Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Huyu bibi ashafeli mapema miezi 8 tu toka awe rais keshaharibu kila kitu

Watu wanaanzaga vizuri huyu miezi 8 mambo yashakua hivi

1.Makato

2.Matozo

3.Kubomolea vibanda machinga bila utaratibu

4.Migao ya umeme

5.Migao ya maji.

6.Ufisadi serikalini


7.Tozo za mafuta.

8.Tozo za mabenk


9.Kodi ya jengo kukatwa kwenya luku


10.Mfumuko wa bei


11.Mafuta kupanda ya petrol na dizeli


12.Mikataba isiyoeleweka.

13.Urasimu kurudi serikalini


14.Vifurushi vya simu kupanda bei


15.Kusimama kwa miradi mikubwa kama nyerere


16.Kufeli na kuanza kutoendelea kwa miradi ya umma.

17.Uzembe serikalini nidhamu ya utendaji imeshuka.

18.Nchi kupoteza mwelekeo.


19.Safari za nje zisizo na tija


20.Matumizi ya mabilioni na mamikopo yasiyokua na tija kwa taifa



Kwa haya Huyu bibi ashafeli, tungekua watz wote tumeelimika na kuelewa haya huyu bibi 2025 tusingempa kura!Imagine ndo miezi 8 tu sasa hivi jee miaka 10 itakuaje?tutaangamia....Yaani huyu bibi na mwendazake hakuna cha maana walilofanya mwendazake aliharibu nchi kwa style yake na huyu nae anakuja na style yake ya kuharibu nchi
Anataka pia kukopa hela kwa ajili ya kuwajengea mazingira mazuri ya biashara Machinga.
 
😁😁😁
oCeTF.jpg
 
Huyu bibi ashafeli mapema miezi 8 tu toka awe rais keshaharibu kila kitu

Watu wanaanzaga vizuri huyu miezi 8 mambo yashakua hivi

1.Makato

2.Matozo

3.Kubomolea vibanda machinga bila utaratibu

4.Migao ya umeme

5.Migao ya maji.

6.Ufisadi serikalini


7.Tozo za mafuta.

8.Tozo za mabenk


9.Kodi ya jengo kukatwa kwenya luku


10.Mfumuko wa bei


11.Mafuta kupanda ya petrol na dizeli


12.Mikataba isiyoeleweka.

13.Urasimu kurudi serikalini


14.Vifurushi vya simu kupanda bei


15.Kusimama kwa miradi mikubwa kama nyerere


16.Kufeli na kuanza kutoendelea kwa miradi ya umma.

17.Uzembe serikalini nidhamu ya utendaji imeshuka.

18.Nchi kupoteza mwelekeo.


19.Safari za nje zisizo na tija


20.Matumizi ya mabilioni na mamikopo yasiyokua na tija kwa taifa



Kwa haya Huyu bibi ashafeli, tungekua watz wote tumeelimika na kuelewa haya huyu bibi 2025 tusingempa kura!Imagine ndo miezi 8 tu sasa hivi jee miaka 10 itakuaje?tutaangamia....Yaani huyu bibi na mwendazake hakuna cha maana walilofanya mwendazake aliharibu nchi kwa style yake na huyu nae anakuja na style yake ya kuharibu nchi
Lipa kodi acha uvivu

Samia ndo Rais wako hadi 2030 utake usitake
 
Ukisema Samia kashindwa kufanya hayo, basi pale alipoweza watu waseme Samia kafanya, mfano wale wanaodai Samia katoa pesa kiasi fulani kwa ajili ya ujenzi wa kitu fulani, jambo ambalo kwangu sio sawa.
 
Nimesikitika Sana Leo kusikia anasema tunawahitaji Sana wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

Yaani anashindwa kuelewa tu kuwa uwekezaji ni biashara.Huwezi kusema mwenye duka ni wa muhimu kuliko wateja ndo maana watu husema mteja ni mfalme.

Sisi tuna dhahabu,ardhi,nk wao wana pesa,hapa ni kubadilishana tu.
Kwanini ashobokee wawekezaji namuna hii? Lah!.
 
Nimesikitika Sana Leo kusikia anasema tunawahitaji Sana wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji.

Yaani anashindwa kuelewa tu kuwa uwekezaji ni biashara.Huwezi kusema mwenye duka ni wa muhimu kuliko wateja ndo maana watu husema mteja ni mfalme.

Sisi tuna dhahabu,ardhi,nk wao wana pesa,hapa ni kubadilishana tu.
Kwanini ashobokee wawekezaji namuna hii? Lah!.
Nchi ina tatizo kubwa la Ajira, hao wawekezaji watapunguza hili tatizo angalau kwa 25% jaribu kufikiria kama kiwanda cha Dangote kisingewepo, serikali inakusanya WHT, Stamp Duty, PAYE, SDL nk mabilioni ya Tsh. Wakati mwingine mnapojadili kitu mshirikishe kichwa na sio MATAKO.
 
