Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Uku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi
Wapi uko
 
Kuna tukio nalikumbuka,siku moja wanawake watatu walimwomba dereva wa Bajaj amshushe jamaa mmoja ambae alikuwa ni abiria kwenye ile Bajaj kiss mwamba alikuwa anamsifia Sana Rais. Wakamwambia dereva mshushe huyu tutamlipia nauli yake.

Wamama sijui kawafanyaje huyu kiongozi hadi Wana chuki nae kiasi hiki.
 
Habari za jumapili.

Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.

Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.

Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.

2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Shida viongozi hawashirikishi wananchi wao kwenye mambo makubwa kama haya
 
Kuna tukio nalikumbuka,siku moja wanawake watatu walimwomba dereva wa Bajaj amshushe jamaa mmoja ambae alikuwa ni abiria kwenye ile Bajaj kiss mwamba alikuwa anamsifia Sana Rais. Wakamwambia dereva mshushe huyu tutamlipia nauli yake.

Wamama sijui kawafanyaje huyu kiongozi hadi Wana chuki nae kiasi hiki.
Haaaaa hawataki kumsikia
 
Habari za jumapili.

Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.

Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.

Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.

2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Yaani unaliona jambo hilo kuwa dogo mpaka unasema "Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa Waarabu?" Mali ya Taifa ni jambo kubwa sana.
 
Mmeshamaliza kujitekenya mcheke kidogo ili tukuleteeni data halisi kutoka huku uraiani waliko raia wa kitanzania?
 
Watu wa kanda hiyo sio wa kuwaamini, ndio wamekuwa wakiiweka CCM madarakani kila uchaguzi...
 
Hasa wanawake. Nilikuwa nafahamu wanawake tena kijijini kabisa walikuwa ni Magufuli damu damu, sasa hivi hawataki kabisa kusikia hili jina Samia. Kusema ukweli sijui ni kwa nini amechukiwa namna hii tena baada ya muda mfupi sana. Nadhani ugumu wa maisha umechangia.
Kusema kwamba hufahamu kwa nini amechukiwa ni kutokuwa mkweli kwa upande wako. Labda useme hupendi kuzitambulisha sababu hizo.
 
Uku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi
Ni wapi huko kwenu ambako kuko tofauti na kwingine kote?
 
Habari za jumapili.

Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.

Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.

Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.

2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Mbona hujui kuandika!? Alafu waambie kabisa Rais wa Tanzania hawekwi madarakani na wananchi,,,hivyo waendelee na kazi zao na wewe fanya yako ujiingizie kipato utachelewa sana.
 
Ni lini nyinyi watu wa kanda ya ziwa mliwahi kumpenda mama samia.....acheni unafiki, narudia tena nasema hiviii acheni unafiki....kanda ya ziwa hamjawahi kumpenda mama hata kidogo, makundi kama sukuma gang na ufara mwingine si yameanzia kanda ya ziwa??
 
Habari za jumapili.

Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.

Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.

Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.

2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Wamchukie kwa kuweka mkakati wa kumtoa na sio kushabikia eti bandari imeuzwa!
 
Uku kwetu watu wanamfagilia sana sababu
1:Kaongeza mishihara
2:Ujenzi wa vituo vya afya Kila Kona
3:Ndege ya mixigo
4:Sqr juu
5:Bwawa la mwalimu Jk
6:Kufuata Kodi ya bodi ya mikopo
7:Kupandisha madarja watumishi
8:Uhuru wa vyombo vya habari
9:Vyuo vya ufundi vinajengwa Kila wilaya
10:Na mengine mengi
Huko visiwani lazima wamfagilie tu
 
Back
Top Bottom