Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Frankly speaking, Suala tata la Mkataba wa Bandari, limemuharibia sana Rais,tena limemuharibia haswa kupita kiasi. Kabla ya sakata hili, kusema ule ukweli wananchi wengi walikuwa wanamfurahia, japokuwa baadhi yao walikuwa hawamwamini sana kihivyo lakini kwa kiasi kikubwa walikuwa wanamfurahia. Baada ya kuibuka kwa sakata hili, ghafla tu wananchi wengi wameanza kutokumkubali hata kidogo,na mbya zaidi, kiwango cha kutokukubalika kinakuwa kwa kasi kubwa ya kutisha zaidi kwa kila siku inayoitwa leo.
Kweli tupu watu wamemkataa kabisa, wapambe wake wamemharibia haswa
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanayotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Mungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
she is the best president one day mtamkubali

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Mapaka👇😁😁😁
16884572500841.jpg
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanatotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Kungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
Watanzania tujaribu kuona kitu kizuri!

Hii Nchi itaendelea sana lakini wazawa watakuwa watizamaji tu...

Mazingira ya Biashara kuanzia Kilimo mpk Ufugaji yameandaliwa Vizuri Mno na Huyu Rais SSH na tena kwa kipindi kufupi sana!

Mwezi wa Tisa hapa yanakuja Mataifa Karibia Yote kwa ajili ya kuona Fursa za Biashara ya Kilimo na Mifugo hapa Nchini.

Yaani wanakuja Wanunuzi wa Kondoo na Mbuzi wanakwambia tunataka Kondoo na Mbuzi laki moja kwa Mwezi-Kwa Dollar halafu!!

Ng'ombe kwa Dollar!

Kazi ya Serikali ni kuhakikishs tu kwamba Vigezo vya Export vimekamilika!

Tafsiri yake ni Kwamba Pesa zinakwenda kwa Mkulima moja kwa Moja!
Serikali inachofaidi ni Dollar!

Huu Mkutano haujawahi kufikiriwa kufanyika hapa Nchini lakini Mama amewaleta Wafanyabiashara zaidi ya 5000.

Mkulima wa Soya akiwepo pale anaizwa-Unazo tani ngapi!

Haya
Kama Nchi tunaweza kulipa kodi kwa Mwaka 24T.
Ubinafsishaji unatuletea 20+T zaidi...

Halafu watu wasio na Tin Number ndo wako na simu zao wanasema Nchi Imeuzwa!

Hasha!

Tubadili Fikra

Nchi inaongozwa vizuri Mnooo!

Miradi mikubwa ikifunguliwa hamtaamini kama hii ni Tanzania!

Shida ni kwamba je- Watanzania watachukuana na Hizo Fursa???

Tuamke!!!

Pesa ziko!!!!!

Nchi inamahusiano mazuri sanaaaa!!

SSH ni wakuombea Kwa Mungu!

By the way siyo Muoga.
 
Alipoingia madarakani siku ya mwanzo kabisa sikuwa na imani naye sana. Baadae akafanya mambo mazuri kwa ajili ya Tanzania na kweli kazi zake zikawa zinaonekana ni halisi.

Muda ukapita wengine wakasema ngoja tumpe muda.

Tukasema sawa so far she is running good things.

Lakini kwa haya ya hivi karibuni na yanayotokea kwa sasa mimi naona kama naanza kukata tamaa.

Tumuombee sana Mungu ageuze moyo wake awe mtumishi Mwema kwa Taifa hili.
Ameen.
Muombee wewe na familia yako maana wenye ufahamu tangu awali tulijua hamna rais hapo!
 
Watanzania tujaribu kuona kitu kizuri!

Hii Nchi itaendelea sana lakini wazawa watakuwa watizamaji tu...

Mazingira ya Biashara kuanzia Kilimo mpk Ufugaji yameandaliwa Vizuri Mno na Huyu Rais SSH na tena kwa kipindi kufupi sana!

Mwezi wa Tisa hapa yanakuja Mataifa Karibia Yote kwa ajili ya kuona Fursa za Biashara ya Kilimo na Mifugo hapa Nchini.