Huyu bibi ashafeli mapema miezi 8 tu toka awe rais keshaharibu kila kitu

Watu wanaanzaga vizuri huyu miezi 8 mambo yashakua hivi

1.Makato

2.Matozo

3.Kubomolea vibanda machinga bila utaratibu

4.Migao ya umeme

5.Migao ya maji.

6.Ufisadi serikalini


7.Tozo za mafuta.

8.Tozo za mabenk


9.Kodi ya jengo kukatwa kwenya luku


10.Mfumuko wa bei


11.Mafuta kupanda ya petrol na dizeli


12.Mikataba isiyoeleweka.

13.Urasimu kurudi serikalini


14.Vifurushi vya simu kupanda bei


15.Kusimama kwa miradi mikubwa kama nyerere


16.Kufeli na kuanza kutoendelea kwa miradi ya umma.

17.Uzembe serikalini nidhamu ya utendaji imeshuka.

18.Nchi kupoteza mwelekeo.


19.Safari za nje zisizo na tija


20.Matumizi ya mabilioni na mamikopo yasiyokua na tija kwa taifa



Kwa haya Huyu bibi ashafeli, tungekua watz wote tumeelimika na kuelewa haya huyu bibi 2025 tusingempa kura!Imagine ndo miezi 8 tu sasa hivi jee miaka 10 itakuaje?tutaangamia....Yaani huyu bibi na mwendazake hakuna cha maana walilofanya mwendazake aliharibu nchi kwa style yake na huyu nae anakuja na style yake ya kuharibu nchi
Nauli mpya[emoji35]
Screenshot_20211203-185243.jpg
 
Huyu bibi ashafeli mapema miezi 8 tu toka awe rais keshaharibu kila kitu

Watu wanaanzaga vizuri huyu miezi 8 mambo yashakua hivi

1.Makato

2.Matozo

3.Kubomolea vibanda machinga bila utaratibu

4.Migao ya umeme

5.Migao ya maji.

6.Ufisadi serikalini


7.Tozo za mafuta.

8.Tozo za mabenk


9.Kodi ya jengo kukatwa kwenya luku


10.Mfumuko wa bei


11.Mafuta kupanda ya petrol na dizeli


12.Mikataba isiyoeleweka.

13.Urasimu kurudi serikalini


14.Vifurushi vya simu kupanda bei


15.Kusimama kwa miradi mikubwa kama nyerere


16.Kufeli na kuanza kutoendelea kwa miradi ya umma.

17.Uzembe serikalini nidhamu ya utendaji imeshuka.

18.Nchi kupoteza mwelekeo.


19.Safari za nje zisizo na tija


20.Matumizi ya mabilioni na mamikopo yasiyokua na tija kwa taifa



Kwa haya Huyu bibi ashafeli, tungekua watz wote tumeelimika na kuelewa haya huyu bibi 2025 tusingempa kura!Imagine ndo miezi 8 tu sasa hivi jee miaka 10 itakuaje?tutaangamia....Yaani huyu bibi na mwendazake hakuna cha maana walilofanya mwendazake aliharibu nchi kwa style yake na huyu nae anakuja na style yake ya kuharibu nchi
Alaa kumbe hayo uliyoorodhesha ndio kushindwa? [emoji16][emoji16] Pole Sana kajipange upya ,Samia yuko hapa hadi 2035
 
1. Makosa ya msingi kwenye teuzi zake.

Kachagua Waziri wa nishati ambaye ndo mtu wa kwanza kupinga ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme JNHP kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira.

Yani mtu aliyepinga mradi husika ndo unampa ausimamie, huoni kuwa umejichanganya mwenyewe??

Mtu mwenyewe hana utaalamu wa sehemu hiyo, matokeo yake ushayaona kwani ndani ya muda mfupi toka umpe wizara tayari drama zishakuwa nyingi ikiwemo umeme kukatika, kudanganya upungu wa maji, nk..

Huyu usipombadilisha au hata kumtumbua , badae usilaumu au kusingizia watu.

2. CCM Imerudi kwa wenyewe.

Kwenye mkutano wako wa kwanza wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM ulitamka hadharani kauli hiyo.
Watu wakajiuliza;

1. Hao wenyewe ni akina nani?
2. Hao ambao sio wenyewe (wavamizi) ni akina nani?
3. Chama si kinakuwa na utaratibu wa kupokea na kupoteza( wanaohama) wanachama?

Kama utaratibu sivyo hivyo basi utaratibu halisi ukoje?

