SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Na yule dogo wa kijijini Mbeya aliechoma picha ya Samia amepatkana!?Amteke Sativa au Soka ili apate impact gani? Au mnalitumia tu jina la Rais ili kumchafua tu!! Sativa ana deal na betting wala siyo mwanasiasa na hana kero yeyote kwa Rais
Huo uwazi unaotajwa wewe unakusaidia nn !? Sipendi mijitu yakujifanya ety ni mimtu mizuri wakati ndio mijinga ya kwanza dunia hii, wakati wa Magufuli ufisadi ulifichwa na ulpungua na nidhamu ilkuwepo sshv ufisadi umerudi na mnautangaza kbs.Mama Samia kaongeza uwazi katika vita dhidi ya ufisadi, ndio maana unasikia unatajwa, JPM alikuwa wa hovyo, hakutaka watu waseme. Kwa sasa rushwa iliyosemwa waziwazi ni ya chadema, Lissu ameitolea taarifa kwamba chama chao ni cha wala rushwa
subuthuSo kwa akili yako miradi ya Chato nayo ataendeleza? Hata daraja la Busisi tunapiga chini kwanza.
Wapumbavu hao. Wanalipwa kumtukana Magufuli Kwa gharama ya kumsafisha Samia!!Kwani sasahv hao wanateka WaNAJULIKANA!? Kwann kipindi kile watu wakitekwa iwe ni Magufuli na sshv isiwe Samia!? Kwamba Samia hateki kwa sababu wanaotekwa ni akna Sativa,Soka etc ambao Kwake hawana madhara, tukisema anawapumbaza wajinga kama nyie tutakuwa tunakosea Akimteka Mbowe ama Mdude si moja kwa moja tutajua ni yeye sasa kwann asjiflame kwa hao madogo akna Sativa na Soka ili kuwatisha hao wakubwa!
Mlisema Magufuli alkuwa mtekaji leo hayupo mnageuza kibao Rais hawezi kuteka 😅 na mlituaminisha baada ya kifo cha Magufuli hautakuwepo utekaji tena bila kusahau utekaji ulkuwepo tangu enzi ya Jakaya na BM ,tukisema nyie ni Wasenge mkubali na msenge ni mtu anaeliwa nyuma.
HakikaI am pretty sure that, hata wewe mwenyewe huamini hata moja ktk haya👆....
Ni kwa kuwa mmeamua kuwa machawa na kwamba kumsifia mkubwa wenu, ni rahisi kupata uteuzi wa hata kulamba viatu vyake tu...!
Mtu mmoja kuwa kiongozi wa IPU au WHO inampa unafuu gani Mwananchi wa huku Mwakaleli - Mbeya au Mwapalala - Bariadi - Simiyu ktk bei ya vyakula, nishati ya petrol, sukari au ugali kwa ujumla...?
Miaka mitatu iliyopita 2020 bei ya Petrol aliyoacha Mzee Magufuli ilikuwa wastani wa 2,000 Tanganyika nzima, Leo ni 3,600; Sukari ilikuwa 1,800 leo maeneo mengine mpaka 6,000...!
Hapa utasema taifa na nchi hii ina kiongozi Rais au kikaragosi cha picha ya mtu anaitwa Rais tu pale Ikulu..??
Utaona nini katikati ya hali na ufukara wa kutisha, ukosefu wa madawa na huduma bora za afya ktk vituo vya afya na hospitali? Ukosefu wa maji safi na salama vijijini na mijini? Wanafunzi kukaa chini kwa kukosa madawati? Miradi mbalimbali utekelezaji wake kusuasua au kusimama kabisa...?
Katika mazingira haya, watakaoona zuri la serikali hii chini ya huyu bible Samia Suluhu Hassan ni wale tu wanakaa mezani naye na kuokoteza makombo ya masalia. Ndiyo ninyi kina Tlaatlaah na chawa wenzako...!!
Wewe mnyaksyusa wa kukasirika kasirika hunisumbui kabisa. Rudi ukale makatapela huna maanaMpumba.vu sana wewe
Wale watu wa Twitter waliomchangia fedha ya faini akatoka jela ndiyo wa kuwalaumu. Pengine angekuwa jela angebaki salama anatumikia kifungoNa yule dogo wa kijijini Mbeya aliechoma picha ya Samia amepatkana!?
Siyo kwamba wakati wa Magufuli ufisadi ulikuwa umepungua. Ni kwamba yeye mwenyewe alikuwa ndiye FISADI na kikundi cha watu wake aliokuwa anaiba nao.wakati wa Magufuli ufisadi ulifichwa na ulpungua na nidhamu ilkuwepo sshv ufisadi umerudi na mnautangaza kbs.
Fisadi aliebadili muonekano na fikra za Tz !? Bas afadhali fisadi yule na sio huyu wa sasa anaefanya ufisadi huku akisahau kupambania maendeleo ya taifa hili.Siyo kwamba wakati wa Magufuli ufisadi ulikuwa umepungua. Ni kwamba yeye mwenyewe alikuwa ndiye FISADI na kikundi cha watu wake aliokuwa anaiba nao.
😅😅kwamba tuwalaumu watu wa Twitter ila kama ingekuwa wakati wa JPM tungemlaumu JPM, naomba niache tu nmchukie Huyu Rais wenu sababu hata nyie Chawaz mnachangia yeye achukiwe.Wale watu wa Twitter waliomchangia fedha ya faini akatoka jela ndiyo wa kuwalaumu. Pengine angekuwa jela angebaki salama anatumikia kifungo
Mungu yupi huyo "unayemuamini..?" mungu Samia Suluhu Hassan, au siyo...?kwanza lazma uelewe kwamba mimi sihusiki na masula ya kishirikina na ramli kama ulivyo,
na nikuhakikishie kwamba Mimi namuamini Mungu peke yake.
Hakuna ajabu kwa chawa kukiri hili. So, I totally understand you....Na kwa Neema na Baraka za Mungu kiongozi wetu wa Kitaifa Dr Samia Suluhu Hassan anatuongoza katika kuyafikia mengi sana miongoni mwa machache niliyoyataja hapo kwa maslahi mapana ya waTanzania wote..
Hiyo ndiyo kitu gani in bold....?ni dhahiri unazo ngiliba nyingi mno moyoni umezihifadhi na huna mahali pakuzisemea, funguka gentleman upate walau relief kidogo maisha yasonge pia...
Mmmh, zigzag...!!!????uko zigzag mno
Huwezi kuita historia kuwa ni "setbacks....."kama Taifa tuna uelekeo moja, hii ya kuchanganya sijui mwaka gani kulikua na nini hizo ni setbacks, kama Taifa tunasonga mbele...
4)Teuzi nyingi....1. Anavuruga protojali ya kiserikali kwa kumfanya rais wa Zanzibar kuwa mkubwa kuliko makamu wa rais. Hili ni kosa la kikatiba.
2. Anauza rasilimali za Tanganyika hovyo hovyo huku zile za Zanzibar akiziheshimu kama mboni ya jicho lake.
3. Watu wanatekwa na kuuawa lkn hatoi tamko la kiserikali la kukemea ama kupiga marufuku. Hii Ina tafsiriwa kuwa hana uchungu na watanganyika .
4. Teuzi nyingi Sana hivi Sasa zinawaangukia wazanzibari.
Kwa haya na mengine mengi, Samia sasa yatosha. Ataitumbukiza nchi kwenye migogoro.