Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

CHAWA NA POLISI WANAMDANGANYA.
 
Ajabu wasiompenda leo Samia ambae hajauwa, bali anawapunguza wamasai kwenye vitega uchumi cha taifa kutoka wamasai laki 8 hadi wamasai 100,000.

Na kuwapeleka ktk kijiji kilicho ndani ya mipaka ya jimbo la kaskazini kwa mfumo wa utawala wa majimbo wa chadema uko ndani ya mamlaka ya serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Sasa watu walewale waliokaa kimya wakati wa awamu ya tano uliokuwa na kidikteta muowaji wa watu wa kibiti, wakati wanachama wenyewe badala ya kuhamoshwa kama anavyofanya Samia eti leo munamchukia.

Nani wana haki ya kuchukia zaidi..

Talawa za mauwaji za wakatoliki


Au tawala za wanyenyekevu za waislam

We hate you too as you hate us.

And we will love too as you love us.

That is our philosophy.

Eyes for an eyes
 
Kinachoniboa tu ni kwamba hana maono yeyote yeye ni mradi tu. Anapambana ndio anakopa fedha nyingi lakini zote zinakuja kuishia mikononi mwa wachache and she's just okay, dah.... Watumishi wamekuwa hawa wajibiki tena mwisho wa mwezi ufike tu wachukue mishahara na wala sijawahi sikia akizungumzia hili swala. Right now it's just a disaster not a PRESIDENT.
 
Kuukweli Mama hakubaliki na watz walio wengi hasa wale choka mbaya ila kwakuwa anakubalika na mafisadi nasikitika kusema huyu bado tunaye tena hadi 2030!!!.
 
Nani wana haki ya kuchukia zaidi..

Talawa za mauwaji za wakatoliki


Au tawala za wanyenyekevu za waislam
Oya hii mada haihusiani na dini mkuu usijaribu kuhamishia upepo kwenye dini. Hata Magufuli alikosolewa kila palipokucha na hakuwa muislam. Na waliopitia mateso kipindi hicho wengi ni wakristu kuliko waislam. Lissu, Saanane, Mawazo, Mbowe, Lema, Azory n.k wote wakristu.

So shut the fnck up. Jikite kwenye mada.
 
Chura Kiziwi atapendwa na nani?
 
CC: Lucas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…