misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Mbona povu?Wewe ni mnufaika wa hayati, kwa taarifa yako hawezi kufufuka. Tafuta fursa ya kiuchumi ujipange nayo. Wapumbavu mlizoeshwa Ripoti FAKE ya CAG wakati wa Magufuli sasa Rais Samia anapokea Ripoti ya ukweli inayoonyesha gaps kwenye Serikali yake.
Badala kwanza ya kupongeza hilo la kupokea ripoti mnasema eti ajiuzulu?
Kwani yeye kuwa Rais ndiyo maana yake kuwa ndiyo kasababisha huo ufisadi?
Acheni mfumo ufanye kazi kisheria
Kwani kasema uongo?