Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Watu wanakula tu,wanavimbiwa hadi wanakosa la kumshauri mama wa watu.
 
Muacheni Mama afanye kazi, mabadiliko yanahitaji muda sio over night dream
Asipofanya sasa mabadiliko, MABADILIKO yatabadilisha Yeye.

Mbona ni Rahisi tu, awafukuze Makamba na Mwigulu waingie watu waliobobea,waadilifu, wenye uzoefu kwenye masuala hayo watusaidie kuukwamua Uchumi wetu.
 
Mama kunahaja ya yeye kuangalia washauri wake ni kama haoni mambo yanavyoenda malalamiko ya wananchi ni makubwa yeye ameziba masikio kule Bima huku mfumuko wa bei kila kitu kipo hoi watendaji wake wanakula kuku kwa mlija huku wananchi wakisoma namba kwa kukosa huduma mbalimbali za kijamii kwa kweli nchi yetu kuongoza ni rahisi sana. hii awamu ni ngumu na hatari kuwahi kutokea tangu tupate uhuru.

Mama hali ni ngumu mno tena ni ngumu mno hao vijana wako ni matapeli wanakupotosha huku mtaani mambo ni magumu mno watu wamechoka chakali! wanakuita majinamengimengi mwisho wa siku watatoka hapo yatakuwa kama ya srilanka.
Fanya kazi acha uvivu,kulia lia ni adui wa maendeleo.
 
Hakuna Waziri Mkuu Muongo Duniani kama Kassim Majaliwa!!!
 
Mama kunahaja ya yeye kuangalia washauri wake ni kama haoni mambo yanavyoenda malalamiko ya wananchi ni makubwa yeye ameziba masikio kule Bima huku mfumuko wa bei kila kitu kipo hoi watendaji wake wanakula kuku kwa mlija huku wananchi wakisoma namba kwa kukosa huduma mbalimbali za kijamii kwa kweli nchi yetu kuongoza ni rahisi sana. hii awamu ni ngumu na hatari kuwahi kutokea tangu tupate uhuru.

Mama hali ni ngumu mno tena ni ngumu mno hao vijana wako ni matapeli wanakupotosha huku mtaani mambo ni magumu mno watu wamechoka chakali! wanakuita majinamengimengi mwisho wa siku watatoka hapo yatakuwa kama ya srilanka.
Msimstue ili azidi kuharibikiwa kazi iwe nyepesi huko mbele ya safari

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Naskia maama kazungukwa na mgaso ndo ina control akili ya bi mdashi kwa sasa.

Kikubwa tusubiri nn kinafuatwa 2025 inshallah kheri itakuepo!


Naomba kuwasilisha.
 
Kuongoza nchi siyo sawa na kula ugali eti kila mtu ana weza.
 
Back
Top Bottom