Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mimi ngoja nimuambie kwa kumkuna kidogo...."Eti Mama, huyu sifi leo anasema hali ya maisha mtaani ni ngumu! 🙄

Halafu pia kuna wale Mataga! Kiukweli kwa sasa wana hasira sana! Na wenyewe tunawasaidia vipi? 😫
 
Heri ya sisi wana CCM. Nikitizamana hali ya Wapinzani kwa sasa ni Mbaya. Wamepigwa utosini na mbavu zimevunjwa. Wanacheka, Wanakohoa,Wanapiga Chafya ,Wanapumua kwa Shida sana. Kifupi wana hali mbaya.

Sisi wana CCM tunalamba tu asali....alamba alamba...alamba tena.... Ilmradi Burdani Mambo Bull Bull.

Kila napopita nasikia wakilalamika kuwa maisha yamepanda gharama....nawatizama nasema. "Hiiiiiiiiii" hayo sisi yanatuhusu nini Wana CCM tunalamba tu Asali taratibu wao wakilamba Shubiri.

Sukuma Gang wapo chali kwa sasa...Mama anaupiga Mwingi mpaka unamwagika.... Anaupiga Mwingi Sana.

Screenshot_2022-05-06_082611~2.jpg

Screenshot_2022-05-05_205728~2.jpg


TUENDELEENI KUNYWA MTORI. NYAMA TUTAZIKUTA CHINI.
 
UZURI SASA HIVI HATA KILA MTU ANALIA KWENYE KONA. AKIONANA NA BOSI WAKE ANAJIBARAGUZA.
 
Ngojeni Uchaguzi mkuu,labda mkimbie na maboksi ya kura.
 
Heri ya sisi wana CCM. Nikitizamana hali ya Wapinzani kwa sasa ni Mbaya. Wamepigwa utosini na mbavu zimevunjwa. Wanacheka, Wanakohoa,Wanapiga Chafya ,Wanapumua kwa Shida sana. Kifupi wana hali mbaya.

Sisi wana CCM tunalamba tu asali....alamba alamba...alamba tena.... Ilmradi Burdani Mambo Bull Bull.

Kila napopita nasikia wakilalamika kuwa maisha yamepanda gharama....nawatizama nasema. "Hiiiiiiiiii" hayo sisi yanatuhusu nini Wana CCM tunalamba tu Asali taratibu wao wakilamba Shubiri.

Sukuma Gang wapo chali kwa sasa...Mama anaupiga Mwingi mpaka unamwagika.... Anaupiga Mwingi Sana.

View attachment 2213567
View attachment 2213568

TUENDELEENI KUNYWA MTORI. NYAMA TUTAZIKUTA CHINI.
Kwa maudhui ya ujumbe wako yanaonesha we siyo mwanasisiemu bali umeandika kiuchonganishi kama mganga mpiga ramuli chonganishi. Hapa unawatafutia ubaya wana ccm wenyewe kwa kuwaambia wanalamba asali ilihali wananchi wanalalamika na ugumu wa maisha kwa mfumko wa bei. Ushtakiwe kwa kupiga ramli chonganishi.
 
Heri ya sisi wana CCM. Nikitizamana hali ya Wapinzani kwa sasa ni Mbaya. Wamepigwa utosini na mbavu zimevunjwa. Wanacheka, Wanakohoa,Wanapiga Chafya ,Wanapumua kwa Shida sana. Kifupi wana hali mbaya.

Sisi wana CCM tunalamba tu asali....alamba alamba...alamba tena.... Ilmradi Burdani Mambo Bull Bull.

Kila napopita nasikia wakilalamika kuwa maisha yamepanda gharama....nawatizama nasema. "Hiiiiiiiiii" hayo sisi yanatuhusu nini Wana CCM tunalamba tu Asali taratibu wao wakilamba Shubiri.

Sukuma Gang wapo chali kwa sasa...Mama anaupiga Mwingi mpaka unamwagika.... Anaupiga Mwingi Sana.

