The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Waulize watumishi wanapenda warudi Misri au waendelee mbele..Wewe January Makamba wewe acha uboya, hakuna mtumishi anaye furahia kuongezwa elfu 20 na kulipishwa
1. Tozo za miamala kwenye huduma za kifedha za simu.
2. Tozo mpya za benki
3. 1000 za luku kila mwezi
4. Mafuta toka 1800 mpaka 3000+
5. Mfumuko wa bei kwenye bidhaa zote muhimu.
Jiandae kisaikolojia
Kwa hiyo miaka 5 ndio hayo tuu mlifanya?Umefumbia macho;
1. Ununuzi wa ndege mpya kwa cash.
2. Ujenzi wa zahanati mpya 1000+, vituo vya afya 465, Hospitali za rufaa 67 na za Kanda 4.
3. Upanuzi wa bandari ya dar, Mtwara na Tanga.
4. Kudhibiti mfumuko wa bei.
5. Stand za kisasa.
6. Nidhamu kazini.
7. Serikali kuhamia Dodoma na ujenzi wa ofisi kibao za serikali Dodoma.
8. Ubungo interchange, Daraja la mfugale, Tanzanite bridge.
9. Kukamilisha Terminal 3
10. Na kuanzisha projects kubwa za maana.
Kubwa zaidi aliwakimesha wezi kama wewe na ukoo wenu.
Wewe ni mpumbavu.Kwa hiyo miaka 5 ndio hayo tuu mlifanya?
Mimi nikiorodhesha hapa yaliyofanyika kwa mwaka mmja na siku nyajaza seva..
Nataka nikuonueshe ulivyo muongo hapo kwenye namba 2 ikiwakilisha uongo mwingine..
Soma hapa idadi ya vituo vya afya mlivyojenga na kukarabati π
πππMi hata sijui Rais nani kwasasa washanivuruga na matozo na bei ya petrol juu
Bwana soko matola ukipata likes natural za zaidi ya mtoa maada agiza Serengeti au Kilimanjaro lite mbili atakuja kulipaUliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.
Mungu amemaliza ugomvi.
Mfumuko wa bei uko duniani kote. Labda use me Mama Samia ndiye kiongozi wa dunia na anasababisha mfumko Afrika nzima. Kenya, Marekani, Afrika Kusini, Zambia, Ethiopia, Uingereza na kila mahali bei zimeharibika...mafuta Tz yako being chini zaidi ya nchi nyingi. Tumia weledi kidogo.Wewe January Makamba wewe acha uboya, hakuna mtumishi anaye furahia kuongezwa elfu 20 na kulipishwa
1. Tozo za miamala kwenye huduma za kifedha za simu.
2. Tozo mpya za benki
3. 1000 za luku kila mwezi
4. Mafuta toka 1800 mpaka 3000+
5. Mfumuko wa bei kwenye bidhaa zote muhimu.
Jiandae kisaikolojia
Swali ni ;Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Nimekuumbua ππππ..Wewe ni mpumbavu.
Hata upinzani waeza leta dictator tusipo makinika!!!1. Kwa nini CCM wamlete mtu kama Magufuli ?
2. Kwani CCM ndio ina dhamana pekee ya kuleta Rais wa Tanzania ?
Tatizo umekaa huko kijijini kwenu hutembei.Nimekuumbua ππππ..
Eti Upanuzi wa bandari,kwani kuna mwaka Upanuzi wa bandari ulikwisha?
Bandari zitapanuliwa kila mwaka kadiri ya demand hata sasa Upanuzi wa Tanga port,Dar na bandari za kwenye maziwa unaendelea..
Soma hiyoo π
Kwani ni dikteta gani amewahi kuwepo Tanzania?Swali ni ;
1. Aje dictator mwingine?
2. Tupambanie KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote?
Siyo kazi yake Kutoa mbadala. Kuna watu wengi wameajiriwa serikalini kwa ajili ya hiyo kazi ikiwemo huyo Mama yenu na kazi imewashinda. Vilaza wakubwaMtu anaponda Tozo badala ya kuponda kwa kutoa mbadala na mapendekezo yeye anaponda kwa kusema Marehemu angekuwepo yeye ni treni linakimbia. Sasa Serikali ifanyaje? Ikamfufue imuapishe? Ujinga ujinga tu.
Naendelea kukuumbua..Soma hii hapa imefanyika ndani ya mwaka mmja wewe unaleta hadithi za miaka 5 na usheee..Tatizo umekaa huko kijijini kwenu hutembei.
Mnakosea sana kulinganisha Marais. Mwalimu Nyerere alikaa Ikulu miaka 23, alijenga taifa, alileta Uhuru lakini, alipong'atuka alisema; ktk miaka yake yapo mazuri na mapungufu. Tunachukua mazuri.Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Kwani Watumishi wote walikuwa wanadaiwa na bodi ya mikopo kusema wamefutiwa penat ya bodi? tunataka Rais ashugulikie mfumuko wa bei ambao unatesa Wanyonge,kila kitu kimepanda utafikiri nchi iko vitani,mafuta huko wanakosingizia vita yameisha shuka miezi miwili imepita lakini hapa kwetu ndio yanazidi kupanda,tuna mfano wa Rais hatuna Rais hapa.Waulize watumishi wanapenda warudi Misri au waendelee mbele..
Hao watumishi sio tuu wameongezewa 20,000 bali wameongezewa posho,wamepandishwa madaraja,wamelipiwa madai,wamefutiwa penati ya loan board na riba ya bodi ya mikopo..
Mama yako ana roho nzuri tatizo lake ni KILAZA.Waulize watumishi wanapenda warudi Misri au waendelee mbele..
Hao watumishi sio tuu wameongezewa 20,000 bali wameongezewa posho,wamepandishwa madaraja,wamelipiwa madai,wamefutiwa penati ya loan board na riba ya bodi ya mikopo..