ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Cheki akili fupi kama hizi...Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Tupo pamoja na wewe... Ila kwenye udini futa hapo...Peace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi ku muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubwebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msiviwbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Mpaka kufika hapo alipo ni bila shaka sifa anazo.Peace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi ku muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubwebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msiviwbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Mafi yakoPeace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi ku muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubwebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msiviwbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Thread closedMagufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Umemmaliza mtoa mada! Hawa sukuma gang state of denial inawasumbua sanaMagufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Hakika mkuu. Cursed landComing from an average mind, kama kweli Sa100 ni bora kuliko Magu kiutendaji hili ni taifa la wasio na akili.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kicheko cha jamaa fulani akiona hii comment yako.Twende na Mh. SSH Hadi 2030. Sisi tunamkubali
Seriouslly wakalitazameHili nalo mkalitizame
Peace,
Awali niweke wazi sina chama, sio mwanasiasa ni raia ninaeipenda nchi yangu.
Back to my point. Bibi hana sifa za kua rais.
1. Ni mtu asiejiamini hata punje " mimi ndie rais" I mean WTF tangu lini kiongozi ajisifie kua kiongozi.
2. Hana utashi wa uongozi. Niambie kiongozi gani kila kitu anawaambia wasaidizi wake ati "hili nalo mkalitizameni" Yeye maono yake ni yapi ku muktadha wa kiongozi mwenye dira ?!
3. Kapatikana kwa kubwebwa na sio utendaji kazi wake. Kama wanawake wengine wanavyopata nafasi kwa upendeleo, haina utofauti na mtu ambaye alikua tu secretary kwenye asasi ya kiraia akashawishiwa kujiunga na siasa na kupata ubunge, uwaziri wa kupewa kisha kuzawadiwa umakamu wa raisi kisha booom !! Rais kafa yeye akawa rais.
4. Udini, bibi udini upo mpaka kwenye mifupa mpaka Ngorongoro kawagawia ndugu zake wa Oman na kuwapiga risasi wazawa waMasai kuwafurusha kama wakimbizi.
5. Hana dira yoyote. Muulizeni tunaelekea wapi atajibu "hebu kalitizameni"
6. Hisia nyingi. Kiongozi unawezaje kuwaambia wasaidizi wako "kuleni msivimbiwe" au "mimi sikuumbwa kufoka" ! Kwahyo kama haukuumbwa kufoka unafanya nini kwenye nafasi ya kiongozi katika taifa la mawaziri walafi na mafisadi ?! Kwahiyo waendelee kujineemesha na wewe hautafoka uko kimya ?!
Wenye dhamana wanakula urefu wa kamba, wasimamizi wanalizameniUmeme inekuwa issue kweli yani daah!
Ndivyo ilivyoNaskia kwa elimu na taaluma ana certificate ya ukarani
Ngoja machawa wake waje wataniparua hapa mpaka kukucheUmeamua kumchokoza malkia wa Anga siyo?