Ni wakati muafaka kwa wote hao kuondoka madarakani.Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
Wameagizwa na matumbo yao wakienda tofauti na Boss wao,kibarua njeeeeYawezekana wameagizwa na Mkuu wao kufanya hivyo. Yaani kufanya Kila linalowezekana kuhakikisha wanautetea Mkataba ule kwa namna yeyote ile.
Kubwa la maadui ametulia pembeni anakunywa maji ya Dafu.Watu watatu Tanzania ambao LAANA ya Mungu ipo juu yao ni hawa
.1. Samia
2. Kassim
3. Tulia
Mpango kosa lake ni kutokeamea MAOVU!
Anataka DP world ndo wamkusanyie ,kwa kuwa wanatupenda sana sisi Tanzania, yeye abaki tu kifungua warsha vijoro na kupakaa HINARais anayeogopa kukusanya kodi huyo sio kiongozi
Rais anayewapendelea wafanyabiashara na kuwakandamiza wananchi huyo sio Rais wetu ni Rais wa wafanyabiashara
Rais anayewaza kuuza nchi kwa kwasababu sera zake hafifu za kukusanya kodi hafai
Watanganyika msikubali maneno ya uongo kutoka kwao wanawaza matumbo yao tu
Endeleeni kutoa maoni bila kumdhihaki atachukua hatuaHuyu Mheshimiwa aliingia Kwa mbwe mbwe kwerikweri akavimba kichwa hakutaka kutusikia Sisi wasemaji wa Chato akiamini ni sukuma gang.
Sasa yanamtokea puani. Mwanakulitaka mwanakulitafuta . Wacha alie na kusaga meno. Tulimwambia Msoga Family ule ni ukooo wa panya lakini Wapi hsktaka kutusikiliza?.
SIsi kama wanachato Namna Bora ya kukusaidia Mpaka sasa "NG'ATUKA MAPEMA". Kama hujanielewa na leo no Basi tena.. ila ukweli ndo huo. Ukiendela kushupaza shingo hapo kwenye kiti utaumia mama ni hayo tu.
Rara, watoto wenzako wameraraHata matumizi ya L na R yanakupa taabu afu unamshauri raisi!
Epuka ramli chonganishi, ufitinishaji na upotoshaji. Mama anaupiga mwingi na subiri DP WORLD watue tule raha na neema tele.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Anaesema hivi usikute huko kwake katelekeza watotoMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.