Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Elimu bure ililetwa tokea mwaka 2015 na sio yeye ililetwa na mwendazake na ndo alisimamia hili yeye samia hajaja na sera ya elimu bure wacha kudanganya
Elimu bure ni sera na ilani ya ccm, na kweli alianza kuitekeleza magufuli, ila samia ametokea chadema ndio shida ilipoanzia
 
Kama hawamkubali Samia watakuwa wanamkubali Mwigulu Nchemba
 
Umesema ukweli kabisa.huyu bibi bora angeongoza kwao tu huko zanzibar lakini siyo huku Tz bara.Na kama ingekuwa umefanyika uchaguzi na siyo urithi asingekuwa rais kabisa.
 
Anapendwa na wengi na anakubalika kwa 98%,sisi ccm kindakindaki hutuambii lolote, yapo mapungufu lakini ni kidogo mono! Zaidi yamesimamia kwenye kupanda kwa nafaka za vyakula jambo ambalo linafanyiwa kazi, acha kusemea wengi.
N. B, nchi iliaribika kupitiliza it needs/takes times to heal wounds!
 
Kwa hiyo asisemwe kwa sababau ya dini yake? Nchi yenye watu kama wewe in haki ya kubaki maskini milele
 
TOZO limemgusa sana Mtu wa CHINI
 
Samahani wewe ni MJINGA, yaan samahani sana. NCHI HII KUNA RAIS ALIFANYA MAPYA KAMA SIO MWENDELEZO WA YALIYOPITA? Hivi huwa mnafikirikia kwa kutumia makalio au akili??

Mmetaka alichofanya mmewekewa sasa mnaanza kubishia nini?? Huyo boya wenu MAGUFULI alifanya nini lenye manufaa kwa watu wa CHINI??
 
Ajira. Jpm hajaajiri miaka mitano yote lakini mama kaajiri walimu na madaktari na bado anaendelea. Jpm msisitizo wake ulikuwa watu wawe mamachinga hata kma una degree au masters kata kitambulisho kuwa machinga.

Uwekezaji umerudi kwa kasi. Pale manzese mahoteli takaribani yote yalifungwa kwabiasjara kuwa mbaya lakini sasa yamefunguliwa wale waliosoma hotel management wanaenjoy baada ya kusota mtaani sasa Wana ajira. Kule Arusha utalilii umeshamili hivyo waliosoma tourism wanapata ajira kwa mamia. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vilikufa kifo Cha mende kipindi Cha jpm sasa vimesimama na vinaajori watu kwa mamia. Financial institutions sasa zinatengeneza faida na watu wanakopa pia graduates wanaajiriwa japo so wote lakini alhamdulilah.

Sasahivi kuna Uhuru na tunaenjoy kuwa watanzania badala ya kipindi Cha jpm tunaogopana wenyewe kwa wenyewe Kama tuko uhamidhoni.

Hakuna mwananchi wa kawaida anayeokotwa kwenye viloba tena kule kokobeach.

To conclude, jpm aliharibu Kila Kona ya nchi hii mpaka nikahisi kuhamia Burundi. Hata mo alitaka kuikimbia nchi hii.
 
Kwa hiyo asisemwe kwa sababau ya dini yake? Nchi yenye watu kama wewe in haki ya kubaki maskini milele
Mama Samia anaandamwa zaidi na DINI yake, ila kwa kazi zenye manufaa na UWAZI amemuacha mbali sana MAGUFULI. Uongozi sio vitisho, ni kuongoza kwa taratibu na sheria, Haya Kabudi aliongea wazi kuwa ile ishu ya MAKINIKIA walitung uongo. Sasa ile ilitusaidia nini??

Mada nyingi za Mama Samia zimejificha kwenye CHUKI ZA DINI YAKE. Hali hii hata kwa KIKWETE. WAKRISTO mara zote huwa mnahisi mko njia sahihi, na huwa mna beba sana chuki za kipumbavu.

HAYA NIAMBIE WEWE KUNA JAMBO LINALOIGUSA JAMII MOJA KWA MOJA KUSHINDA AJIRA, UPANDIASHWAJI WA MADARAJA NA VYEO???

Magufuli aliwahi kufanya hayo??? Acha chuki, hazitokusaidia, and pata kujua hii nchi ni ya wote na kila mtu ana haki ya kuongoza.
 
Mnahangaika bure kwani hakuna marehemu aliyewahi kufufuka zaidi ya kristo.
Enyi wafuwasi wa Kayafa ifike mahali mkubali matokeo.
Yule dhalimu hawezi kurudi tena.
Wasalimie usukumani mkuu.
"Mwangaluka mayoo"
Nani alikudanganya yechu alifufuka?,kile kipigo hakikuwa cha mchezo [emoji706][emoji706]
 
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Amewezesha wananchi wote kushiriki katika kuchangia maendeleo ya Taifa badala ya jukumu hilo kuwaachia wafanyakazi wa Umma na wafanyabiashara wakati na wakubwa baadhi. Sasa hivi mkulima, mvuvi, muwindaji, muimbaji, mchekeshaji, wataje unao wajua hawa wote wanashiriki kikamilifu bila shuruti kuchangia Pato la Taifa, furusa ambayo walinyimwa siku nyingi.

Sidhani kama utaniuliza hawa wananchi wanachangiaje Pato la Taifa. Eti, utaniuliza kweli swali hilo?
 
Ameboresha mazingira ya kufanya biashara Tanzania

Kazi ya serikali sio kumsaidia kila mtu, ni kutengeneza mazingira ambayo watu wanaweza kuyatumia kuboresha maisha yao. Mazingira ya biashara yamekuwa bora zaidi, shughuli za kiuchumi zimeongezeka, ujenzi umeongezeka, mauzo ya chakula nje yameongezeka; mabenki yanatengeneza faida haijawahi kuonekana hapa Tanzania i.e mikopo inakopwa na inalipika.
 
Kuanzisha tozo za huduma mbalimbali za kifedha.
 
Wewe unamatatizo kichwani, kwani Hayati Dr Magufuli Alikuwa Ni mgombea Binafsi? Kwani Hakuwa na chama? Kama alikuwa na chama ni chama gani? Halafu hata bila aibu unajenga hoja kwa kusema mdogo wako alipata ajira 2018,swali je kupata ajira kwa mdogo wako ndio kulizuia ajira zisitoke kipindi hiki Cha mama Samia? Au mdogo wako kupata kazi ndio ajira zikafungwa serikalini mpaka leo? Au ulitaka kuleta ujumbe gani hapa kuhusu kuajiliwa kwa mdogo wako?

Alipofariki Dr Magufuli mama Samia alikuwa Ni Nani serikalini? Vipi mh kasimu majaliwa? Uliona uchaguzi mkuu ukiitishwa Tena? Unajuwa kwanini haukuitishwa kwa akili yako? Jibu Ni kuwa Ni kwa kuwa mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania Alipiga kampeni na aliinadi ilani ya CCM na alikuwa katika utekelezaji wake katika kipindi chote na hata alipofariki Hayati Magufuli na kuapishwa mama samia kwa mujibu wa katiba yetu alikuwa anajuwa kazi iliyopo mbele yake,

Mama Samia Rais wetu kafanya mambo makubwa Sana ndani ya muda mfupi Sana, mpaka amalize miaka yake hiyo 2030 hakika Tanzania itakuwa inapendeza sanaaa na kuvutia Sana, Hutaki unataka huyu ndio Rais Wako tuu labda uhame nchi, na kwa akili yako utaenda kuwa mtumwa ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…