kiula neema
Member
- Mar 22, 2021
- 72
- 105
Sacos kwa hiyo mlitaka mwenda zake aendelee kutesa watu jamani mwacheni mama afanye kazi alikuwa amebanwa Sana na huu utawala there is are second chance to God tumepewa na mungu wetu.Hotuba za mama .simekaa kama tupo kwenye kikao cha sacos
Anajisifu kwa kurembua macho!yaani lais anaongelea suala la unga kama anaongelea unga wa sembe.
tuwalinde watoto wetu na msimu mpya wa heroine maana naamini sasa hivi mzigo uko njiani au unapakiwa.
mimi nilizani ni yule jambazi la hai linalo itwa saa mbaya. kumbe ni ChidiAskofu Chidi na genge lako naona mnafika mbali sasa,kama hamukubali uongozi wa Rais Samia basi hameni nchi. Wewe uliacha uchungaji kuja kwenye siasa ili utimize ile ndoto yako ya kuwa na Taifa la Wasukuma,polisi walikukamata kisha wakakuachia kumbe mlikuwa na malengo ya muda mrefu kuivuruga nchi.
Huo uhuru wa kuandika hivi, ni kwa ajili ya Yeye! Mwezi uliopita tu usingethubutu kuandika haya!
Muacheni mama mama a fanya anavyoona inafaa misilazimishe WAFANANE!
Mbona awamu ya tano iliwasimanga awamu ya nne na walivumilia?
Nasikia karuhusu mashoga kufurahia maisha, ndo umeanza?Mataga kazi wanayo,wacha Mama awaonyeshe kazi.
Mama wanyooshe,peleka nchi ujiavyo tunakuamini.
Mataga wanaruka na kukanyagana.
Poleni sanaHotuba za mama .simekaa kama tupo kwenye kikao cha sacos
Pole sana sugangNi swala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Ndo matatizo ya hotuba za Samia. NAsikia kawaruhusu mashoga, sasa unafurahi!Nina uhakika 100% mtoa mada ni TAGA lililopoteza muelekeo
Sasa linatangatanga kama evil spirt
Unapochaguliwa, ilani uliyoinadi ndiyo mkataba wako na wananchi!
Wananchi twataka Uhuru wa Habari na Vyombo vya Habari.Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Leo wamekua wapinzaniNahisi kama mleta mada ana multiple ids maana si kwa majibu hayo
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
kwani chadema ni wahutu?Unasema watu au CHADEMA inapata furaha?
Sabaya si Msukuma, Bashiru si Msukuma ila anateseka hatariWasukuma roho zinawauma
Hakuna Rais hapo,Rais anataka watu wakachimbe madini kwenye hifadhi?,ajui kama madini yatachimbwa yataisha ila hifadhi ni renewable wanyama watakaa hadi mwisho wa ulinwengu.
Inasikitisha sana! From zero to hero! Elimu ya vilaka vilaka! OK!Ni swala la muda tu. Hapa hatuna Rais
Ashasahaulika.Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Kamfufue sasa magufuli akuongoze maana hayuko mbali yupo chato tu hapoMkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Hizi tetesi za kutaka kujiuzulu kuna kipindi zilivuma vuma. Na angejiuzuli tu, ingeleta maswali mengi sana.Samia yuko very real, je ni mara ngapi alitaka kujiuzulu?
Mpango wa taifa ndio unaainisha kila kituHuyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.
Sidhani kama ana vision.
ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.