Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Na anauroho wa madaraka Kila afanyacho anawaza uraisi. Kabadili ma DC,RC nk. kisa kuwaza uchaguzi mwakani wala hajali gharama kuuubwa serikali inayoingia.
Hoja ya watu kuacha kujipitisha kabla ya uchaguzi anaivunja maana yeye ndowakwanza kuchangisha Hela za fomu kinyemela...kama nihivyo basi wabunge nao waanze kuchangisha fedha za fomu!!
Nimuhimu viongozi wawe mfano Kwa kufata Sheria sio kuvunja Sheria Kwa kujiona hawagusiki/hawashtakiki
 
Barbara mashule vyote alianza kumjengea mkoloni na wanatujengea mpaka Leo pimbi wewe
 
Umeandika quote au uzi kabisa[emoji23][emoji23]
 
Lucas naona unajipa haki ya kuropoka ropoka huku unawanyima wengine haki hiyo.

Tulia dawa iingie
 
Kuwa na Adabu ni kuwa Chawa chawa na kusifia kila kitu hata kama hakiko sawa? Ukweli usemwe! Kiatu cha Urais ni kikiubwa sana kwa mama. Ila kwa sababu hili Taifa limekuwa la Wanafiki wengi hakuna jinsi.
 
Ni kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.
Hakuna serikali isiyoua Duniani,ata kwa Samia ukijicganganya TISS wanakumaliza asubuhi tu!
Tanzania hakuna Rais ambaye hajawai kuua wapinzani wake!
 
Pumba tupu kudadeki
 
Kuwa na Adabu ni kuwa Chawa chawa na kusifia kila kitu hata kama hakiko sawa? Ukweli usemwe! Kiatu cha Urais ni kikiubwa sana kwa mama. Ila kwa sababu hili Taifa limekuwa la Wanafiki wengi hakuna jinsi.
Rais Samia Ni Kiongozi bora katika viongozi wote waliopo barani Afrika kwa sasa.ni kiongozi mwenye maono na akili kubwa sana .
 
Barbara mashule vyote alianza kumjengea mkoloni na wanatujengea mpaka Leo pimbi wewe
Rais Samia ameimarisha demokrasia,kakuza uchumi na kujenga uchumi shirikishi wenye kumgusa kila mtanzania.amewezesha kila mtanzania kujikwamua kiuchumi,kutokana na mazingira wezeshi na mazuri katika kila mmoja wetu kuweza kutimiza ndoto zake
 
Rais Samia ameimarisha demokrasia,kakuza uchumi na kujenga uchumi shirikishi wenye kumgusa kila mtanzania.amewezesha kila mtanzania kujikwamua kiuchumi,kutokana na mazingira wezeshi na mazuri katika kila mmoja wetu kuweza kutimiza ndoto zake
We njaa inakukimbiza tu
 
Rais Samia ameimarisha demokrasia,kakuza uchumi na kujenga uchumi shirikishi wenye kumgusa kila mtanzania.amewezesha kila mtanzania kujikwamua kiuchumi,kutokana na mazingira wezeshi na mazuri katika kila mmoja wetu kuweza kutimiza ndoto zake
Kesha sema hataki sifa za kijinga mkawasifie Mama zenu waliowazaa
 
..Samia ni laghai.

..anadai analeta Reconciliation halafu anapandisha vyeo waliohusika na utesaji wakati wa Magufuli.
Jinga wewe .acha kutaja taja majina ya watu utafikiri wanafunzi wa darasa la kwanza wanaohesabu namba shuleni
 
Unatumia vigezo gani kusema ameshindwa? Au unataka awe anafokafoka kama Mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…