wa kiafrika hawaaminiki na ni wa kuogopa kuliko ukoma
Nimetumia neno PENGINE.. lakini pia kuna wanawake hata awe maharage ya Mbeya kuna atakaowanyimaMama ana uwezo wa kubana mianya gani bwana! Just be frank, bora tukutuku liende tu.
Moyo wa mtu ni kiza kinene.. Totoro kabisa.. Na daima kikulacho ki nguoni mwakoTatizo ni kipenzi chake kabisa na usiyemdhania bora hata angekuwa wale Sukuma gang wenzangu nisingeshangaa lkn huyo ni msoga OG!
Mkenda ni mchagga mwenziyoWafuasi wa Prof Mkenda acheni kutapatapa. Naona sasa mnataka mchonganisha Bashe na Rais. Yani akili yenu ni kuwa Prof atapigwa chini nafasi aichukue Bashe.
Siasa za Tanzania ngumu sana.
Siku nyingine mwambieni Prof aache jeuri na kejeli.
Kumbuka kuna watu kawatumbua ama kupelekwa ulaji kwa wengineMama hana jeuri ya kubana mianya,kwake kila kitu ruksa ili tu apate sifa binafsi ndio maana wasaidizi wake wanampinga. Leo hii si ajabu ata ukitaka kiwanja national stadium unaweza kupata[emoji23][emoji23][emoji2089]
Mama ana mianya gani ya kubana wakati yeye mwenyewe mwanya.Ni maoni yake na pengine nyuma ya pazia kuna mianya kabaniwa.. Hawa wanasiasa hasa wa kiafrika hawaaminiki na ni wa kuogopa kuliko ukoma
Amewatumbua for self ambition na sio national interest,sawa na kuhamisha tu position ya mirija lakini hawezi kuziba hiyo mirija..ni syndicated movement towards 2025 election.Kumbuka kuna watu kawatumbua ama kupelekwa ulaji kwa wengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimetumia neno PENGINE.. lakini pia kuna wanawake hata awe maharage ya Mbeya kuna atakaowanyima
Usilete majungu! Sema alisema nini. Vidokezo kuweza kumtambua aliyesema hayo."Hakuna mtu hapo yaani bora liende tu"
Hivi karibuni nikiwa kwenye msiba wa mzazi wa Waziri jina kapuni kwa masikio yangu nilimsikia mmoja wa mawaziri akimponda waziwazi mama yenu akitoa hiyo kauli ya hapo juu.
Kumpuuza kwakwe yule mama ilhali ni Waziri ilinistaajabisha mno na sikuitarajia kauli kama ile kutoka kwa mtu wa nafasi kama yake.
Ukweli ni kwamba kumbe hata wasaidizi wake wanamchora na kumpuuza.
Sijasimuliwa bali ni kwa masikio yangu.
Taja jina la huyo WaziriHuwezi mdhania aisee!
Duh .. Wakati yeye mwenyewe mwanya...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mama ana mianya gani ya kubana wakati yeye mwenyewe mwanya.
But remember the end justifies the means!Amewatumbua for self ambition na sio national interest,sawa na kuhamisha tu position ya mirija lakini hawezi kuziba hiyo mirija..ni syndicated movement towards 2025 election.