Ajira zipi hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kayafa nae si alidanganya katoa ajira 50 elfu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ametoa ajira 50+ kwa watoto wa maskini
kayafa au kwa jina lingine mfalme juha alifanya nini cha kuwagusa wananchi wa chini zaidi ya kutengeneza maskini wengi?
Miundombinu yote ni mwendazake na kikwete na sio yeyeBarabara na maji kingine anajitahidi jatufi njaa wala hatupo kwenye vita
Kwenye maji shida iko palepale hakuna alichofanya cha maana toka kaingiaBarabara na maji kingine anajitahidi jatufi njaa wala hatupo kwenye vita
Kwanza wewe bila Shaka huelewi masuala ya kisiasa na uongozi, Mama Samia Ni wa chama gani? Hayati Dr Magufuli alikuwa wa chama Gani? Alikuwa anatekeleza ilani ya chama gani? Elimu bure ilikuwa Hadi kidato Cha ngapi? Tanzania Kuna mgombea binafsi? Umewahi msikia mgombea binafsi? Umesoma katiba yetu? Acha kutoa aibu hapaElimu bure ililetwa tokea mwaka 2015 na sio yeye ililetwa na mwendazake na ndo alisimamia hili yeye samia hajaja na sera ya elimu bure wacha kudanganya
Wewe Ni mkulima? Unajuwa mbolea kwa Sasa Ni shilingi ngapi? Unajuwa msimu uliopita ilikuwa shilingi ngapi? Kwani Hayati Magufuli alikuwa wa chama gani na alikuwa anatekeleza ilani ya chama gani? Acha kujianika ipeo wako wa kifikra hapa na kuonekana bado hujakuwa kifikra na upeo wako ni mdogoVituo vya afya ilikua ni ajenda ya mwendazake na sio yeye
Suala la mbolea siyo yeye acheni utapeli hakuna mbolea iliyoshuka
mwanangu alikuwa ajapanda cheo tokea awamu ya tano, alivyoingia Samia kapanda cheo, mtoto wa mdogo wangu pia kapata ajira ya ualimu mkoani,kipindi Cha dikteta no ajiraMnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Acha hasira zako hapa wewe kwani hukuona ajira za ualimu na Afya zilizotolewa na serikali ya mama Samia? Ulikuwa unaumwa wakati zinatoka? Au hupo Tanzania? Bila Shaka wewe siyo mtanzania Ndio maana huelewi yanayoendelea hapa nchini kwetuAjira zipi hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kayafa nae si alidanganya katoa ajira 50 elfu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwendazake na Samia tofauti ni ndogo sana kwani huyu angalau yeye hateki wala kuuua kama lile zimwi la chato but kwenye uchumi she is good for nothing
Tozo Ni kwa ajiri ya maendeleo ya nchi yetu, Hata mataifa ya ulaya yalipita njia hii katika kuzijenga nchi zao, walijinyima na kujibana ili kujenga nchi zao, hata sisi lazima tujibane na kujinyima ili kulijenga Taifa letu, wajibu wetu Ni lazima tuubebe katika mabega yetu, lazima tuutimize wenyewe, lazima Tufahamu kuwa hakuna mbadala wetu katika ujenzi wa Taifa letu,Hakuna hata kimoja zaidi ya kumumiza na tozo na Kodi,fukuza wamachinga.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Amefanya mengi mnoMnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Huu ni mjadala makini, lakini najuwa hauwezi kwenda popote kwa jinsi JF ilivyo siku hizi.Mnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
-Watu hawabambikiwi kesi kifalafalaMnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais