Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwa anayefuatilia maazimio, mjadala na namna suala la kubinafsisha bandari kwa DP World linavyoendelea, kuna haja ya hao watajwa hapo juu kujitafakari na kupisha uchunguzi kujua ni kwanini wanatetea vitu visivyoingia akilini.
Je watanzania tunawapa ushauri gani ili kufanikisha hili haraka bila kutupotezea muda na kugawa raslimali zetu? Inakuwaje wanafanya jambo la kisheria na kiuchumi kuwa la kisiasa?
Ni wakati muafaka kwa wote hao kuondoka madarakani.
 
Yawezekana wameagizwa na Mkuu wao kufanya hivyo. Yaani kufanya Kila linalowezekana kuhakikisha wanautetea Mkataba ule kwa namna yeyote ile.
Wameagizwa na matumbo yao wakienda tofauti na Boss wao,kibarua njeeee
 
Watu watatu Tanzania ambao LAANA ya Mungu ipo juu yao ni hawa
.1. Samia
2. Kassim
3. Tulia
Mpango kosa lake ni kutokeamea MAOVU!
Kubwa la maadui ametulia pembeni anakunywa maji ya Dafu.
 
Rais anayeogopa kukusanya kodi huyo sio kiongozi

Rais anayewapendelea wafanyabiashara na kuwakandamiza wananchi huyo sio Rais wetu ni Rais wa wafanyabiashara

Rais anayewaza kuuza nchi kwa kwasababu sera zake hafifu za kukusanya kodi hafai

Watanganyika msikubali maneno ya uongo kutoka kwao wanawaza matumbo yao tu
 
Rais anayeogopa kukusanya kodi huyo sio kiongozi

Rais anayewapendelea wafanyabiashara na kuwakandamiza wananchi huyo sio Rais wetu ni Rais wa wafanyabiashara

Rais anayewaza kuuza nchi kwa kwasababu sera zake hafifu za kukusanya kodi hafai

Watanganyika msikubali maneno ya uongo kutoka kwao wanawaza matumbo yao tu
Anataka DP world ndo wamkusanyie ,kwa kuwa wanatupenda sana sisi Tanzania, yeye abaki tu kifungua warsha vijoro na kupakaa HINA
 
Mkuu wa nchi anaenda Dubai kusalimia wajomba zake.

Anaenda dubai na watanganyika wanamuoma anapanda vijigali ili apumbazwe.

Akiwa dubai rasilali nyingi za Watanganyika kama Wanyapori na mbuga za kuwindia wanapewa waarabu

Punde si punde mkataba wa hovyo usio na nia njema kwa Watanganyika unalazimishwa kwa nguvu.

Mbaya zaidi anasema bendera ya kenya imepepea kwenye jengo refu huko Dubai ili kulazimisha mkataba tata.

Watanganyika tunataka taifa letu na mali zetu
 
Ni miaka na miaka CAG husoma report ya matumizi ya pesa za umma. Hapo ndipo anaonyesha hasara na upotevu wa pesa za umma ndani ya taasisi za umma au za kiserikali.

Ni kweli mara nyingi au mara zote hakuna anayepigwa pingu baada ya report ya CAG ,lakini kauli ya Rais Samia kuwaomba mafisadi wampishe bila kutaja vyeo au hata majina yao maana yake ni kwamba Rais Samia ni dhaifu.

Tena miezi imepita hakuna aliyeachia nafasi (kujiuzulu) kwa kuheshimu kauli(amri) ya Rais.

So far Bunge nalo likaupiga stop huo mjadala wa madudu aliyoibua CAG mpaka September. Hapa kati fisadi lazima afukie mashimo.
 
Huyu Mheshimiwa aliingia Kwa mbwe mbwe kwerikweri akavimba kichwa hakutaka kutusikia Sisi wasemaji wa Chato akiamini ni sukuma gang.

Sasa yanamtokea puani. Mwanakulitaka mwanakulitafuta . Wacha alie na kusaga meno. Tulimwambia Msoga Family ule ni ukooo wa panya lakini Wapi hakutaka kutusikiliza

SIsi kama wanachato Namna Bora ya kukusaidia Mpaka sasa "NG'ATUKA MAPEMA". Kama hujanielewa na leo ndo Basi tena.. ila ukweri ndo huo. Ukiendela kushupaza shingo hapo kwenye kiti utaumia mama ni hayo tu.
 
Huyu Mheshimiwa aliingia Kwa mbwe mbwe kwerikweri akavimba kichwa hakutaka kutusikia Sisi wasemaji wa Chato akiamini ni sukuma gang.

Sasa yanamtokea puani. Mwanakulitaka mwanakulitafuta . Wacha alie na kusaga meno. Tulimwambia Msoga Family ule ni ukooo wa panya lakini Wapi hsktaka kutusikiliza?.

SIsi kama wanachato Namna Bora ya kukusaidia Mpaka sasa "NG'ATUKA MAPEMA". Kama hujanielewa na leo no Basi tena.. ila ukweli ndo huo. Ukiendela kushupaza shingo hapo kwenye kiti utaumia mama ni hayo tu.
Endeleeni kutoa maoni bila kumdhihaki atachukua hatua
 
Hata matumizi ya L na R yanakupa taabu afu unamshauri raisi!
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Epuka ramli chonganishi, ufitinishaji na upotoshaji. Mama anaupiga mwingi na subiri DP WORLD watue tule raha na neema tele.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Anaesema hivi usikute huko kwake katelekeza watoto
Kazaa nje ya ndoa na kusababisha watoto wa mitaani waso na malezi na maadili halafu anakuja kumlaumu Raisi anaeongoza taifa

Rubbish kabisaaaa
 
Hivi Samia ni nani hasa asikosolewe?Kwa lipi hasa?Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu,mkapa na Jk seuze yeye?

Kwani kaliletea taifa maajabu gani hasa?Kaleta kipi cha maana hataa asikosolewe?

Kusaini mikataba ya hovyo tu na kuuza rasilimali za Tanganyika huku akitafuta huruma ya umama na uzanzibar ndo tutamuacha?

Moto kajiwashia mwenyewe, anacheza na rasilimali za Tanganyika halafu anataka tumchekee tu, hilo haliwezekani na halitowezekana

Mpeni taarifa kabisa na wachawa wake fikisheni huu ujumbe "Moto tuliomuwashia mtangulizi wake na yeye tutamuwashia huo huo akiendelea kucheza na rasilimali za Watanganyika"....

Hakuna la maana kafanya hadi sasa watu wamemchoka vibaya mno, hana sifa za urais, hana hata "swagg" za urais yupo yupo tu kazi ni kuzurura tu kwenda Oman na Uarabuni, chezea vyote sio kucheza na rasilimali za Tanganyika, kachezee za Wanzanzibar wenzio

Na hili la bandari hautoweza kututoa nje ya reli!!Natamani hata umalize hicho kiporo chako cha urithi ulichoachiwa na mwendazake hata leo

Mwambieni huyo mama enu kuwa hana uwezo hata wa kuongoza kijijini kwao!!Urais umempwaya hawezi kitu

Magufuli tulimuwashia moto hatukujali ukatoliki wake, kikwete tulimuwashia moto hatukujali uislam wake, sasa wewe jifiche kwenye umama,na uzanzibar wako ili tukuonee huruma hakika hatutokuonea haya ukifanya mambo ya kuuza Tanganyika yetu

Moto ndo umeanza hatutokubakisha hata nusu!!
 
Back
Top Bottom