Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo niTanzania haijawahi kuwa na Rais wa hovyo namna hii
unajua maana ya hatamu?Huyo ndiye Rais wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?
Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo?
Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Si bora mjinga ampinge kuliko kuwa na lundo la kenge kwenye msafara wa mamba kama wewe?Ni mjinga tu atamsapoti
Kwamujibu wa Muuza Kangara,ila ujue TU ni Bora ya Sasa kuliko shetani wa Jana,njia iliyonyoofu angalao bado inaonekana 🏋️Mpaka 2025 inagota na huyu kiongozi anaondolewa madarakani basi taifa ketu litakuwa limepata hasara kubwa.
Maana yupo na syndicate ya wanaCCM ambao sasa hivi kuna minog'ono kuwa wao wameamua kupiga mali ya umma kulamba asali kwa mikono miwili.
Sasa hivi anatumia zaidi ya bil 2 kwa safari za kwenda nje ya nchi kila baada ya wiki mbili. Je hizi pesa zisingeweza kuleta maendeleo ya taifa letu? Wananchi wanakosa hadi chakul
Mkuu, iombee nchi yako na Rais wako kwa Mola wako, kwa kuwa 2030 bado ipo mbali sana.Rais mkandamizaji hawezi kuwa ba baraka hata kidogo. Sasa mwaka mmoja tu ameshajidhihirisha kuwa yupo upande wa wapigaji na mafisadi.
Tozo za miamala ya simu ni uonevu mkubwa kwa raia masikini.
Mbaya zaidi rais Samia anatumia hizo tozo kufanya anasa zake. Sasa yupo Oman, juzi alikuwa Usa kesho hatujui.
Kuupiga mwingi kumebuma.
Royal tour ndio imebuma kabisa.
2025 hatoboi.
Unahangaika bure,Rais ni Samia hadi 2030 akiwa mzima 👇Rais mkandamizaji hawezi kuwa ba baraka hata kidogo. Sasa mwaka mmoja tu ameshajidhihirisha kuwa yupo upande wa wapigaji na mafisadi.
Tozo za miamala ya simu ni uonevu mkubwa kwa raia masikini.
Mbaya zaidi rais Samia anatumia hizo tozo kufanya anasa zake. Sasa yupo Oman, juzi alikuwa Usa kesho hatujui.
Kuupiga mwingi kumebuma.
Royal tour ndio imebuma kabisa.
2025 hatoboi.
Aibe kwa sababu zipi wakati atapata ushindi wa kishindo saa saba mchana siku ya pili yake..Uchaguzi wa 2025 hashindi hata akiiba kura. Watu watadhibiti wakurugenzi na tume.