Najua watakuja ila huo ndoukweli. Huyu mama hakuna hata mmoja anaempenda yupo sawa na Ndugai tu, nimefanya assessment kubwa sana juu ya ubora na umaridadi wa huyu Mama asienyonyesha kwa sasa nimegundua wanaomchukia kupindukia ni wanawake, wa zanzibar na wanaccm.
Wewe mwanamke wewe kama una mawazo yakutaka kugombea urais basi unajichosha tu bora ukalee Familia yako ukae na mme wako upike chukuchuku na pweza mle mlale lakini wazo la kuwa Rais baada ya 2025 lifute kwenye kichwa chako hicho.
Ndio maana Uhuru media walikuweka wazi wewe ukakurupuka kuwapiga ban ila huo ndo ukweli. Sasa kama huamini subiri uchaguzi ukifika hususan ndani ya Chama chenu utaona fukutu Zito zaidi ya Enzi za lowassa, patakuwa na songombingo patashika nguo kuchanika na hutaamini.
Ndio maana wafanyabiashara wanakudharau tu, kila siku wanapandisha bei ya bidhaa zao. Sabuni ya empirial ya buku zamani saizi inauzwa 2000, sabuni ya jamaa zamani kipande ilikuwa 500 saizi 700, dawa ya whitedent ya buku saizi ni buku jero, Mafuta na Mchele ndousiseme. Yani wanakudharau kuliko mjumbe wa nyumba kumi huku wakijua huna cha kufanya maana hata wewe unapiga madili kibao ya mikopo na tozo za masikini.
NAKUPA USHAURI: Acha kushupaza shingo na hayo madaraka, huko kupuuza kwenu kwa kuwa unamiliki jeshi, mahakama na bunge ndokunafanya Mwenyezi mungu apate hasira na gadhabu maana anaona unajipa ukuu wake anaamua kufanya maajabu kama yamwendazake.
Sasa thamini kilio cha wananchi, wananchi wanataka unafuu wa maisha. Wewe kwa siku unatumia zaidi million 200 kwa kodi zetu ukidhani umeula ila kumbe unajitafuna mwenyewe maana ziku zinakuja ndugu na watoto watatamani unywe hata kijiko kimoja cha uji ili wapate tumaini but it will be toooo late.
Nimeandika haya nikiwa na hasira nahuu utawala wa kiimla unatumia nguvu nyingi kushawishi wapinzani kwa pesa nyingi sana nawao wanaingia kwenye mtego, Sasa hivi jemedari wetu Jabari la siasa Lissu Antipas Tundu tayari wamempiga gundi mdomoni hawezi kuongea tena baada ya kujaziwa kama zote kwenye credit card [emoji388], Mbowe nae hatusikii Katiba mpya kaishia kuwaachia uvivu John pambalu na mwaipaya masikini ya mungu wale watoto hawajui tu wanatwanga maji kwenye kitu.