Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanayotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Mungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
 
Madaraka ya kulevya cheze 5% percent wewe? Ni mwendawazimu pekee ata kataa mgao huo sijui ume nielewa ata kweli
 
Hana muelekeo tangu alipoapishwa, mpaka leo hajui anatupeleka wapi mwishowe ameamua kutupeleka utumwani kabisa ndani ya ardhi yetu..

Ajabu mjinga wa sampuli hii ndio anaitwa Amiri Jeshi Mkuu, wa taifa la majuha!.
 
Hana muelekeo tangu alipoapishwa, mpaka leo hajui anatupeleka wapi mwishowe ameamua kutupeleka utumwani kabisa ndani ya ardhi yetu..

Ajabu mjinga wa sampuli hii ndio anaitwa Amiri Jeshi Mkuu, wa taifa la majuha!.
Kuwa na adabu mkuu.
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanatotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Kungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
kwa watu wenye akili, hata mwaka haukuisha walishapata jibu. Tanzania inahitaji Mungu aingilie kati.
 
😅😅😅Nimemshtua tu huyu bwana asipaniki bure bali aepuke maneno yasiyofaa. Tujadili mada
Sawa kiongozi sema kwenye mkataba wasisahau kuwatunuku wajomba zetu wa mashariki ya kati hawa wasimbe waliojazana mtaani maana nao wamekosa ufanisi🤔😏
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanatotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Kungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
Frankly speaking, Suala tata la Mkataba wa Bandari, limemuharibia sana Rais,tena limemuharibia haswa kupita kiasi. Kabla ya sakata hili, kusema ule ukweli wananchi wengi walikuwa wanamfurahia, japokuwa baadhi yao walikuwa hawamwamini sana kihivyo lakini kwa kiasi kikubwa walikuwa wanamfurahia. Baada ya kuibuka kwa sakata hili, ghafla tu wananchi wengi wameanza kutokumkubali hata kidogo,na mbya zaidi, kiwango cha Rais kutokukubalika na watu kinakuwa kwa kasi kubwa ya kutisha zaidi kwa kila siku inayoitwa leo.
 
Hana muelekeo tangu alipoapishwa, mpaka leo hajui anatupeleka wapi mwishowe ameamua kutupeleka utumwani kabisa ndani ya ardhi yetu..

Ajabu mjinga wa sampuli hii ndio anaitwa Amiri Jeshi Mkuu, wa taifa la majuha!.
Duuh! Umechafukwa hatari
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanatotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Mungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
Mi toka alipomkamata Mbowe kwa uonevu sina imani naye tena hata chembe
 
Back
Top Bottom