chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Wezi wa awamu ya tano mmevuliwa nguo, mlijifanya wazalendo sijui raisi wa masikini na wanyonge, konyo nyieRipoti hii imeiacha uchi Serikali. Kwa uadilifu na uaminifu wa Chifu Hangaya, namshauri aachie ngazi. Hii ni aibu Kwa CCM.