myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sio msaliti..Mama msaliti.
Hivi Ardhi ni suala la Muungano ama la!?Ardhi zetu zinachukuliwa Bure huku kwao hatuwezi kumiliki hata robo heka.
Hivi watanganyika tumelogwa na nani?.
Umeongea kinadharia sana.Watanzania tujaribu kuona kitu kizuri!
Hii Nchi itaendelea sana lakini wazawa watakuwa watizamaji tu...
Mazingira ya Biashara kuanzia Kilimo mpk Ufugaji yameandaliwa Vizuri Mno na Huyu Rais SSH na tena kwa kipindi kufupi sana!
Mwezi wa Tisa hapa yanakuja Mataifa Karibia Yote kwa ajili ya kuona Fursa za Biashara ya Kilimo na Mifugo hapa Nchini.
Yaani wanakuja Wanunuzi wa Kondoo na Mbuzi wanakwambia tunataka Kondoo na Mbuzi laki moja kwa Mwezi-Kwa Dollar halafu!!
Ng'ombe kwa Dollar!
Kazi ya Serikali ni kuhakikishs tu kwamba Vigezo vya Export vimekamilika!
Tafsiri yake ni Kwamba Pesa zinakwenda kwa Mkulima moja kwa Moja!
Serikali inachofaidi ni Dollar!
Huu Mkutano haujawahi kufikiriwa kufanyika hapa Nchini lakini Mama amewaleta Wafanyabiashara zaidi ya 5000.
Mkulima wa Soya akiwepo pale anaizwa-Unazo tani ngapi!
Haya
Kama Nchi tunaweza kulipa kodi kwa Mwaka 24T.
Ubinafsishaji unatuletea 20+T zaidi...
Halafu watu wasio na Tin Number ndo wako na simu zao wanasema Nchi Imeuzwa!
Hasha!
Tubadili Fikra
Nchi inaongozwa vizuri Mnooo!
Miradi mikubwa ikifunguliwa hamtaamini kama hii ni Tanzania!
Shida ni kwamba je- Watanzania watachukuana na Hizo Fursa???
Tuamke!!!
Pesa ziko!!!!!
Nchi inamahusiano mazuri sanaaaa!!
SSH ni wakuombea Kwa Mungu!
By the way siyo Muoga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana muelekeo tangu alipoapishwa, mpaka leo hajui anatupeleka wapi mwishowe ameamua kutupeleka utumwani kabisa ndani ya ardhi yetu..
Ajabu mjinga wa sampuli hii ndio anaitwa Amiri Jeshi Mkuu, wa taifa la majuha!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asiye na adabu ni yule msaliti aliyetupeleka utumwani, huku akishangiliwa na majuha wa sampuli yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama kanyaga twende
Watu watatu Tanzania ambao LAANA ya Mungu ipo juu yao ni hawaKwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
Ni Samia wa huko kwenu au? maana kama una maana ya Rais wa TZ utakua haupo serious.Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?