Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
Wapi ukoUku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi
[emoji16][emoji16][emoji16]Ndo nani huyo?[emoji1787][emoji1787]aliwahi kugombea kuwa rais wa Tanzania lini?
Ugumu wa maisha mkuuHasa wanawake. Nilikuwa nafahamu wanawake tena kijijini kabisa walikuwa ni Magufuli damu damu, sasa hivi hawataki kabisa kusikia hili jina Samia. Kusema ukweli sijui ni kwa nini amechukiwa namna hii tena baada ya muda mfupi sana. Nadhani ugumu wa maisha umechangia.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi simuelewi kabisaaa. Yote haya chanzo ni JKikwete.
Huyu mtu anapenda Uanamke, anapenda kuonekana mungu jike
HaaaaaaHaaminiki ni msaliti.
Shida viongozi hawashirikishi wananchi wao kwenye mambo makubwa kama hayaHabari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Haaaaa hawataki kumsikiaKuna tukio nalikumbuka,siku moja wanawake watatu walimwomba dereva wa Bajaj amshushe jamaa mmoja ambae alikuwa ni abiria kwenye ile Bajaj kiss mwamba alikuwa anamsifia Sana Rais. Wakamwambia dereva mshushe huyu tutamlipia nauli yake.
Wamama sijui kawafanyaje huyu kiongozi hadi Wana chuki nae kiasi hiki.
Wanawashirikisha kina msukumaShida viongozi hawashirikishi wananchi wao kwenye mambo makubwa kama haya
Yaani unaliona jambo hilo kuwa dogo mpaka unasema "Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa Waarabu?" Mali ya Taifa ni jambo kubwa sana.Habari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Kusema kwamba hufahamu kwa nini amechukiwa ni kutokuwa mkweli kwa upande wako. Labda useme hupendi kuzitambulisha sababu hizo.Hasa wanawake. Nilikuwa nafahamu wanawake tena kijijini kabisa walikuwa ni Magufuli damu damu, sasa hivi hawataki kabisa kusikia hili jina Samia. Kusema ukweli sijui ni kwa nini amechukiwa namna hii tena baada ya muda mfupi sana. Nadhani ugumu wa maisha umechangia.
Ni wapi huko kwenu ambako kuko tofauti na kwingine kote?Uku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi
Mbona hujui kuandika!? Alafu waambie kabisa Rais wa Tanzania hawekwi madarakani na wananchi,,,hivyo waendelee na kazi zao na wewe fanya yako ujiingizie kipato utachelewa sana.Habari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Wamchukie kwa kuweka mkakati wa kumtoa na sio kushabikia eti bandari imeuzwa!Habari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Huko visiwani lazima wamfagilie tuUku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi