Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Watanzania tujaribu kuona kitu kizuri!

Hii Nchi itaendelea sana lakini wazawa watakuwa watizamaji tu...

Mazingira ya Biashara kuanzia Kilimo mpk Ufugaji yameandaliwa Vizuri Mno na Huyu Rais SSH na tena kwa kipindi kufupi sana!

Mwezi wa Tisa hapa yanakuja Mataifa Karibia Yote kwa ajili ya kuona Fursa za Biashara ya Kilimo na Mifugo hapa Nchini.

Yaani wanakuja Wanunuzi wa Kondoo na Mbuzi wanakwambia tunataka Kondoo na Mbuzi laki moja kwa Mwezi-Kwa Dollar halafu!!

Ng'ombe kwa Dollar!

Kazi ya Serikali ni kuhakikishs tu kwamba Vigezo vya Export vimekamilika!

Tafsiri yake ni Kwamba Pesa zinakwenda kwa Mkulima moja kwa Moja!
Serikali inachofaidi ni Dollar!

Huu Mkutano haujawahi kufikiriwa kufanyika hapa Nchini lakini Mama amewaleta Wafanyabiashara zaidi ya 5000.

Mkulima wa Soya akiwepo pale anaizwa-Unazo tani ngapi!

Haya
Kama Nchi tunaweza kulipa kodi kwa Mwaka 24T.
Ubinafsishaji unatuletea 20+T zaidi...

Halafu watu wasio na Tin Number ndo wako na simu zao wanasema Nchi Imeuzwa!

Hasha!

Tubadili Fikra

Nchi inaongozwa vizuri Mnooo!

Miradi mikubwa ikifunguliwa hamtaamini kama hii ni Tanzania!

Shida ni kwamba je- Watanzania watachukuana na Hizo Fursa???

Tuamke!!!

Pesa ziko!!!!!

Nchi inamahusiano mazuri sanaaaa!!

SSH ni wakuombea Kwa Mungu!

By the way siyo Muoga.
Umeongea kinadharia sana.
Biashara hizo haziendi kama ulivyo elezea hapa.
 
Ni hayo tu, issue ya Bandari si ya kupuuzia, sio poa kuifanyia Tanzania namna hii
 
Nyoka Wa Ndumilakuwili Huuma Akivuvia
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua
 
Hana muelekeo tangu alipoapishwa, mpaka leo hajui anatupeleka wapi mwishowe ameamua kutupeleka utumwani kabisa ndani ya ardhi yetu..

Ajabu mjinga wa sampuli hii ndio anaitwa Amiri Jeshi Mkuu, wa taifa la majuha!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
 

Attachments

  • 1689265164005.png
    1689265164005.png
    651.4 KB · Views: 4
Yawezekana wameagizwa na Mkuu wao kufanya hivyo. Yaani kufanya Kila linalowezekana kuhakikisha wanautetea Mkataba ule kwa namna yeyote ile.
 
Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
Watu watatu Tanzania ambao LAANA ya Mungu ipo juu yao ni hawa
.1. Samia
2. Kassim
3. Tulia
Mpango kosa lake ni kutokeamea MAOVU!
 
Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
Ni Samia wa huko kwenu au? maana kama una maana ya Rais wa TZ utakua haupo serious.
 
Sikujua Watu wa Mbeya mjini wanaweza kutenga muda wao kumsikiliza huyu kiumbe.
 
Back
Top Bottom