G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,737
- 1,891
Correction..bomba la mafuta baada ya utafiti uliofanywa na shell ndo ikaamuliwa kuwa kuja chongoleani tanga ni garama nafuu zaidi kuliko kwenda mombasa. Halikupitishwa tz kwa favour.Unapotaka kujenga hoja usiwe na ukakasi wa hadidu za rejea......
Nakukumbusha kuwa mh.Rais Y.Museveni alipotutembelea alituomba TUNUNUE SUKARI KUTOKA UGANDA....tusisahau kuwa Kenya imepunguza kiwango cha kuingiza sukari ya Uganda(wao pia wananunua kutoka Zambia ,Sychelles na kwengineko)....Sasa ule msemo wa "if I scratch you ,scratch me back"-Bomba la mafuta kutoka HOIMA limepitishwa Tanzania badala ya njia fupi(kuelekea Mombasa).....
#Siempre JMT[emoji120]