Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mimba ya Chato ndiyo nini? Naanzaje kuteseka wakati tumemzika DIKTETA 27/ 03/ 21 na tuko na sherehe full mzuka?

Unateseka wewe ambaye mungu wako Magufuli analiwa na minyoo na sisimizi
Alikuachia mimba changa muda wote full mate shenzitype
 
Hawa Sukuma Gang ni kama wamerogwa na Marehemu sasa hakuna wa kuwatibu kilichobaki wakazikwe pembeni ya kaburi la mfalme wao.
 
Hizo pumba kawape nguruwe ndiyo wanastahili au wape wanao kama unao, siyo kuleta hapa JF kwenye watu wana akili ya kuchambua mambo.

Magufuli alikuwa anatupeleka shimoni na nyinyi wajinga msio na elimu mlikuwa mnamshangilia ujinga na uwongo wake. Bila Mungu kuingilia kati hii Tanzania ilikuwa inakwenda ku collapse economically kama Zimbabwe. Rot in Hell Magufuli
Shimoni kwa mama yako au wapi maana mambo aliokuwa anafanya yanaonekana shimo lipi hilo kwa sasa hii inawezekana mbeleni isiwe nchi litakuwa kundi la machawa tu apa duniani kama wewe na uzao wako mkiongezeka
 
Mimba ya Chato ndiyo nini? Naanzaje kuteseka wakati tumemzika DIKTETA 27/ 03/ 21 na tuko na sherehe full mzuka?

Unateseka wewe ambaye mungu wako Magufuli analiwa na minyoo na sisimizi
Mbona hata mamako mzazi ataliwa na funza na minyoo?

Kama unabisha subiri muda ukwambie
 
Sasa hivi gesi ni mali,Uranium ni kipusa ila Uganda ina Mafuta ,umeona hapo mama ameona mbali,waTz walio na short sight wanabangaiza tu hawana muelekea ,ni vipofu hata wakishikwa mkono bado wanabishana.
 
Cheti bandia?? Mbona Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD bandia. Na Ben Saanane alipomuuliza athibitishe kama PhD ni ya kwake akamuua. Mbona Daudi Bashite alitumia cheti cha Paul Makonda na akamuacha aendelee kuwa RC wa Dar?

Mungu hapendi double standard ndiyo maana akamnyakua na kumtupa jejanam pamoja na ulinzi wake wa kijeshi na mabundiki hayakufua dafu
Amthibishie kama nani?

Ndio maana kalikufa kajinga kale ka ben
 
Alikufanya vibaya sana huko nyuma huna hamu nae ee
Nani mshindi sasa kati yangu na yeye? Raha ni kuona mtu aliyeabudiwa na wafuasi wake wapimbavu kuwa ni Mungu anapokufa kwa COVID 19 na maiti yake kutembezwa Dar, Zanzibar, Mwanza na Dodoma
 
Nani mshindi sasa kati yangu na yeye? Raha ni kuona mtu aliyeabudiwa na wafuasi wake wapimbavu kuwa ni Mungu anapokufa kwa COVID 19 na maiti yake kutembezwa Dar, Zanzibar, Mwanza na Dodoma
Kutembezwa vile ni legacy nzuri sana!

Wewe maiti yako itatupwa kama gogo tu
 
Kwan unamdagani hujafika mwanza ? Marekebisho ya uwanja wa ndege ya mwanza hukuyaona ? Na upanuaji wa barabara ya kutoka airport hukuyaona ? Hivi hujui airport ata nchi za magharibi zipo adi vuchakani ? Airport ata mashambani zipo .. mentality yake ilikua kuona Kila mkoa unajibeba wenyewe ..Yan unapata Kila kitu .. airport ya chato hushusha watalii wanaonda kutalii hifadhi ya rubondo kuliko zamani walivyokua wanashukia mwanza na kuchukua magari kwenda kwenye hifadhi .. so Bado hujapata picha adi apo ?
Rubbish, Chato siyo priority !! Rubondo watu wakaangalie wale nyani na ndege??

Acheni kuunga mkono mtu mbinafsi aliyependelea kwao!!
 
Kivipi toa fact acha kubwatuka hivi unajua kilo ya Mchele Ni 2500 ?
Unataka kilo ya mchele iwe Tsh ngapi? Ni lini wakulima wa Tanzania watapata bei nzuri ya mazao Yao?

Bei hupangwa na market forces za supply and demand, period
 
Yaani uganda ambayo ilitakiwa kuwa koloni letu baada ya kuiteka mwaka 1978 leo ndo inatugawia sukari na dawa za ARV? haya mambo ya ajabu sana....
Kweni hujui faida za Makoloni,punguza kula Ugali Bro unashusha IQ.
 
Rubbish, Chato siyo priority !! Rubondo watu wakaangalie wale nyani na ndege??

Acheni kuunga mkono mtu mbinafsi aliyependelea kwao!!
Hao hao nyani ndo watalii humiminika kuwatazama Kama wew unaidharau hifadhi ya inchi yako Kuna watu wanaithamini .. Wana chato wastaili pia kupata maendeleo Kama mikoa mingine maana huchangia pia kipato kwenye inchi chato stand ya mabasi ilikua ya vumbi miaka yate but kwasasa panavutia .. Sasa Ni ubinafsi upi unao ongelea ? Au ulitamani Kodi ya wanachato iendelee kupigwa Na vigogo kidimbwi ? Grow up
 
Tunakushukuru Mkuu na wewe kuweza kuweka Mada ya kitoto alafu watu wazima wakachangia
 
Unataka kilo ya mchele iwe Tsh ngapi? Ni lini wakulima wa Tanzania watapata bei nzuri ya mazao Yao?

Bei hupangwa na market forces za supply and demand, period
So ata Mchele ukifika 5k kwa kilo utashangilia ? Unajua magufuli alipiga marufu kuuza chakula nje kiolela ndio maana tulinunua Mchele kwa Bei ya 1000 /= kwa miaka yote mi 5 alioongoza ?
 
Back
Top Bottom