Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kiongozi anayetaka ya 2020 yajirudie Kwa kukataa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote hatufai.
 
Mara kwa mara mwenyewe mama amesisiti!za anapenda kukosolewa ili aone mapungufu sio muda wote kumsifu kama wafanyavyo wadudu wa nguoni

1.Ujambazi umerudi kwa kasi sana
2.Uvivu ,uzembe na kutowajibika kumerudi makazini
3.Watumishi kutokuwepo vituo vya kazi muda wa kazi
4.Wasio na vyeti kuajiriwa kwa vimemo
5.Machawa kupewa shughuli za kitaalamu kwa mtindo wa kupiga mafungu
6.Rushwa mahakamani
7.Rushwa polisi
8.Mahospitalini
9.Walimu kujeruhi na kuuwa wanafunzi sijui tuwaamini kina nani!
10.wateule kushindwa kutatua kero za wananchi
11.watakatishaji fedha wameota upya
12.Mchwa wamenawiri halimashauri zote
nchini!
13.Mawaziri kukosa weledi wa majukumu yao.
14.Watoto wadogo kujinyonga
15.Familia kuuwana !

Mama huwa anapenda vitu kama hivi huw hapendi sifa ya vitu ambavyo tayari ameshafanya!
 
Ndo maana nikajiuliza.

Hivi kweli Kila mamlaka inatoka Mbinguni Kwa Mungu kweli??.


Kwa nini Secret societies wanaweza kumuweka Rais Madarakani ??.


Ukweli ni Kua, SSY kapwaya kapwaya Kapwayika .. nadhan Rais yoyote atakayeendelea Kufuata baada ya HAYATI JPM kama hatosimama kuuvaa U-JPM tutaendelea kushuduia hayo juu uloyaorodhesha .
 
Ndo maana nikajiuliza.

Hivi kweli Kila mamlaka inatoja Mbinguni Kwa Mungu kweli??.


Kwa nini Secret societies wanaweza kumuweka Rais Madarakani ??.


Ukweli ni Kua, SSY kapwaya kapwaya Kapwayika .. nadhan Rais yoyote atakayeendelea Kufuata baada ya HAYATI JPM kama hatosimama kuuvaa U-JPM tutaendelea kushuduia hayo juu uloyaorodhesha .
Hakuna kitu kama hicho, hakuna MUNGU wa kuruhusu CCM itese watu wake namna hii
 
Mara kwa mara mwenyewe mama amesisiti!za anapenda kukosolewa ili aone mapungufu sio muda wote kumsifu kama wafanyavyo wadudu wa nguoni

1.Ujambazi umerudi kwa kasi sana
2.Uvivu ,uzembe na kutowajibika kumerudi makazini
3.Watumishi kutokuwepo vituo vya kazi muda wa kazi
4.Wasio na vyeti kuajiriwa kwa vimemo
5.Machawa kupewa shughuli za kitaalamu kwa mtindo wa kupiga mafungu
6.Rushwa mahakamani
7.Rushwa polisi
8.Mahospitalini
9.Walimu kujeruhi na kuuwa wanafunzi sijui tuwaamini kina nani!
10.wateule kushindwa kutatua kero za wananchi
11.watakatishaji fedha wameota upya
12.Mchwa wamenawiri halimashauri zote
nchini!
13.Mawaziri kukosa weledi wa majukumu yao.
14.Watoto wadogo kujinyonga
15.Familia kuuwana !

Mama huwa anapenda vitu kama hivi huw hapendi sifa ya vitu ambavyo tayari ameshafanya!
Africa inahitaji mifumo imara siyo watu imara .alitegemea uimara wake badala ya mifumo . Kadondoka mzena puuuu.
Mliokerwa mkamfufue
 
MUngu alifanya kazi yake huwa haina makosa hata wewe hawatoweza kukufua unao wakera!
Sasa kila siku mnalitaja hilo dubwash lililo uwa na kutesa watu plus kubambikia watu kesi za kijinga? Usichokijua wewe ni kwamba hayo uliyoyaandika hayajawahi kuisha. Kama jitu lilibinya uhuru wa habari ulitegemea watu wapate wapi habar
 
Sasa kila siku mnalitaja hilo dubwash lililo uwa na kutesa watu plus kubambikia watu kesi za kijinga? Usichokijua wewe ni kwamba hayo uliyoyaandika hayajawahi kuisha. Kama jitu lilibinya uhuru wa habari ulitegemea watu wapate wapi habar
Ujambazi wa mabenki ulikufa askari walifikia kunyang'wanya silaha ilikua too much!
 
Wakati anamteua Doto Biteko na kumwapisha alituaminisha kwamba katoa miezi 3 tatizo la umeme likome lakini sasa ni miezi 8 imepita!

Vipi Bwawa la Rufiji lini linaanza kazi?
Vipi maji yakikauka tena mwezi 8?
Mgao umeisha au bado upo?

Mbona makampuni ya kuuza solar na generator yanaongezeka kwa kasi kuna nini?

Rais awaanbie ukweli Watanzania mafisadi ya umeme yamemshinda.
 
WanaJamiiForum, ninawasalimu sana.
Mimi ni muumini wa kuswali Ijumaa
Niwe mkweli , idadi kubwa ya watanganyika, hatujui kesho yetu na hali ya Maisha ni ngumu leo ni Bora kesho.

Wanasema twende na mama 2025 tunaenda naye wapi na kufanya nini.
 

Attachments

  • IMG-20240415-WA0005.jpg
    IMG-20240415-WA0005.jpg
    69.3 KB · Views: 2
  • VID-20240413-WA0052.mp4
    1.4 MB
Back
Top Bottom