Vita ni mbaya mabando na tozo za miamala ni mataokeo ya vita vya ukraine.
Pesa zina raha yakeKama ipo heshima PM Majaliwa ataipata ni kwa yeye ku resign sasa na abaki kuwa Mbunge pekee.
Kwa namna boss wake anavyoiendesha Nchi ni wazi si kile ambacho yeye anakiamini moyoni mwake na kuendelea kubaki ndani ya Baraza la Mawaziri hakika itaonyesha udhaifu na unafiki ndaniye jambo ambalo ki siasa huenda likaja kumgharimu huko mbeleni.
Ku resign ni bonge ya turufu kisiasa kwa PM Majaliwa hasa nyakati hizi ziwazo.
Kama ipo heshima PM Majaliwa ataipata ni kwa yeye ku resign sasa na abaki kuwa Mbunge pekee.
Kwa namna boss wake anavyoiendesha Nchi ni wazi si kile ambacho yeye anakiamini moyoni mwake na kuendelea kubaki ndani ya Baraza la Mawaziri hakika itaonyesha udhaifu na unafiki ndaniye jambo ambalo ki siasa huenda likaja kumgharimu huko mbeleni.
Ku resign ni bonge ya turufu kisiasa kwa PM Majaliwa hasa nyakati hizi ziwazo.
Wewe unamsemea kama nani?Kama ipo heshima PM Majaliwa ataipata ni kwa yeye ku resign sasa na abaki kuwa Mbunge pekee.
Kwa namna boss wake anavyoiendesha Nchi ni wazi si kile ambacho yeye anakiamini moyoni mwake na kuendelea kubaki ndani ya Baraza la Mawaziri hakika itaonyesha udhaifu na unafiki ndaniye jambo ambalo ki siasa huenda likaja kumgharimu huko mbeleni.
Ku resign ni bonge ya turufu kisiasa kwa PM Majaliwa hasa nyakati hizi ziwazo.
Mrija ajikatie mwenyewe mapema[emoji23][emoji23][emoji23]kabla ya kukatwa. Nguvu ya kufanya hivyo anaitoa wapi? Vile viti/vyeo vina utamuuuuPesa zina raha yake
Rais wako haku-resign wakati Magu ni boss japo ni dhahiri hawakukubaliana katika mengi.Kwa namna boss wake anavyoiendesha Nchi ni wazi si kile ambacho yeye anakiamini moyoni mwake na kuendelea kubaki ndani ya Baraza la Mawaziri hakika itaonyesha udhaifu na unafiki ndaniye jambo ambalo ki siasa huenda likaja kumgharimu huko mbeleni.
Mkuu ilikuwa kipindi gani tukio hilo? Wakati huo alikuwa na nafasi gani serikalini?.Nikimwangalia majaliwa huwa nakumbuka kipindi aliwalamba waalimu bakora namwona hamnazo.
Ni mtu anayependa kutatua jambo kwa kutumia nguvu bila akili