The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Rais wa soga za kufariji maskini 😆😆Mzilankende, Ngosha, Jiwe, Chuma, Chapa Ng'ombe
Kwenye Utawala Wangu Mimi, Sitabembeleza Mtu
Ngojeni Atakayekuja Na Kuwabembeleza
Unampa Mtoto Yai, Ale Bado Analia
Unampa Uji Anywe, Anatupa Kikombe Chini Uji Unamwagika
Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi
Unamzaba Kofi Moja, Utaona Atakavyobugia Yai Haraka Haraka
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Msema Kweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Kwani maandishi yanatoa sauti?😂😂😂😂Wewe Ridhimoko kaa kimya
Ni uongo, unasema uongo Wewe baiskeli ya miti! Zito amekudanganya Wewe na wenzako kwamba mkazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake, hilo haliwezekani! Kufa uzikwe kwenu, na kama unafikiri utamkuta babaako ndo malaika mkuu, kwenye jamuhuri ya jehanamu, kuna sapuraizi inakusubiri huko, sukumagang wewe! Pia, mwanachama wa Umoja ‘wa wajane’ party, wewe!Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Kwa Hiyo treni ya umeme ilishindwa kufanya yafuatayo,Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
imekuuma eehNi uongo, unasema uongo Wewe baiskeli ya miti! Zito amekudanganya Wewe na wenzako kwamba mkazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake, hilo haliwezekani! Kufa uzikwe kwenu, na kama unafikiri utamkuta babaako ndo malaika mkuu, kwenye jamuhuri ya jehanamu, kuna sapuraizi inakusubiri huko, sukumagang wewe! Pia, mwanachama wa Umoja ‘wa wajane’ party, wewe!
Umefumbia macho;Kwa Hiyo treni ya umeme ilishindwa kufanya yafuatayo,
-kukamilisha mradi hata mmja iliyoanzisha kwa miaka 5,
-Ilikwiba 1.2 Til.,
-Ilifanya Upigaji kweli miradi ya Chato,kigongo-busisi,Bwawa la Nyerere
-Ilishindwa kupandisha mishahara,kulipa wastaafu,kupandisha madaraja na posho za watumishi.
More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Wewe January Makamba wewe acha uboya, hakuna mtumishi anaye furahia kuongezwa elfu 20 na kulipishwaKawaulize watumishi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.
Waulize wafanyabiashara kama wanataka warudi Misri kuporwa pesa au waendelee mbele,
Waulize wakandarasi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,
Waulize wakulima kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,
Waulize Wastaafu,walioitwa cheti feki na darasa la saba kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.,
Waulize wavuvi kama wanataka warudi Misri kuporwa nyavu au waendelee mbele,
Waulize wanafunzi na wazazi wao kama wanataka kurudi kupata mikopo kwa mafungu,kuanza form one kwa mafungu,kulipa ada ya form six,kukaa chini na kwenye vyumba vichache vya madarasa au wanataka waendelee mbele,
Waulize Wana habari na watu wa haki za Binadamu wakiwemo NGOs kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,
Mwisho waulize Chadomo wanataka warudi Misri kutekwa au waendelee mbele?
Yaani hiyo ni orodha kiuchache tuu..
More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.
Mataahira wenzako watakuelewa.More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.
Watz wengi tulipoteza mzalendo isipokuwa wewe tu mpenda madiliUliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.
Mungu amemaliza ugomvi.
Kama ameshapotea move on. Ni kama vile unamtafuta ndani ya Samia, hilo haliwezekani.
yeye ndio mpumbavu au wew ndio mpumbavu kwa kujibu upumbavu wakeUliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.
Mungu amemaliza ugomvi.
We jamaa usimsingizie Mungu kwenye umafia wenuUliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.
Mungu amemaliza ugomvi.
Tatizo lilianzia kwa huyo unayemuita mtu wa maanaKwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Mkiishiwa hoja mnaishia kutukana ila huo ndio ukweli. He was so reckless that believed in one sided policy.Mataahira wenzako watakuelewa.
"Kama huwezi kulipa tozo, basi hamia Burundi!"Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?