Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maudhui ya ujumbe wako yanaonesha we siyo mwanasisiemu bali umeandika kiuchonganishi kama mganga mpiga ramuli chonganishi. Hapa unawatafutia ubaya wana ccm wenyewe kwa kuwaambia wanalamba asali ilihali wananchi wanalalamika na ugumu wa maisha kwa mfumko wa bei. Ushtakiwe kwa kupiga ramli chonganishi.Heri ya sisi wana CCM. Nikitizamana hali ya Wapinzani kwa sasa ni Mbaya. Wamepigwa utosini na mbavu zimevunjwa. Wanacheka, Wanakohoa,Wanapiga Chafya ,Wanapumua kwa Shida sana. Kifupi wana hali mbaya.
Sisi wana CCM tunalamba tu asali....alamba alamba...alamba tena.... Ilmradi Burdani Mambo Bull Bull.
Kila napopita nasikia wakilalamika kuwa maisha yamepanda gharama....nawatizama nasema. "Hiiiiiiiiii" hayo sisi yanatuhusu nini Wana CCM tunalamba tu Asali taratibu wao wakilamba Shubiri.
Sukuma Gang wapo chali kwa sasa...Mama anaupiga Mwingi mpaka unamwagika.... Anaupiga Mwingi Sana.
View attachment 2213567
View attachment 2213568
TUENDELEENI KUNYWA MTORI. NYAMA TUTAZIKUTA CHINI.
Hata kupanda kwa Mafuta kunawaumiza sana WapinzaniHeri ya sisi wana CCM. Nikitizamana hali ya Wapinzani kwa sasa ni Mbaya. Wamepigwa utosini na mbavu zimevunjwa. Wanacheka, Wanakohoa,Wanapiga Chafya ,Wanapumua kwa Shida sana. Kifupi wana hali mbaya.
Sisi wana CCM tunalamba tu asali....alamba alamba...alamba tena.... Ilmradi Burdani Mambo Bull Bull.
Kila napopita nasikia wakilalamika kuwa maisha yamepanda gharama....nawatizama nasema. "Hiiiiiiiiii" hayo sisi yanatuhusu nini Wana CCM tunalamba tu Asali taratibu wao wakilamba Shubiri.
Sukuma Gang wapo chali kwa sasa...Mama anaupiga Mwingi mpaka unamwagika.... Anaupiga Mwingi Sana.
View attachment 2213567
View attachment 2213568
TUENDELEENI KUNYWA MTORI. NYAMA TUTAZIKUTA CHINI.
Kwa hiyo huyu kumbe hakuwa anampenda mama yake? Maana hakuzikwa pembeni yake....
Sura inacheka macho yanalia.....🤣🤣🤣🤣UZURI SASA HIVI HATA KILA MTU ANALIA KWENYE KONA. AKIONANA NA BOSI WAKE ANAJIBARAGUZA.
Wapinzani sasa Mmepagawa...... Na Bado.Kwa maudhui ya ujumbe wako yanaonesha we siyo mwanasisiemu bali umeandika kiuchonganishi kama mganga mpiga ramuli chonganishi. Hapa unawatafutia ubaya wana ccm wenyewe kwa kuwaambia wanalamba asali ilihali wananchi wanalalamika na ugumu wa maisha kwa mfumko wa bei. Ushtakiwe kwa kupiga ramli chonganishi.
Kinachotakiwa ni kuchukua actionHabari wadau!
Sitaki kuongea sana ila kwa interview Ile ya TIDO MHANDO na HANGAYA Nimepata mashaka kidogo
Ikiwa tunaweza kulinganisha bei ya Mafuta ya Marekani kuwa sawa na Tanzania bila kufikiri utofauti wa uchumi kati ya nchi hizi basi mimi niseme tu kuwa tuongeze maombi haya tunayoomba hayatoshi
KAZI IENDELEEEMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Yani tunafanywa Kama mazuzu royal tour original inasema magu kafa na korona hii ya mchongo wameedit na kufuta vipande.Kwa mambo yanavyo enda endapo kweli Mama atarudishwa Madarakani basi Shetani hatatuelewa kabisa.
Huyu Tangu arudi kutoka Marekani hakuna Cha maana anacho Ongea kwa Taifa lake zaifi ya Royol tour.Yaani mafanikio yake makubwa ni Royol tour.
Rwanda walifanya Royol tour ila Kagame hakuwa frontline line kuinadi na hajawahi hata izungumzia.
Huyu Mama kutwa nzima ni Royol tour ina maana maisha ni Royol tour pekee?
Kuna Upigaji wa kutisha na walio piga pesa hata kama ni awamu ya 5 lakini asilimia 99 wako madarakani kwa sasa hakuna kinacho fanyika, Huyu Mama huwezi msikia hata siku moja akizungumzia ufisadi, katika vitu anavikwepa ni hivuo na sana anaoma atawaudhi watu wake.
Watanzania tusipo simama kulinda Mother land hata shetani atatushangaaa sana achilia mbali vizazi vijavyo