Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mzilankende, Ngosha, Jiwe, Chuma, Chapa Ng'ombe
Kwenye Utawala Wangu Mimi, Sitabembeleza Mtu
Ngojeni Atakayekuja Na Kuwabembeleza

Unampa Mtoto Yai, Ale Bado Analia
Unampa Uji Anywe, Anatupa Kikombe Chini Uji Unamwagika
Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi

Unamzaba Kofi Moja, Utaona Atakavyobugia Yai Haraka Haraka

Nasema Uongo Ndugu Zangu
Msema Kweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Rais wa soga za kufariji maskini 😆😆
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Ni uongo, unasema uongo Wewe baiskeli ya miti! Zito amekudanganya Wewe na wenzako kwamba mkazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake, hilo haliwezekani! Kufa uzikwe kwenu, na kama unafikiri utamkuta babaako ndo malaika mkuu, kwenye jamuhuri ya jehanamu, kuna sapuraizi inakusubiri huko, sukumagang wewe! Pia, mwanachama wa Umoja ‘wa wajane’ party, wewe!
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Kwa Hiyo treni ya umeme ilishindwa kufanya yafuatayo,
-kukamilisha mradi hata mmja iliyoanzisha kwa miaka 5,
-Ilikwiba 1.2 Til.,
-Ilifanya Upigaji kweli miradi ya Chato,kigongo-busisi,Bwawa la Nyerere
-Ilishindwa kupandisha mishahara,kulipa wastaafu,kupandisha madaraja na posho za watumishi.
 
Ni uongo, unasema uongo Wewe baiskeli ya miti! Zito amekudanganya Wewe na wenzako kwamba mkazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake, hilo haliwezekani! Kufa uzikwe kwenu, na kama unafikiri utamkuta babaako ndo malaika mkuu, kwenye jamuhuri ya jehanamu, kuna sapuraizi inakusubiri huko, sukumagang wewe! Pia, mwanachama wa Umoja ‘wa wajane’ party, wewe!
imekuuma eeh
 
Heshima kidogo iwepo kwa waliotangulia maana naona umekosa mifano unajitolea tu.

Treni linakimbiaga maspeed ya juu tu bila kujali nn kipo mbele, ikitokea kuna hitilafu ya reli huko mbele linaparamia pukurtukuTUKUUUUPUUUU. LINACHINJA WOTE. Ndivyo JPM alivyokuwa?

Nchi haiongozwi na marehemu, marehemu wamemaliza sehemu yao. Raisi ni SSH, Tumkosoe ili tujenge na sio lazima kuassume kwenye kila jambo marehemu angefanyaje. Kila saa ni marehemu, marehemu, marehemu, marehemuuu kanakwamba yeye ndo wa mwisho kufa.
 
Kawaulize watumishi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.

Waulize wafanyabiashara kama wanataka warudi Misri kuporwa pesa au waendelee mbele,

Waulize wakandarasi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Waulize wakulima kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Waulize Wastaafu,walioitwa cheti feki na darasa la saba kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.,

Waulize wavuvi kama wanataka warudi Misri kuporwa nyavu au waendelee mbele,

Waulize wanafunzi na wazazi wao kama wanataka kurudi kupata mikopo kwa mafungu,kuanza form one kwa mafungu,kulipa ada ya form six,kukaa chini na kwenye vyumba vichache vya madarasa au wanataka waendelee mbele,

Waulize Wana habari na watu wa haki za Binadamu wakiwemo NGOs kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Mwisho waulize Chadomo wanataka warudi Misri kutekwa au waendelee mbele?

Yaani hiyo ni orodha kiuchache tuu..
 
Kwa Hiyo treni ya umeme ilishindwa kufanya yafuatayo,
-kukamilisha mradi hata mmja iliyoanzisha kwa miaka 5,
-Ilikwiba 1.2 Til.,
-Ilifanya Upigaji kweli miradi ya Chato,kigongo-busisi,Bwawa la Nyerere
-Ilishindwa kupandisha mishahara,kulipa wastaafu,kupandisha madaraja na posho za watumishi.
Umefumbia macho;
1. Ununuzi wa ndege mpya kwa cash.
2. Ujenzi wa zahanati mpya 1000+, vituo vya afya 465, Hospitali za rufaa 67 na za Kanda 4.
3. Upanuzi wa bandari ya dar, Mtwara na Tanga.
4. Kudhibiti mfumuko wa bei.
5. Stand za kisasa.
6. Nidhamu kazini.
7. Serikali kuhamia Dodoma na ujenzi wa ofisi kibao za serikali Dodoma.
8. Ubungo interchange, Daraja la mfugale, Tanzanite bridge.
9. Kukamilisha Terminal 3
10. Na kuanzisha projects kubwa za maana.

Kubwa zaidi aliwakimesha wezi kama wewe na ukoo wenu.
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.
 
Kawaulize watumishi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.

Waulize wafanyabiashara kama wanataka warudi Misri kuporwa pesa au waendelee mbele,

Waulize wakandarasi kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Waulize wakulima kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Waulize Wastaafu,walioitwa cheti feki na darasa la saba kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele.,

Waulize wavuvi kama wanataka warudi Misri kuporwa nyavu au waendelee mbele,

Waulize wanafunzi na wazazi wao kama wanataka kurudi kupata mikopo kwa mafungu,kuanza form one kwa mafungu,kulipa ada ya form six,kukaa chini na kwenye vyumba vichache vya madarasa au wanataka waendelee mbele,

Waulize Wana habari na watu wa haki za Binadamu wakiwemo NGOs kama wanataka warudi Misri au waendelee mbele,

Mwisho waulize Chadomo wanataka warudi Misri kutekwa au waendelee mbele?

Yaani hiyo ni orodha kiuchache tuu..
Wewe January Makamba wewe acha uboya, hakuna mtumishi anaye furahia kuongezwa elfu 20 na kulipishwa
1. Tozo za miamala kwenye huduma za kifedha za simu.
2. Tozo mpya za benki
3. 1000 za luku kila mwezi
4. Mafuta toka 1800 mpaka 3000+
5. Mfumuko wa bei kwenye bidhaa zote muhimu.

Jiandae kisaikolojia
 
More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.
More than 50% ya madhila unayoyaona sasa yalisababishwa na huyo treni ya umeme wako. Kama Samia angekuwa mtu wa kulalamika kama alivyokuwa yeye, angelalamikia mpaka angepata ukichaa. Magufuli didn't care at all about fiscal balance/burden ya nchi na huwezi kuacha kwasababu itakuwa ni uharibifu wa pesa.
Mataahira wenzako watakuelewa.
 
Mtu anaponda Tozo badala ya kuponda kwa kutoa mbadala na mapendekezo yeye anaponda kwa kusema Marehemu angekuwepo yeye ni treni linakimbia. Sasa Serikali ifanyaje? Ikamfufue imuapishe? Ujinga ujinga tu.
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Tatizo lilianzia kwa huyo unayemuita mtu wa maana
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
"Kama huwezi kulipa tozo, basi hamia Burundi!"
Mwigulu Nchemba ameshaliongelea hili jambo mara kadhaa! Tena kwa jeuri na kwa dharau ya hali ya juu kabisa!


Hivyo unatakiwa kuchagua moja! Lipa tozo, au uhamie Burundi!

Au Nasema Uongo Ndugu Zangu ?
 
Back
Top Bottom