View attachment 2213567
View attachment 2213568

TUENDELEENI KUNYWA MTORI. NYAMA TUTAZIKUTA CHINI.
Hata kupanda kwa Mafuta kunawaumiza sana Wapinzani

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa maudhui ya ujumbe wako yanaonesha we siyo mwanasisiemu bali umeandika kiuchonganishi kama mganga mpiga ramuli chonganishi. Hapa unawatafutia ubaya wana ccm wenyewe kwa kuwaambia wanalamba asali ilihali wananchi wanalalamika na ugumu wa maisha kwa mfumko wa bei. Ushtakiwe kwa kupiga ramli chonganishi.
Wapinzani sasa Mmepagawa...... Na Bado.
 
Habari wadau!
Sitaki kuongea sana ila kwa interview Ile ya TIDO MHANDO na HANGAYA Nimepata mashaka kidogo
Ikiwa tunaweza kulinganisha bei ya Mafuta ya Marekani kuwa sawa na Tanzania bila kufikiri utofauti wa uchumi kati ya nchi hizi basi mimi niseme tu kuwa tuongeze maombi haya tunayoomba hayatoshi
 
Habari wadau!
Sitaki kuongea sana ila kwa interview Ile ya TIDO MHANDO na HANGAYA Nimepata mashaka kidogo
Ikiwa tunaweza kulinganisha bei ya Mafuta ya Marekani kuwa sawa na Tanzania bila kufikiri utofauti wa uchumi kati ya nchi hizi basi mimi niseme tu kuwa tuongeze maombi haya tunayoomba hayatoshi
Kinachotakiwa ni kuchukua action
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
KAZI IENDELEEE
 
Kwa mambo yanavyo enda endapo kweli Mama atarudishwa Madarakani basi Shetani hatatuelewa kabisa.

Huyu Tangu arudi kutoka Marekani hakuna Cha maana anacho Ongea kwa Taifa lake zaifi ya Royol tour.Yaani mafanikio yake makubwa ni Royol tour.

Rwanda walifanya Royol tour ila Kagame hakuwa frontline line kuinadi na hajawahi hata izungumzia.

Huyu Mama kutwa nzima ni Royol tour ina maana maisha ni Royol tour pekee?

Kuna Upigaji wa kutisha na walio piga pesa hata kama ni awamu ya 5 lakini asilimia 99 wako madarakani kwa sasa hakuna kinacho fanyika, Huyu Mama huwezi msikia hata siku moja akizungumzia ufisadi, katika vitu anavikwepa ni hivuo na sana anaoma atawaudhi watu wake.

Watanzania tusipo simama kulinda Mother land hata shetani atatushangaaa sana achilia mbali vizazi vijavyo
 
Kwa mambo yanavyo enda endapo kweli Mama atarudishwa Madarakani basi Shetani hatatuelewa kabisa.

Huyu Tangu arudi kutoka Marekani hakuna Cha maana anacho Ongea kwa Taifa lake zaifi ya Royol tour.Yaani mafanikio yake makubwa ni Royol tour.

Rwanda walifanya Royol tour ila Kagame hakuwa frontline line kuinadi na hajawahi hata izungumzia.

Huyu Mama kutwa nzima ni Royol tour ina maana maisha ni Royol tour pekee?

Kuna Upigaji wa kutisha na walio piga pesa hata kama ni awamu ya 5 lakini asilimia 99 wako madarakani kwa sasa hakuna kinacho fanyika, Huyu Mama huwezi msikia hata siku moja akizungumzia ufisadi, katika vitu anavikwepa ni hivuo na sana anaoma atawaudhi watu wake.

Watanzania tusipo simama kulinda Mother land hata shetani atatushangaaa sana achilia mbali vizazi vijavyo
Yani tunafanywa Kama mazuzu royal tour original inasema magu kafa na korona hii ya mchongo wameedit na kufuta vipande.
Eti billion 7 kushoot filamu watu wanalalamika kupanda kwa nauli na gharama za maisha .
Kiongozi wa hovyo haijawah kutokea nchi tutaikosa hii.
 
Back
Top Bottom