Yaani wanakuja Wanunuzi wa Kondoo na Mbuzi wanakwambia tunataka Kondoo na Mbuzi laki moja kwa Mwezi-Kwa Dollar halafu!!

Ng'ombe kwa Dollar!

Kazi ya Serikali ni kuhakikishs tu kwamba Vigezo vya Export vimekamilika!

Tafsiri yake ni Kwamba Pesa zinakwenda kwa Mkulima moja kwa Moja!
Serikali inachofaidi ni Dollar!

Huu Mkutano haujawahi kufikiriwa kufanyika hapa Nchini lakini Mama amewaleta Wafanyabiashara zaidi ya 5000.

Mkulima wa Soya akiwepo pale anaizwa-Unazo tani ngapi!

Haya
Kama Nchi tunaweza kulipa kodi kwa Mwaka 24T.
Ubinafsishaji unatuletea 20+T zaidi...

Halafu watu wasio na Tin Number ndo wako na simu zao wanasema Nchi Imeuzwa!

Hasha!

Tubadili Fikra

Nchi inaongozwa vizuri Mnooo!

Miradi mikubwa ikifunguliwa hamtaamini kama hii ni Tanzania!

Shida ni kwamba je- Watanzania watachukuana na Hizo Fursa???

Tuamke!!!

Pesa ziko!!!!!

Nchi inamahusiano mazuri sanaaaa!!

SSH ni wakuombea Kwa Mungu!

By the way siyo Muoga.
Nadharia za kwenye makabrasha hizi..ni kweli sio muoga na ndio maana kafanikiwa kutuuza arabuni baada ya miaka 60 ya uhuru wa Tatanganyika
 
Kuna yule mkuu wa mkoa mmoja hivi aliwahi sema tutakuja kupata makamo wa rais mchawi atamroga rais aliye madarakani.
 
Nyie ndio mnapotosha wananchi maana hakuna mahali kwenye mkataba kinasema nchi imeuzwa....na ikumbukwe kwamba mkataba huo unatoa fursa kuweza kurekebishwa muda wowote kwa manufaa ya nchi.
Hakuna kitu kama hicho cha kurekebisha mkataba; Samia kasaini na mkataba ni locked ndio maana mashavu yanamshuka hajui afanye nini waarabu hawataki kubadilisha hata nukta!
 
Rais Samia ametupeleka dubei, kwa dipii weledi aliekua anauliza tunaenda wapi jibu kalipata tayari
 
Mali za Tanganyika anazigawa kwa wajomba zake waarabu bila aibu. Watanganyika wanapiga kelele lkn wapi, wanalia machozi yote ndio kwanza nani kama mama ana demka bila shaka.
Hawa wazanzibar hawaupendi na hawautaki muungano wamejipanga kutunyoosha watanganyika.

Watanganyika ndio wanaoulazimisha huu muungano Tena kwa maslahi ya kakikundi kadogo sana ndani ya ccm.

Wameipambania Zanzibar yao miaka yote lkn watanganyika tunajifanya wakoloni weusi huku hatuna mbinu za kisiasa za kuitawala zanzibar Sasa ni dhahiri wanatufanyia haya yote mpaka akili zitakapotukaa sawa either tuuvunje muungano au tuwe na serikali Moja tu.

Watanganyika tuendelee kukaza shingo na huu Muungano/ndoa ya utotoni mwisho tutajikuta mikononi mwa waarabu.
Mbaya zaidi Kuna watanganyika wenzetu wanatusaliti, bunge limetusaliti na hata mahakama nazo zitatusaliti punde.

Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa la Tanganyika watu million 50+ zinachezewa huku za wazanzibar zikiwa salama kabisa.

Watanganyika tuchutame Kuna mahali tumekosea na Hawa wazanzibar watatuzidi kete.

Ardhi zetu zinachukuliwa Bure huku kwao hatuwezi kumiliki hata robo heka.
Hivi watanganyika tumelogwa na nani?.
 
Back
Top Bottom