Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hivi Samia ni nani hasa asikosolewe?Kwa lipi hasa?Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu,mkapa na Jk seuze yeye?

Kwani kaliletea taifa maajabu gani hasa?Kaleta chepi cha maana hataa asikosolewe?

Kusaini mikataba ya hovyo tu na kuuza rasilimali za Tanganyika huku akitafuta huruma ya umama na uzanzibar ndo tutamuacha?

Moto kajiwashia mwenyewe, anacheza na rasilimali za Tanganyika halafu anataka tumchekee tu, hilo haliwezekani na halitowezekana

Mpeni taarifa kabisa na wachawa wake fikisheni huu ujumbe "Moto tuliomuwashia mtangulizi wake na yeye tutamuwashia huo huo akiendelea kucheza na rasilimali za Watanganyika"....

Hakuna la maana kafanya hadi sasa watu wamemchoka vibaya mno, hana sifa za urais, hana hata "swagg" za urais yupo yupo tu kazi ni kuzurura tu kwenda Oman na Uarabuni, chezea vyote sio kucheza na rasilimali za Tanganyika, kachezee za Wanzanzibar wenzio

Na hili la bandari hautoweza kututoa nje ya reli!!Natamani hata umalize hicho kiporo chako cha urithi ulichoachiwa na mwendazake hata leo

Mwambieni huyo mama enu kuwa hana uwezo hata wa kuongoza kijijini kwao!!Urais umempwaya hawezi kitu

Magufuli tulimuwashia moto hatukujali ukatoliki wake, kikwete tulimuwashia moto hatukujali uislam wake, sasa wewe jifiche kwenye umama,na uzanzibar wako ili tukuonee huruma hakika hatutokuonea haya ukifanya mambo ya kuuza Tanganyika yetu

Moto ndo umeanza hatutokubakisha hata nusu!!
Ni mwenzetu kiimani, anamwaga asali kila angle, maridhiano, ni mama pia anaupiga mwingi!! Hili nalo uliangalie 🤣🤣🤣
 
Hivi Samia ni nani hasa asikosolewe?Kwa lipi hasa?Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu,mkapa na Jk seuze yeye?

Kwani kaliletea taifa maajabu gani hasa?Kaleta chepi cha maana hataa asikosolewe?

Kusaini mikataba ya hovyo tu na kuuza rasilimali za Tanganyika huku akitafuta huruma ya umama na uzanzibar ndo tutamuacha?

Moto kajiwashia mwenyewe, anacheza na rasilimali za Tanganyika halafu anataka tumchekee tu, hilo haliwezekani na halitowezekana

Mpeni taarifa kabisa na wachawa wake fikisheni huu ujumbe "Moto tuliomuwashia mtangulizi wake na yeye tutamuwashia huo huo akiendelea kucheza na rasilimali za Watanganyika"....

Hakuna la maana kafanya hadi sasa watu wamemchoka vibaya mno, hana sifa za urais, hana hata "swagg" za urais yupo yupo tu kazi ni kuzurura tu kwenda Oman na Uarabuni, chezea vyote sio kucheza na rasilimali za Tanganyika, kachezee za Wanzanzibar wenzio

Na hili la bandari hautoweza kututoa nje ya reli!!Natamani hata umalize hicho kiporo chako cha urithi ulichoachiwa na mwendazake hata leo

Mwambieni huyo mama enu kuwa hana uwezo hata wa kuongoza kijijini kwao!!Urais umempwaya hawezi kitu

Magufuli tulimuwashia moto hatukujali ukatoliki wake, kikwete tulimuwashia moto hatukujali uislam wake, sasa wewe jifiche kwenye umama,na uzanzibar wako ili tukuonee huruma hakika hatutokuonea haya ukifanya mambo ya kuuza Tanganyika yetu

Moto ndo umeanza hatutokubakisha hata nusu!!
Binafsi nashindwa kushangaa
 
[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
1690836926476.jpg
 
Mtoa mada anacho niachaga hoi ni kwamba yeye ni muislamu kindakindaki ila linapokuja swala la kuwapa R.K.O wafuatao (chama cha mambuzi na viongozi wake, na mizanzibari) basi hakopeshi
yeye siku anasimamia ukweli bila kuweka dini mbele
 
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
#FreeBonephaceMwabukusi
Defending our resources is not treason
@SuluhuSamia
 
Kwa triend ilivyo Mama anapaswa kuongeza juhudi kwenye kupiga picha ba wachezaji wa Simba na Yanga na aende Mbali zaiduli aanze kupiga picha na mashabiki pia.

Kule yanga na Simba ndiko kumejaa vilaza wa Taifa, watu wasio jitambua kule ndio kwao.

Na kupiga na picha na wachezaji wao kunaweza juwa na advantage kwa Mama ili kutengeneza sapoti.

Bila kusahau kesi za Kubambikia watu hasa wapinazani wake kiasiasa.
 
Back
Top Bottom