Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Ngombe
 
Kumbe
 
Sasa kwani huko umeenda kufanya research au maana hao watu unaosema umewakusanya vipi na kupata taarifa zao.
Kama ulimsikia mmoja mkiwa kaunter usi generalize maana anaweza akawa ni CAF au NCCR mageuzi
Oky kitenge
 
Yetu macho
 
Oky
 
Tatizo la waTanganyika ni kutokuwa na action. Sijui tuwaazime waKenya watupe watu ?!.

Huu upuuzi ungesimamishwa na maandamano makubwa ya kweli. Tena yasiyo ya fujo. Dp world asingetia mguu
 
SISI WATU WA MARA HATUWEZI KUMUELEWA MWANANAMKE WALA KUPIGA KURA KWA MWANAMKE.
UKIONA MBUNGE MWANAMKE AMEPIGIWA KURA AMEPITA UJUE KUNA MAKOSA YA KIUFUNDI YAMEFANYIKA EITHER MGOMBEA MWANAUME ANAYEKUBALIKA AMEGOMBEA KUPITIA CCM KWA HIYO TUNAAMUA TUMPE WA UPINZANI HATA KAMA NI MWANAMKE.

KWA MSINGI HUO,MIMI BINAFSI SAMIA NAMKUBALI LAKINI SIWEZI KUMPA KURA AKIGOMBEA NA MWANAUME MWENZANGU.
NI MANENO YA MLEVI MMOJA WA HUKO ,TARIME-MARA
 
Kufeni mumfuate jjiwe
 
Watu wa kanda hiyo sio wa kuwaamini, ndio wamekuwa wakiiweka CCM madarakani kila uchaguzi...
Wasukuma ndio sio wa kuwaamini,wana shida sana wale mara zote wanatuangusha,lakini sisi watu wa Mara hatujawahi kuyumbishwa.
 
Anayechukiwa ni mamako we ngedere
 
we zuzu kacheke mwenyewe
 
Hiyo mishahara ameongeza kutoka kwenye hela za baba yake? Kama angekuwa na hizo hela angethubutu kuhonga Bandar za Tanganyika kwa matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…