Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Mlipo piga kura ya kumchagua raisi,Samia alikuwa mgombea mwenza wa marehemu Magufuli,na picha yake ilikuwepo kwenye karatasi la kura,kwa hiyo wa kulaumiwa ni nyinyi hapo mliompigia kura Magufuli akiwa na mgombea mwenza ambaye sasa hivi mnasema anafanya vibaya.
Ukifuatikiwa chaguzi za Marekani,mgombea uraisi huwa ananyimwa kura kama wapiga kura hawajaridhishwa na sofa za mgombea mwenza mwenza.
Msitupigie makelele kabisa,mnahusika moja kwa moja na Samia kuwa raisi,ila sababu ya umbumbumbu wenu mnaandika vitu msivyovijua Ili kumchafua wakati ambapo nyinyi ndiyo mlio muweka.
Ukifuatikiwa chaguzi za Marekani,mgombea uraisi huwa ananyimwa kura kama wapiga kura hawajaridhishwa na sofa za mgombea mwenza mwenza.
Msitupigie makelele kabisa,mnahusika moja kwa moja na Samia kuwa raisi,ila sababu ya umbumbumbu wenu mnaandika vitu msivyovijua Ili kumchafua wakati ambapo nyinyi ndiyo mlio muweka.