Ni mwenzetu kiimani, anamwaga asali kila angle, maridhiano, ni mama pia anaupiga mwingi!! Hili nalo uliangalie 🤣🤣🤣Hivi Samia ni nani hasa asikosolewe?Kwa lipi hasa?Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu,mkapa na Jk seuze yeye?
Kwani kaliletea taifa maajabu gani hasa?Kaleta chepi cha maana hataa asikosolewe?
Kusaini mikataba ya hovyo tu na kuuza rasilimali za Tanganyika huku akitafuta huruma ya umama na uzanzibar ndo tutamuacha?
Moto kajiwashia mwenyewe, anacheza na rasilimali za Tanganyika halafu anataka tumchekee tu, hilo haliwezekani na halitowezekana
Mpeni taarifa kabisa na wachawa wake fikisheni huu ujumbe "Moto tuliomuwashia mtangulizi wake na yeye tutamuwashia huo huo akiendelea kucheza na rasilimali za Watanganyika"....
Hakuna la maana kafanya hadi sasa watu wamemchoka vibaya mno, hana sifa za urais, hana hata "swagg" za urais yupo yupo tu kazi ni kuzurura tu kwenda Oman na Uarabuni, chezea vyote sio kucheza na rasilimali za Tanganyika, kachezee za Wanzanzibar wenzio
Na hili la bandari hautoweza kututoa nje ya reli!!Natamani hata umalize hicho kiporo chako cha urithi ulichoachiwa na mwendazake hata leo
Mwambieni huyo mama enu kuwa hana uwezo hata wa kuongoza kijijini kwao!!Urais umempwaya hawezi kitu
Magufuli tulimuwashia moto hatukujali ukatoliki wake, kikwete tulimuwashia moto hatukujali uislam wake, sasa wewe jifiche kwenye umama,na uzanzibar wako ili tukuonee huruma hakika hatutokuonea haya ukifanya mambo ya kuuza Tanganyika yetu
Moto ndo umeanza hatutokubakisha hata nusu!!
Binafsi nashindwa kushangaaHivi Samia ni nani hasa asikosolewe?Kwa lipi hasa?Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu,mkapa na Jk seuze yeye?
Kwani kaliletea taifa maajabu gani hasa?Kaleta chepi cha maana hataa asikosolewe?
Kusaini mikataba ya hovyo tu na kuuza rasilimali za Tanganyika huku akitafuta huruma ya umama na uzanzibar ndo tutamuacha?
Moto kajiwashia mwenyewe, anacheza na rasilimali za Tanganyika halafu anataka tumchekee tu, hilo haliwezekani na halitowezekana
Mpeni taarifa kabisa na wachawa wake fikisheni huu ujumbe "Moto tuliomuwashia mtangulizi wake na yeye tutamuwashia huo huo akiendelea kucheza na rasilimali za Watanganyika"....
Hakuna la maana kafanya hadi sasa watu wamemchoka vibaya mno, hana sifa za urais, hana hata "swagg" za urais yupo yupo tu kazi ni kuzurura tu kwenda Oman na Uarabuni, chezea vyote sio kucheza na rasilimali za Tanganyika, kachezee za Wanzanzibar wenzio
Na hili la bandari hautoweza kututoa nje ya reli!!Natamani hata umalize hicho kiporo chako cha urithi ulichoachiwa na mwendazake hata leo
Mwambieni huyo mama enu kuwa hana uwezo hata wa kuongoza kijijini kwao!!Urais umempwaya hawezi kitu
Magufuli tulimuwashia moto hatukujali ukatoliki wake, kikwete tulimuwashia moto hatukujali uislam wake, sasa wewe jifiche kwenye umama,na uzanzibar wako ili tukuonee huruma hakika hatutokuonea haya ukifanya mambo ya kuuza Tanganyika yetu
Moto ndo umeanza hatutokubakisha hata nusu!!
Mtoa mada anacho niachaga hoi ni kwamba yeye ni muislamu kindakindaki ila linapokuja swala la kuwapa R.K.O wafuatao (chama cha mambuzi na viongozi wake, na mizanzibari) basi hakopeshiNi mwenzetu kiimani, anamwaga asali kila angle, maridhiano, ni mama pia anaupiga mwingi!! Hili nalo uliangalie 🤣🤣🤣
yeye siku anasimamia ukweli bila kuweka dini mbeleMtoa mada anacho niachaga hoi ni kwamba yeye ni muislamu kindakindaki ila linapokuja swala la kuwapa R.K.O wafuatao (chama cha mambuzi na viongozi wake, na mizanzibari) basi hakopeshi
Alafu tuende BurigiAnatupeleka chato kwa magufuli
Kaongoze wewe basiSamia hii nchi imemshinda honestly
Ndiyo sababu ya kugawa bandari kwa warabu?Samia hii nchi imemshinda honestly
Mpe nafasi uoneKaongoze wewe basi