Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

yaani lais anaongelea suala la unga kama anaongelea unga wa sembe.

tuwalinde watoto wetu na msimu mpya wa heroine maana naamini sasa hivi mzigo uko njiani au unapakiwa.
Anajisifu kwa kurembua macho!
 
Askofu Chidi na genge lako naona mnafika mbali sasa,kama hamukubali uongozi wa Rais Samia basi hameni nchi. Wewe uliacha uchungaji kuja kwenye siasa ili utimize ile ndoto yako ya kuwa na Taifa la Wasukuma,polisi walikukamata kisha wakakuachia kumbe mlikuwa na malengo ya muda mrefu kuivuruga nchi.
mimi nilizani ni yule jambazi la hai linalo itwa saa mbaya. kumbe ni Chidi
 
MATAGA wanashindwa kuona hata haya mabadilko makubwa hivi hapa JF!
Huo uhuru wa kuandika hivi, ni kwa ajili ya Yeye! Mwezi uliopita tu usingethubutu kuandika haya!

Muacheni mama mama a fanya anavyoona inafaa misilazimishe WAFANANE!

Mbona awamu ya tano iliwasimanga awamu ya nne na walivumilia?
 
Mkuu, hivi unajua madhara ya kupingana ama kwenda kinyume na kiongozi wa kiimla? Hivi unakumbuka CAG Assad kilimtokea nini pale alipoamua kusimamia ukweli na weledi ktk majukumu yake? Hivi unatambua nini kilichowatokea wapinzani hasa CDM pale walipojaribu kuonyesha mapungufu na udhaifu wa serikali ya awamu ya 5?

Ukiona wimbi la wasaidizi wa Rais aliyetangulia wakijitokeza hadharani na kupingana na mitazamo yake, basi utambue kuwa kuna sehemu mambo hayakuwa sawa. Isipokuwa walilazimika kufanya hivyo ili kulinda ajira zao na hatima zao za baadaye za kisiasa.
 
Nina uhakika 100% mtoa mada ni TAGA lililopoteza muelekeo
Sasa linatangatanga kama evil spirt
Ndo matatizo ya hotuba za Samia. NAsikia kawaruhusu mashoga, sasa unafurahi!
 
Vipi aliyeamua kukata miti zaidi ya milioni na kuamua kujenga bwawa kwenye hifadhi ya Selous??
Hakuna Rais hapo,Rais anataka watu wakachimbe madini kwenye hifadhi?,ajui kama madini yatachimbwa yataisha ila hifadhi ni renewable wanyama watakaa hadi mwisho wa ulinwengu.
 
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Ashasahaulika.

Ila ambao hawatamsahau ni wale aliowaumiza na maamuzi na ubabe wake, wale wa vyeti feki, tumbuatumbua, wa Kimara.....nk...hawatamsahau Kaa mabaya yake....haya huwa hayasahauliki.....ila mazuri husahaulika mapema sana.
 
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Kamfufue sasa magufuli akuongoze maana hayuko mbali yupo chato tu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama ataongoza kama kiongozi wa kawaida.

Sidhani kama ana vision.

ie anataka kutupeleka wapi katika levo za kiuchumi.
Mpango wa taifa ndio unaainisha kila kitu

Mpango ameshauandaa wa miaka hii mitano

Rais kma mwenyekiti wa tume ya mipango anasimamia utekelezaji

Btw ilani ya chama tawala ndio inatoa framework ya mpango wa taifa

So tulia aanze kuitekeleza ndio tumkosoe....

Nchi haipaswi kuendeshwa kwa ''visheni'' ya mtu mmoja na ndio maana tumefika hapa tulipo. Bali kwa collective approach
 
Back
Top Bottom