Kumbe kuwa na kadi ya chama haitoshi?

Hii kauli yako ililete maswali tata , iliwatishia (hasa) wanachama wapya na haikuwa na afya ktk kuleta umoja na mshikamano wa chama.

3. Kujitahidi kufufua yote yaliyokataliwa na Magufuli wakati wewe mwenyewe ulikuwa msaidizi wake...

Hapa tukasikia kuwa madini hatuyali, tuwape tu wanaotaka, ...
Bandari ya Bagamoyo project ikawa activated, Makinikia yakaanza kusafirishwa, msimamo wa serikali kuhusu Corona ukabadilika, safari za nje zikawa nyingi, machinga wakafukuzwa, Tozo, hawasikii tena kukemewa kwa mafisadi, kumtegemea Mungu hakusikiki sana ....nk

4. Kulalamika na kuwaangushia zigo wengine.

Kati ya vitu sikukubaliana navyo wakati wa JPM ni kulaumu awamu ya nne kila mara.

Mama nadhani ungejikita ktk kutatua kuliko kulaumu waliopita.

Hata Jpm moja kati ya mapungufu yake lilikuwa ni hili.

Upo kwa ajili ya kutatua na si kulaumu.


Haya yote yanawafanya watu wasikuamini, wanahisi kila kitu unaamuliwa na huamui wewe, wanahisi unataka kujitenga na kipenzi chao JPM wakati huohuo wanahisi tunakoelekea siko

Mama, hakuna anayekuhujumu. Yaangalie haya mambo kwa umakini.

Kufanya mambo yako sio sababu ya kupinga kila kilicho cha Magufuli.

Kwamfano, ungeanzisha mchakato wa katiba mpya unadhani nani angekasirika?

Tuseme Mbowe ana tuhuma hizo, lakini kwanini timing ya kumkamata iwe kipindi akidai katiba mpya ambayo ni hitaji la wananchi?

JK alijiharibia hivi hivi japo alimaliza.

Uwe na utendaji mwema.

Nb; Kuna vitu mama anafanya vizuri ila anayokosea ni ya msingi zaidi.
Ukweli huu ukiongea Basi wanamfikishia huko magogoni kia ni Sukuma gang hao,Japo wengi wao wala hawahusiki na kabila hilo.

Ila Sasa wengi wanakubali kuitwa Sukuma gang maana imeanza kuonekana wasema kweli na kukosoa KWA Sasa ndo hao wanaoitwa Sukuma gang.

WAZEE WA MAMA ANAUPIGA MWINGI WAJITOKEZE SASA KUMSAIDIA
 
Ukweli huu ukiongea Basi wanamfikishia huko magogoni kia ni Sukuma gang hao,Japo wengi wao wala hawahusiki na kabila hilo.

Ila Sasa wengi wanakubali kuitwa Sukuma gang maana imeanza kuonekana wasema kweli na kukosoa KWA Sasa ndo hao wanaoitwa Sukuma gang.

WAZEE WA MAMA ANAUPIGA MWINGI WAJITOKEZE SASA KUMSAIDIA
Kwa kuboronga huku mtetezi lzm Ana remote mkononi.
 
Angetuundia tume yakuchunguza kifo cha magufuli kidogo sisi sukuma geng tungemuuelewa,hiii kupita hivi kimya kimya na anashuhudia magufuli akinangwa na wapumbavu wachache na hasemi chochote tunaumia sana.tunamuona naye ni walewale
 
Umesema angeanzisha mchakato wa kupata katiba mpya nani angekasirika?

Ina maana hujui suala la katiba mpya limekuwa ni wimbo wa muda mrefu na ni sumu kali kwani wanaccm hawataki kuisikia maana inaenda kuua maslahi yao kuendelea kutawala! Katiba iliyopo tu haifuatwi licha ya ubovu wake mkubwa.

Mwalimu 1982 aliona kwa katiba hii akipatikana kiongozi mwenye kutumia mwanya wa "madaraka yaliyopitiliza" atajigeuza mungu na kweli miaka 6 imepita nchi ilikua mateka wa mtu mmoja!

Watanzania hawajifunzi especially CCM tusubiri mwingine aje ajimwambafai tena ndio akili zitakuja labda
 
Wakuu salaam,

Rais samia unashangaza sana, unaukana ufisadi katika utawala wako akati hilo kundi la washirika wako wakuu ni mafisadi papa, unaukana ufisadi ktk utawala wako akati washauri wako wakuu ni hao hao mafisadi papa, unaukana ufisadi kakati utawala wako akati mafisadi ni sehemu ya teuzi zako, hii dhana ya ufisadi huwezi kuiepuka ktk utawala wako madamu umejifungamanisha na mafisadi katika utawala wako.
 
Back
Top Bottom